Tunawahitaji akina Bashiru wengi katika nchi hii ili tuweze kuendelea

Tunawahitaji akina Bashiru wengi katika nchi hii ili tuweze kuendelea

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,082
Reaction score
2,402
Si kila kitu cha kusifia, kwani kuupiga mwingi ndio matokeo mazuri, au ndio kupata ushindi?

Hata kwenye Football, unaweza uupigwe mwingi alafu ufungwe tu, yani unaupigwa mwingi alafu hupati matokeo!

Wanaopiga kauli yake ni wasaka tonge tu,
Kama ni mbunge wakonanakosoa bila maelezo sahihi ya Dr Bashiru basi wana jimbo lake wamtafakari upya

Mtu anaupigwa mwingi Sabuni mche ilikuwa 800 tu sasa hivi 4000 ndio kuupigwa mwingi,

Watanzania inabidi kujitafakari upya kuhusu kuupigwa mwingi

Eti mtu anasimama anaongea na vyombo vya habari anasema yule ni chawa anatakiwa asifie mamlaka iliyomteua, kweli unaona hali si hali kisa chawa ndio usihurumie nchi yako?

Mambo ya nchi hayana uchawa, tunataka mabadiliko, uchawa waachieni wabana pua
 
Mkuu ukishamjua mbwa anaebweka nyumbani kwako mwisho wa siku utabweka wewe

This is exactly what happened

Tupambane na mtori juu nyama zipo chini
 
Si kila kitu cha kusifia, kwani kuupiga mwingi ndio matokeo mazuri, au ndio kupata ushindi?

Hata kwenye Football, unaweza uupigwe mwingi alafu ufungwe tu, yani unaupigwa mwingi alafu hupati matokeo!

Wanaopiga kauli yake ni wasaka tonge tu,
Kama ni mbunge wakonanakosoa bila maelezo sahihi ya Dr Bashiru basi wana jimbo lake wamtafakari upya
Moto unaomuwakia sasa hivi anatamani ingekuwa vinginevyo [emoji23]
 
Si kila kitu cha kusifia, kwani kuupiga mwingi ndio matokeo mazuri, au ndio kupata ushindi?

Hata kwenye Football, unaweza uupigwe mwingi alafu ufungwe tu, yani unaupigwa mwingi alafu hupati matokeo!

Wanaopiga kauli yake ni wasaka tonge tu,
Kama ni mbunge wakonanakosoa bila maelezo sahihi ya Dr Bashiru basi wana jimbo lake wamtafakari upya
hoja yake ina mashiko, ila tukirudi nyuma hii hadithi ya kusifiana na uchawa uchawa vilianza wakati yeye akiwa Katibu Mkuu wa chama chetu na ndiyo maana makada wengi wamemshukia kama mwewe, wana sababu ya msingi kwamba why now?

Kuna muda hadi Mzee wa Lupaso (RIP) aliikemea sana tabia hii pale Ikulu wakati wazee wastaafu wa CCM walipoitwa na Jiwe.
 
Let's assume yote yanayofanywa na Serikali ya SSH yangekuwa yanafanywa na Serikali ya JPM kwa uzito ule ule... bila kuzidi wala kupunguwa!

Katika mazingira kama hayo, je, Bashiru bado angeendelea kuongea alichoongea kwa uzito uile ule?

Kama jibu ni NDIYO, basi BIG UP Bashiru na maombi yako yatimie lakini kama jibu ni HAPANA, basi Mungu atuepushe na viumbe aina ya Bashiru manake ni kansa!
 
Wanaopiga kauli yake ni wasaka tonge tu,
Kama ni mbunge wakonanakosoa bila maelezo sahihi ya Dr Bashiru basi wana jimbo lake wamtafakari upya
Na Mwenyekiti wetu yupo kimya, ila nina uhakika akiungana na Bashiru wote waliompiga mawe Bashiru watamsifia Mwenyekiti tena kwa maandamano
 
Let's assume yote yanayofanywa na Serikali ya SSH yangekuwa yanafanywa na Serikali ya JPM kwa uzito ule ule... bila kuzidi wala kupunguwa...
Sasa yote ya SHS ambayo ni mambo ya ajabu kabisaa yanayoendelea kuharibu, ..JPM angeanzaje kuyafanya Sasa?

Mfano wako Hauna uhalisia.
 
Sasa yote ya SHS ambayo ni mambo ya ajabu kabisaa yanayoendelea kuharibu, ..JPM angeanzaje kuyafanya Sasa??

Mfano wako Hauna uhalisia.
Sina namna nyingine ya kukuonesha uhalisia unapatikana unakujaje hapo...
 
Si kila kitu cha kusifia, kwani kuupiga mwingi ndio matokeo mazuri, au ndio kupata ushindi?

Hata kwenye Football, unaweza uupigwe mwingi alafu ufungwe tu, yani unaupigwa mwingi alafu hupati matokeo!

Wanaopiga kauli yake ni wasaka tonge tu,
Kama ni mbunge wakonanakosoa bila maelezo sahihi ya Dr Bashiru basi wana jimbo lake wamtafakari upya

Mtu anaupigwa mwingi Sabuni mche ilikuwa 800 tu sasa hivi 4000 ndio kuupigwa mwingi,

Watanzania inabidi kujitafakari upya kuhusu kuupigwa mwingi

Eti mtu anasimama anaongea na vyombo vya habari anasema yule ni chawa anatakiwa asifie mamlaka iliyomteua, kweli unaona hali si hali kisa chawa ndio usihurumie nchi yako?

Mambo ya nchi hayana uchawa, tunataka mabadiliko, uchawa waachieni wabana pua
I salute!
 
Si kila kitu cha kusifia, kwani kuupiga mwingi ndio matokeo mazuri, au ndio kupata ushindi?

Hata kwenye Football, unaweza uupigwe mwingi alafu ufungwe tu, yani unaupigwa mwingi alafu hupati matokeo!

Wanaopiga kauli yake ni wasaka tonge tu,
Kama ni mbunge wakonanakosoa bila maelezo sahihi ya Dr Bashiru basi wana jimbo lake wamtafakari upya

Mtu anaupigwa mwingi Sabuni mche ilikuwa 800 tu sasa hivi 4000 ndio kuupigwa mwingi,

Watanzania inabidi kujitafakari upya kuhusu kuupigwa mwingi

Eti mtu anasimama anaongea na vyombo vya habari anasema yule ni chawa anatakiwa asifie mamlaka iliyomteua, kweli unaona hali si hali kisa chawa ndio usihurumie nchi yako?

Mambo ya nchi hayana uchawa, tunataka mabadiliko, uchawa waachieni wabana pua
Hoja ya Bashiru ina mashiko lakini yeye kama Bashiru hana guts za kusema alichosema. Hana legacy, ameshaharibu brand yake. Nyerere angekuwa hai angesema ni wale wanasiasa malaya malaya
 
Si kila kitu cha kusifia, kwani kuupiga mwingi ndio matokeo mazuri, au ndio kupata ushindi?

Hata kwenye Football, unaweza uupigwe mwingi alafu ufungwe tu, yani unaupigwa mwingi alafu hupati matokeo!

Wanaopiga kauli yake ni wasaka tonge tu,
Kama ni mbunge wakonanakosoa bila maelezo sahihi ya Dr Bashiru basi wana jimbo lake wamtafakari upya

Mtu anaupigwa mwingi Sabuni mche ilikuwa 800 tu sasa hivi 4000 ndio kuupigwa mwingi,

Watanzania inabidi kujitafakari upya kuhusu kuupigwa mwingi

Eti mtu anasimama anaongea na vyombo vya habari anasema yule ni chawa anatakiwa asifie mamlaka iliyomteua, kweli unaona hali si hali kisa chawa ndio usihurumie nchi yako?

Mambo ya nchi hayana uchawa, tunataka mabadiliko, uchawa waachieni wabana pua
Waliokuwa wanatetea huu ushenzi ndio unawahitaji? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221121-152938.png
    Screenshot_20221121-152938.png
    128.1 KB · Views: 3
Kwani watatuletea maji n umeme? Wakiwa wengi.
 
Back
Top Bottom