khalifa awe
Senior Member
- Sep 21, 2016
- 147
- 31
- Thread starter
- #81
KIWANJA Mali yanguMadalali bana anataka atokee kwenye kiwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIWANJA Mali yanguMadalali bana anataka atokee kwenye kiwanja
Piga hesabu msingi umekula tofali 4elf za inchi 6 Kila moja 1400 ,kifusi Lori kumi na Tano kwa sh, 300 kila loriDalali, unakuta mwenye eneo anataka milion 18 tu, Hii nchi
KIWANJA barabara kuu ya kwenda singida au morogoro ukipata chini ya mil20 itakuwa zaidi ya km30 toka katikati ya jijiPiga hesabu msingi umekula tofali 4elf za inchi 6 Kila moja 1400 ,kifusi Lori kumi na Tano kwa sh, 300 kila lori
KabisaDodoma inakuzwa kwa kasi, haikui
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magufuli aliwaingiza watu mkenge sana, Dodoma ni manispaa tu hiyo siyo Jiji.
Million 50 unapata nyumba Dar tena kilometer chache kwenda City Center.
M65 hajui kama unamvuwa mtu magomeni, kinondoni ukienda buza unapata nyumba 2-3[emoji23]Kwa kwel skuiz pesa yetu haina maana km 65M inanunua sqm 400 tu. Hakuna kijana atatoboa nchi hii. Icho kiwanja ata kingekua Manhattan New York hakiwez kufikia bei hiyo. Acha kuota.
Hiyo bei unapata nyumba mbili zilizokamilika huku kwetu kivuleKIWANJA Mali yangu
KIWANJA kina hati tayari, kina foundation ya fremu nne vyumba vitatu master vya kulala, jiko, sebule, public toi, kimetazamana na barabara kuu ya kwenda singida, shimo la choo kubwa na limejengewa, kifusi kimeshajazwa huduma zote zipo, dodoma chumba master unapangisha hadi 130000/_ double 25000/- karibu 0683670160, ni mali yangu mwenyewe, pia nina eneo la viwanda vidogo km 2 kutoka barabara ya singida kina SQM 2850 kwa mil45 kina hati tayari
Hivi ni macho yangu ndo hayaoni au tarakimu za dalali ndo zimekosewa?Nauza KIWANJA Ndani ya Jiji la DODOMA barabara kuu ya Singida kina sqm 462 kina hati miliki ya kielectronic kina msingi bei ni sh 65,000,000/- nitafute 0683670160 ni makazi na biashara fremu nne vyumba vya kulala vitatu View attachment 2285290View attachment 2285303
Mkuu hapo kivule kiwanja cha 500sq napata kwa sh ngapHiyo bei unapata nyumba mbili zilizokamilika huku kwetu kivule
Barabara kuu ya singidaWe jamaa hauko serious,Dodoma kuna nyumba nyingi za kumalizia tu finishing zinauzwa kuanzia 40-60M,sasa wewe msingi ndio umuuzie MTU 65M??
Taja specific ni wapi kiwanja kipo!!!,sasa ukisema Barabara ya kwenda Singida hata BAHI ni Barabara ya kwenda Singida,kwani ukitaja jina kwamba ni Nala,Mizani,Mbwanga,Four Ways kule nk utapungukiwa nini??Barabara kuu ya singida
Maneno ya madalali hayoMkuu Dodoma is a big thing, mji unakua kwa kasi sana na unapangika vizuri. Serious investers hasa kwa real estate ni sehemu sahihi.