Plot4Sale Tunauza viwanja, Mashamba, Nyumba katika maeneo mbalimbali Dar es Salaam

Plot4Sale Tunauza viwanja, Mashamba, Nyumba katika maeneo mbalimbali Dar es Salaam

I'm impressed by the use of land! 600sqm ameweza kutoa nyumba nne!
Ni kama 20x30 hivi, kama ni mita zinatoka bila shida, naona mbele kuna nafasi ya kutosha tu. Watu wanajua kutumia ardhi vizuri.
 
• Mahali: Goba Maghorofani, kilomita 1 kutoka lami kuu
• Eneo la Kiwanja: Sqm 912
• Nyaraka: Hati ya wizara
• Bei: TZS Mil. 300 (kwa zote 2)
• Kupelekwa site kuona: TZS 30,000
.
• Nyumba 1 ina vyumba V3 vyote self contained, sebule, jiko na choo cha wageni
• Nyumba nyingine ina vyumba viwili vyote self self contained, sebule, jiko na choo cha wageni
• Nyumba zote zipo kwenye uzio mmoja ila kila 1 inajitegemea kwa umeme na maji
• Apartment zote zina malumalu sakafuni, gypsum darini, feni za juu, bindo za mbele na jikoni na madirisha ya vioo ya aluminium
.
Mali zaidi kwa #makazi, #biashara au #viwanda:
Call/Watsap: +255767157788

IMG-20220709-WA0066.jpg
IMG-20220709-WA0071.jpg
IMG-20220709-WA0065.jpg
IMG-20220709-WA0068.jpg
IMG-20220709-WA0070.jpg
 
• Direction: Rose Garden Road, Mikocheni B
• Price: USD 3,000,000 (nego)
• Document: Title deed
.
Each unit facilitates:
• Ground floor: 1 Living room, 1 dining room, 1 modular kitchen, 1 guest/study room, 1 common washroom, pantry, private backyard.
• First floor: 2 self contained bedrooms and 1 master bedroom, balcony
• Second floor: Semi open terrace (of seating capacity up to 90 people), bar, mini kitchen, laundry room and washroom.

GENERAL AMENITIES:
fully furnished • wardrobes • ceiling fans • all rooms with ac • luku • water heater • parking space • swimming pool • gym • standby generator • garden • 180,000 liters reserve water tank • electric fence

NOTE: Renting rate for 1 unit villa is USD 1,200/month with service charge
.
Mali zaidi kwa #makazi, #biashara au #viwanda:
Call/Watsap: +255767157788
IMG_20220715_122013_396.jpg
IMG_20220715_122013_405.jpg
IMG_20220715_122013_436.jpg
IMG_20220715_122013_468.jpg
IMG_20220715_122013_473.jpg
IMG_20220715_122013_481.jpg
IMG_20220715_122013_486.jpg
IMG_20220715_122013_492.jpg
IMG_20220715_122013_498.jpg
IMG_20220715_122013_517.jpg
 
kwa ivo mzigo mzima kabla ya kulipa Kodi za TRA ni kama bilioni saba hivi??

Kamisheni yako unalipwa na muuzaji ama mnunuzi?

Baada ya kununua 10% ya Wakili analipa nani?

Nimechangia kama kuchochea tu mjadala. Lakini kwa wenye hela zao bei bado ni "reasonable" hasa ukitilia maanani kwa kila "Unit" nane zilizopo kama kila moja inalipiwa dola za kimarekani 1,200 kama kodi kwa mwezi.

1200 x 8 x 12 =11,520 sawa na shilingi za kitanzania 264,960,000 kwa mwaka. Sio uwekezaji mbaya kwa wenye uwezo wa kifedha wa kuwekeza humo.
 
kwa ivo mzigo mzima kabla ya kulipa Kodi za TRA ni kama bilioni saba hivi??

Kamisheni yako unalipwa na muuzaji ama mnunuzi?

Baada ya kununua 10% ya Wakili analipa nani?

Nimechangia kama kuchochea tu mjadala. Lakini kwa wenye hela zao bei bado ni "reasonable" hasa ukitilia maanani kwa kila "Unit" nane zilizopo kama kila moja inalipiwa dola za kimarekani 1,200 kama kodi kwa mwezi.

1200 x 8 x 12 =11,520 sawa na shilingi za kitanzania 264,960,000 kwa mwaka. Sio uwekezaji mbaya kwa wenye uwezo wa kifedha wa kuwekeza humo.
Unahitaji kama 12 years uweze kurudisha hiyo USD 3m.
 
Hivi ndo vitu vya kuwekeza kwa matajiri. Hakuna stress. Pesa inaingia uhakika na mali inapanda thamani kila uchwao
 
Na kamwe hatutakuja kufanana. Mpaka uingie kwenye hiyo circle ya walio toboa inatakiwa kujikana nafsi haswa na nature iwe upande wako
Kuingia unaingia tu. Ila masharti ya mwanzo ndo magumu. Utaambiwa umtoe kafra mtu wako ama watu wako wa karibu sana kama wazazi mke na watoto tena wanakuchagulia. Baada ya hapo ni ruksa kutoa kafra yeyote unayetaka. Ikiwa mimi sipotezi muda nacheza tu na kina Etwege na Idugunde the witch faster
 
Kuingia unaingia tu. Ola masharti ya mwanzo ndo magumu. Utaambiwa umtoe kafra mtu wako ama watu wako wa karibu kama wazazi mke na watoto tena wanakuchagulia. Baada ya hapo ni ruksa kutoa kafra yeyote unayetaka. Ikiwa mimi sipotezi nacheza tu na kina Etwege na Idugunde the witch
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Wakati hule Jiwe anaingia ikulu 2015 matajiri wengi walinununua apartments haraka haraka kwa kumujofia jamaa kwasababu haeleweki. Kuna mmoja alinunua flat 20 kwa mpigo akawagawia mke na watoto wake.
Alifanye vyema. Jiwe was unpredictable unaweza kuchomeka MASTERCARD yako utoe mpunga unaambiwa huduma imesitishwa ukizama ndani unaambiwa subiri tunashughulikia tatizo lako mara takukuru hao tra unaambiwa unadaiwa kodi sijui ya mwaka gani huko
Chagua moja
Uhujumu uchumi au tuchote mpunga?

Ni yule babu wa kihaya tu Rugemalila alikaza buti
 
Alifanye vyema. Jiwe was unpredictable unaweza kuchomeka MASTERCARD yako utoe mpunga unaambiwa huduma imesitishwa ukizama ndani unaambiwa subiri tunashughulikia tatizo lako mara takukuru hao tra unaambiwa unadaiwa kodi sijui ya mwaka gani huko
The prince mwenyewe unaambiwa baada ya siku tatu Jiwe kuingia ikulu alienda eti aonane naye waongee akazuiwa getini. Jiwe alimaindi kichiz nakumuambia 'geriauti'.
 
Back
Top Bottom