Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
sawa mkuu. kwa size na bei yake ningekuwa na pesa hiyo ningekichukuaHapana mkuu,hati za mauziano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuu. kwa size na bei yake ningekuwa na pesa hiyo ningekichukuaHapana mkuu,hati za mauziano
Usijali mkuu,wakati mwinginesawa mkuu. kwa size na bei yake ningekuwa na pesa hiyo ningekichukua
Umeweka namba, Hupokei simu..Biashara inafanyikaje?! Kama umeuza close thread tujue.Kibaha kwa mfipa,njia ya kwenda galagaza,ukubwa mita 20 kwa 30
Bei milioni mbili na nusu.
Umbali km 2 toka morogoro road.
Malipo ata kwa awamu mbili
.+255672893600
View attachment 2355263
Nimepokea network inasumbua,nimekupigia na namba nyingine iliko vizuri haupokeiUmeweka namba, Hupokei simu..Biashara inafanyikaje?! Kama umeuza close thread tujue.
Million 2 unachukua, hiyo kibaha kwa mfipa ipo wapi!?
Ipo kibaha baada ya kwa Mathias,ipo walipojenga chuo kipya Cha uongoziMillion 2 unachukua, hiyo kibaha kwa mfipa ipo wapi!?
Huko maji yamefika kweli au ni mwendo wa visimaIpo kibaha baada ya kwa Mathias,ipo walipojenga chuo kipya Cha uongozi
Kibaha kwa mfipa,njia ya kwenda galagaza,ukubwa mita 20 kwa 30
Bei milioni mbili na nusu.
Umbali km 2 toka morogoro road.
Malipo ata kwa awamu mbili
.+255672893600
View attachment 2355263
Huko maji yamefika kweli au ni mwendo wa visima
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hiyo ofa niliyokuandikia inakulipaIpo kibaha baada ya kwa Mathias,ipo walipojenga chuo kipya Cha uongozi
Hapana mkuuHiyo ofa niliyokuandikia inakulipa
Sawa kiongoziPiga picha nzuri mkuu tupaone vzr
.
Ahsante [emoji1666]
Bona picha umepiga kitapeli?