Plot4Sale Tunauza viwanja maeneno mbalimbali Dar es Salaam
Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka.

kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba.

Ukubwa ni 45 kwa 35 metres.

Bei ni million 30 tu.

Umbali kutoka barabarani ni km 2

Mawasiliano 0715128827
Msakuzi milioni 30? Seriously?
Nakusihi uza bei isiyo ya ulanguzi, huko ni mashamba na si viwanja, hakuna hati na maeneo mengi ni mabonde ya maji, mnunuzi anaweza vamiwa na maji kama ilivyo Hanang.
 
Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka.

kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba.

Ukubwa ni 45 kwa 35 metres.

Bei ni million 30 tu.

Umbali kutoka barabarani ni km 2

Mawasiliano 0715128827


Mbona kama picha zinaonesha kiwanja kipo bondeni sana...
 
Msakuzi milioni 30? Seriously?
Nakusihi uza bei isiyo ya ulanguzi, huko ni mashamba na si viwanja, hakuna hati na maeneo mengi ni mabonde ya maji, mnunuzi anaweza vamiwa na maji kama ilivyo Hanang.
Hakuna ulanguzi
Kama unahitaji karibu
 
Ni kazi kaka watu wanafanya, shukuru umepata kazi ya akili Kwa kumtoa akili mwanaume mtafutaji kisa kukosea badala ya kuweka metres na kuweka Futi
Karibu kiwanja kipo ni kizuri kitakufaa
ww dalali hauna akili

full stop
 
Msakuzi 30 million? Kweli udalali unalipa.




KAZI ni kipimo cha utu
 
KIWANJA KINAUZWA KWA BEI YA OFA KINAPATIKANA KIGAMBONI TOANGOMA
UKUBWA: META 30 KWA 30
BEI: MILLION 16
CONTACT: 0748 270 719
IMG-20231120-WA0053.jpg

Maongezi yapo kidogo
NB: Huduma za kijamii zote zipo
 
KIWANJA kinauzwa kinapatikana KIVULE ILALA DAR ES SALAAM, kipo karibu kabisa na stendi ya daladala ziendazo mjini na ni tambarare.



Umbali kutoka barabara kubwa hadi kilipo kiwanja ni mita50( Nusu ya uwanja wa mpira wa miguu)



UKUBWA: 50KWA 40 META



BEI: MILIONI 34TU


MAWASILIANO 0715128827
IMG_20231214_003248.jpg
 
IMG-20231217-WA0000.jpg
MALAIKA BEACH KIGAMBONI
Eneo lipo karibu na bahari kabisa.

Linafaa kwaajili ya shughuli mbalimbali

Ukubwa: 2250 SQM

Bei: million 260

0748270719 kwaajili ya mawasiliano
 
Back
Top Bottom