Kasri Homes Tz
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 501
- 694
- Thread starter
-
- #321
Ww ni wa mkoani bila shaka.Usikubali kutumika, tumia akili yako kifikiri, wewe unaona Kuna kitu Cha milioni 200 hapo!??, Nyumba imejengwa style ya kipindi cha mwinyi bado aluminum hazipo, hata kama hiyo apartment ingekuwa jirani na ikulu bado milioni 200 usingempata mtu. Viwango vyake vipo chini sana
Mikocheni? Afu useme 220Mil n kubwaa? Wee hauko serious.Usikubali kutumika, tumia akili yako kifikiri, wewe unaona Kuna kitu Cha milioni 200 hapo!??, Nyumba imejengwa style ya kipindi cha mwinyi bado aluminum hazipo, hata kama hiyo apartment ingekuwa jirani na ikulu bado milioni 200 usingempata mtu. Viwango vyake vipo chini sana
Unataka ingekuwa na Alminium ??Usikubali kutumika, tumia akili yako kifikiri, wewe unaona Kuna kitu Cha milioni 200 hapo!??, Nyumba imejengwa style ya kipindi cha mwinyi bado aluminum hazipo, hata kama hiyo apartment ingekuwa jirani na ikulu bado milioni 200 usingempata mtu. Viwango vyake vipo chini sana
Hivi unaijua mikocheni?Usikubali kutumika, tumia akili yako kifikiri, wewe unaona Kuna kitu Cha milioni 200 hapo!??, Nyumba imejengwa style ya kipindi cha mwinyi bado aluminum hazipo, hata kama hiyo apartment ingekuwa jirani na ikulu bado milioni 200 usingempata mtu. Viwango vyake vipo chini sana
Walengwa wananunua hio wanavunja wanajenga waipendayo. Kuwa mpole.Usikubali kutumika, tumia akili yako kifikiri, wewe unaona Kuna kitu Cha milioni 200 hapo!??, Nyumba imejengwa style ya kipindi cha mwinyi bado aluminum hazipo, hata kama hiyo apartment ingekuwa jirani na ikulu bado milioni 200 usingempata mtu. Viwango vyake vipo chini sana
Acha ushamba kijana..mikocheni sio mbagala walaa magomeniUsikubali kutumika, tumia akili yako kifikiri, wewe unaona Kuna kitu Cha milioni 200 hapo!??, Nyumba imejengwa style ya kipindi cha mwinyi bado aluminum hazipo, hata kama hiyo apartment ingekuwa jirani na ikulu bado milioni 200 usingempata mtu. Viwango vyake vipo chini sana
Mimi na wewe ndio tunaona miyeyusho..Usikubali kutumika, tumia akili yako kifikiri, wewe unaona Kuna kitu Cha milioni 200 hapo!??, Nyumba imejengwa style ya kipindi cha mwinyi bado aluminum hazipo, hata kama hiyo apartment ingekuwa jirani na ikulu bado milioni 200 usingempata mtu. Viwango vyake vipo chini sana
Usikubali kutumika, tumia akili yako kifikiri, wewe unaona Kuna kitu Cha milioni 200 hapo!??, Nyumba imejengwa style ya kipindi cha mwinyi bado aluminum hazipo, hata kama hiyo apartment ingekuwa jirani na ikulu bado milioni 200 usingempata mtu. Viwango vyake vipo chini sana
Sawa lakini sio (17x17)meter square., Eneo ni dogo sana. Jamani msicheze na milioni 200Japo bei ni kubwa ila ukweli ni Bei ya nyumba inapangwa na location ilipo. Kumbuka nyumba ipo mikocheni sio kitunda
Magomeni mbonaa nyumba zinauzwa hio hio 200m?Acha ushamba kijana..mikocheni sio mbagala walaa magomeni
Hata kungekuwa Hamna nyumba yani kiwanja kingekua kitupu bado bei ingekua hivohivo ama pungufu kidogo
Pia nyumba kama mtu hajaipemda anaweza bomoa au akaifanyia renovations.
Wengine wanabomoa kwa minajili ya kujenga maofisi nk.
Karibu dar!
Magomeni mbonaa nyumba zinauzwa hio hio 200m?
Sina maana mbaya ila watu wengi ni wageni D'slam...ila naona hii nyumb nguzo ya umeme ipo ndani ya nyumba..🤣🤣🤣Hata sinza na ubungo nyumba zinauzwa milioni 200 sana tu