Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba Dodoma

Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba Dodoma

Dalali, unakuta mwenye eneo anataka milion 18 tu, Hii nchi
Piga hesabu msingi umekula tofali 4elf za inchi 6 Kila moja 1400 ,kifusi Lori kumi na Tano kwa sh, 300 kila lori
 
Piga hesabu msingi umekula tofali 4elf za inchi 6 Kila moja 1400 ,kifusi Lori kumi na Tano kwa sh, 300 kila lori
KIWANJA barabara kuu ya kwenda singida au morogoro ukipata chini ya mil20 itakuwa zaidi ya km30 toka katikati ya jiji
 
Magufuli aliwaingiza watu mkenge sana, Dodoma ni manispaa tu hiyo siyo Jiji.

Million 50 unapata nyumba Dar tena kilometer chache kwenda City Center.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa kwel skuiz pesa yetu haina maana km 65M inanunua sqm 400 tu. Hakuna kijana atatoboa nchi hii. Icho kiwanja ata kingekua Manhattan New York hakiwez kufikia bei hiyo. Acha kuota.
M65 hajui kama unamvuwa mtu magomeni, kinondoni ukienda buza unapata nyumba 2-3[emoji23]
 
Kwa bei hyo na tena mji wenyewe dodoma... Hata kwa miaka 10 mbele.. Huwez kupata mteja...

Mil 65 dar unapata nyumba iliyokamilika vzr kbsa.. Tena karibu na mji
KIWANJA kina hati tayari, kina foundation ya fremu nne vyumba vitatu master vya kulala, jiko, sebule, public toi, kimetazamana na barabara kuu ya kwenda singida, shimo la choo kubwa na limejengewa, kifusi kimeshajazwa huduma zote zipo, dodoma chumba master unapangisha hadi 130000/_ double 25000/- karibu 0683670160, ni mali yangu mwenyewe, pia nina eneo la viwanda vidogo km 2 kutoka barabara ya singida kina SQM 2850 kwa mil45 kina hati tayari
 
Nauza KIWANJA Ndani ya Jiji la DODOMA barabara kuu ya Singida kina sqm 462 kina hati miliki ya kielectronic kina msingi bei ni sh 65,000,000/- nitafute 0683670160 ni makazi na biashara fremu nne vyumba vya kulala vitatu View attachment 2285290View attachment 2285303
Hivi ni macho yangu ndo hayaoni au tarakimu za dalali ndo zimekosewa?
Yaani MBWANGA sijui NALA,CHIGONGWE,LUGALA kwa Milioni 65??
We dalali utakuwa mgeni Dodoma wewe!
Hata Bahiroad watu wana nunua Milioni 50 ndo Town kati kabisaaa
 
Hata kisasa hawauzi bei hiyo, we nala huko utamuuzia nani kwa hiyo bei?
 
Usawa huu hela ilivyokuwa ngumu, halafu ununue kiwanja cha sqm 400+ chenye msingi kwa milioni 65! Utani mkubwa sana huu.
 
Back
Top Bottom