Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Milioni 65 ama milioni 6.5?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Dodoma is a big thing, mji unakua kwa kasi sana na unapangika vizuri. Serious investers hasa kwa real estate ni sehemu sahihi.Magufuli aliwaingiza watu mkenge sana, Dodoma ni manispaa tu hiyo siyo Jiji.
Million 50 unapata nyumba Dar tena kilometer chache kwenda City Center.
Hujui ulichokiandika, hebu nitajie bei elekezi per square meter Dodoma ni bei gani?Mkuu Dodoma is a big thing, mji unakua kwa kasi sana na unapangika vizuri. Serious investers hasa kwa real estate ni sehemu sahihi.
Dodoma inakuzwa kwa kasi, haikuiMkuu Dodoma is a big thing, mji unakua kwa kasi sana na unapangika vizuri. Serious investers hasa kwa real estate ni sehemu sahihi.
Hii Bei hiii? Ukute ni Fundi Michael anauza kiwanja Cha WatuNauza KIWANJA Ndani ya Jiji la DODOMA barabara kuu ya Singida kina sqm 462 kina hati miliki ya kielectronic kina msingi bei ni sh 65,000,000/- nitafute 0683670160 ni makazi na biashara fremu nne vyumba vya kulala vitatu View attachment 2285290View attachment 2285303
Milioni 65 kwa sq 462? Kwa mahesabu ya haraka haraka maana yake bei kwa sq mita ni zaidi ya Tshs 140,000.Nauza KIWANJA Ndani ya Jiji la DODOMA barabara kuu ya Singida kina sqm 462 kina hati miliki ya kielectronic kina msingi bei ni sh 65,000,000/- nitafute 0683670160 ni makazi na biashara fremu nne vyumba vya kulala vitatu View attachment 2285290View attachment 2285303
Ndiyo Ukweli WenyeweMagufuli aliwaingiza watu mkenge sana, Dodoma ni manispaa tu hiyo siyo Jiji.
Million 50 unapata nyumba Dar tena kilometer chache kwenda City Center.
Analeta mzaha huyo, wakati Kigamboni ni 10,000/= per square meter.Milioni 65 kwa sq 462? Kwa mahesabu ya haraka haraka maana yake bei kwa sq mita ni zaidi ya Tshs 140,000.
Si mchezo..!!!
Hata sita na laki tano bado umepigwa... hiyo hapo akipata sana basi nne na nusuNi milioni 65 au ulitaka kumaanisha milioni sita na laki tano?
Dalali, unakuta mwenye eneo anataka milion 18 tu, Hii nchiNauza KIWANJA Ndani ya Jiji la DODOMA barabara kuu ya Singida kina sqm 462 kina hati miliki ya kielectronic kina msingi bei ni sh 65,000,000/- nitafute 0683670160 ni makazi na biashara fremu nne vyumba vya kulala vitatu View attachment 2285290View attachment 2285303
KIWANJA kina hati tayari, kina foundation ya fremu nne vyumba vitatu master vya kulala, jiko, sebule, public toi, kimetazamana na barabara kuu ya kwenda singida, shimo la choo kubwa na limejengewa, kifusi kimeshajazwa huduma zote zipo, dodoma chumba master unapangisha hadi 130000/_ double 25000/- karibu 0683670160, ni mali yangu mwenyewe, pia nina eneo la viwanda vidogo km 2 kutoka barabara ya singida kina SQM 2850 kwa mil45 kina hati tayariMilioni 65 kwa sq 462? Kwa mahesabu ya haraka haraka maana yake bei kwa sq mita ni zaidi ya Tshs 140,000.
Si mchezo..!!!