Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Mkuu nafikiri wewe una yako mengine...mimi nimeweka bango la biashara yangu sasa ni jukumu lako kuangalia umeguswa vipi...ukiona ni bei kubwa sawa ukiona ni affordable karibu...na hata mimi nikiona vile viwanja vya Mbweni vinavyouzwa milioni 300 huwa nakaa kimya tu kama vile havinihusu...sina sababu ya kugombana na muuzaji...Pole kama nimekukwaza.


Rejea lugha yako ulliyotumia. Lugha ya kukera!.

Kwa eneo unalouza hata ungeuza sh. 1000 kwa square meter siwezi kununua, na hasa kwa tabia ya kurumbana na wateja.

Ninaongea kwa interest ya public. Tangazo lako la bei nafuu ulioloweka halina uhalisia kulilngana na bei unayouza na viwanja vyako mahala vilipo ikiwemo saizi ya viwanja vya square meter 200!. Hapo si unajenga mshonano wa watu kuliko hata madhare ya Kenya?

Wazo lako zuri lakini unapashwa kuangalia mbali na uache maneno ya kukera kwenye biashara.
 
Mkuu ni sawa kivipi
Ni sawa kwa kumaanisha kuwa urefu wa miguu ni makadirio hivyo miguu 20 kwa 20 ni makadirio but vipimo halisi ni mita 16 kwa 16,16 kwa 32,32 kwa 32,32 kwa 48,32 kwa 64 nk
 
Rejea lugha yako ulliyotumia. Lugha ya kukera!.

Kwa eneo unalouza hata ungeuza sh. 1000 kwa square meter siwezi kununua, na hasa kwa tabia ya kurumbana na wateja.

Ninaongea kwa interest ya public. Tangazo lako la bei nafuu ulioloweka halina uhalisia kulilngana na bei unayouza na viwanja vyako mahala vilipo ikiwemo saizi ya viwanja vya square meter 200!. Hapo si unajenga mshonano wa watu kuliko hata madhare ya Kenya?

Wazo lako zuri lakini unapashwa kuangalia mbali na uache maneno ya kukera kwenye biashara.
Hivi neno bei nafuu ni la kukera?...Basi samahani labda kwa kutokujua kiswahili vizuri sikulitambua hilo...umenielimisha na nimekubali...kuanzia sasa nitalitumia kwa wale tu ambao haliwakeri...pole sana kiongozi
 
Kampuni ya Makazi Investment Ltd inauza;
Viwanja Fukayosi mjini
Viko Fukayosi Bagamoyo
Kilometa 30 toka Bagamoyo mjini kuelekea Msata
Mita 500 toka kwenye lami
Jirani na mnada wa Fukayosi

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba: 0713565999 / 0767565999 View attachment Ramani ya Viwanja Fukayosi.pdf
 
Mmesajiliwa brela mkuu na Kodi mnalipa ,naweza nikaona malipo yenu tra japo nijue nafanya na akina kazi ama ndio kuaminiana na ilhali benki hawakumini kalamu wanazifunga huku wewe mjinga umewaamini wakitunzie hela nyingi kuliko iyo pen ya 500shs
 
Mmesajiliwa brela mkuu na Kodi mnalipa ,naweza nikaona malipo yenu tra japo nijue nafanya na akina kazi ama ndio kuaminiana na ilhali benki hawakumini kalamu wanazifunga huku wewe mjinga umewaamini wakitunzie hela nyingi kuliko iyo pen ya 500shs
Huna hela tuliza kende zako

Wenye pesa watanunua

Sent from my CPH1717 using JamiiForums mobile app
 
Kampuni ya Makazi Investment Ltd inauza;
Viwanja Fukayosi Mjini
Viko Fukayosi Bagamoyo
Kilometa 30 toka Bagamoyo mjini kuelekea Msata
Mita 500 toka kwenye lami
Jirani na mnada wa Fukayosi

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba: 0713565999 / 0767565999 View attachment 2300221
boss fanya mpango tupate na picha za viwanja,kuna kipindi niliona kampuni yenu inatoa viwanja kwa mkopo,vipi bado mna huo utaratibu? hivyo vya bagamoyo bei ipoje?
 
Huna hela tuliza kende zako

Wenye pesa watanunua

Sent from my CPH1717 using JamiiForums mobile app
Kwani mie nimesema kuwa Nina hela.
Mie nilitaka kujua Kama mnafanya formal or informal business Basi.
Mana mtu anaweza akalipa hela baadaye ikatokea kurudishiwa mtu hayupo yupo zake Bondeni kwa tata madiba.
So how about guarantee za hela.
Kumbuka mie Sina hela ivyo uwe na amani na furaha pia iongezeke kwako
 
Viwanja vipo Mapinga Mjini
-Kilometa 2 toka Bagamoyo Rd
-Kilometa 6 toka Bunju
-Vimepimwa na utapata hatimiliki
-Eneo limeendelea sana
-Kuna majumba ya kifahari
-Kuna mahotel
-Si mbali toka baharini
-Mandhari nzuri sana
BEI: TSH 22,000 KWA SQM
Kuanzia sqm 717 hadi 1,541
BEI ZA MAPINGA
Bei kwa mita mraba moja ni Tsh 22,000
Kiwanja kidogo kabisa ni mita mraba 717
Maana yake 717×22,000=15,400,000
Kiwanja cha bei ya chini kabisa ni Tsh 15,400,000

Ukilipa cash bei ni Tsh 22,000 kwa sqm
Ukilipa Kidogokidogo bei ni Tsh 30,000 kwa sqm
Unaanza na 50% na iliyobakia ndani ya miezi sita
Mawasiliano
Piga: 0713565999 / 0767565999
IMG-20240129-WA0003.jpg
IMG-20240129-WA0013.jpg
 
Mapinga ilivyo kubwa. Tangazo bado halijakamilika
 
Back
Top Bottom