William Mwita
Member
- Oct 29, 2023
- 96
- 74
Fanya basi urekebishe hapo kwenye futi ili isomeke square meter! Halafu wateja wengi humu wanapenda kuona na picha ya bidhaa unayouzaa
Pamoja mjuuFanya basi urekebishe hapo kwenye futi ili isomeke square meter! Halafu wateja wengi humu wanapenda kuona na picha ya bidhaa unayouza.
Udalali ni kazi msakuzi na hiyo vumbi kakiwanja ka 10m×15m uuze 30m kweli?KIWANJA Kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka
kiwanja kipo mbezi msakuzi Kwa lipelanya shule ya makamba
ukubwa ni 45 Kwa 35(Futi)
Bei ni million 30 tu
Umbali kutoka barabarani ni km2
Mawasiliano 0715128827
Kimepimwa Kwa miguu ni zile hatua ndefuHabari, chief vipimo vipo sahihi kweli? 45 ft ni sawa na mita 13.7 na upana 35 ft ni sawa na mita 10.6.
Kifupi kina urefu wa mita 13.7 na upana wa mita 10.6 kwa bei ya milioni 30?
Huyu jamaa hayuko serious kabisa....Habari, chief vipimo vipo sahihi kweli? 45 ft ni sawa na mita 13.7 na upana 35 ft ni sawa na mita 10.6.
Kifupi kina urefu wa mita 13.7 na upana wa mita 10.6 kwa bei ya milioni 30?
Futi tena? Sio Metres?KIWANJA Kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka
kiwanja kipo mbezi msakuzi Kwa lipelanya shule ya makamba
ukubwa ni 45 Kwa 35(Futi)
Bei ni million 30 tu
Umbali kutoka barabarani ni km2
Mawasiliano 0715128827
Wa hovyo kabisaMadalali ni watu wabaya sana.
Madalali wengi naonaga hawana akiliUdalali ni kazi msakuzi na hiyo vumbi kakiwanja ka 10m×15m uuze 30m kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilibidi nishangae aiseeHuyu jamaa hayuko serious kabisa....
Anauza Square Meter 1 kwa 230,000 Msakuzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kazi kaka watu wanafanya, shukuru umepata kazi ya akili Kwa kumtoa akili mwanaume mtafutaji kisa kukosea badala ya kuweka metres na kuweka FutiMadalali wengi naonaga hawana akili
Ni metres ila ni misunderstanding ilitokeaFuti tena? Sio Metres?
HapanaKina madini hicho kiwanja ?
Ni metres ndugu yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilibidi nishangae aisee
Ni 45×35 metresFuti 45=mita 15
Futi 35=mita 11.6
Mita 15x 11.6= mita za mraba 175.
Ukijenga nyumba yenye mita za mraba 120, inabaki mita za mraba 55.
Kipo Mbezi Msakuzi bei milioni 30?
Kiwanja standard kinaanzia mita 20 x20= mita mraba 400
Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka.
kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba.
Ukubwa ni 45 kwa 35 metres.
Bei ni million 30 tu.
Umbali kutoka barabarani ni km 2
Mawasiliano 0715128827