Tunawapenda sana kwa sababu mnatufariji

Tunawapenda sana kwa sababu mnatufariji

Tunawapenda sana kwa sababu mnatupa faraja mbalimbali; pale tunapokuwa tumechoshwa na mihangaiko ya hapa na pale huwa mnatufariji. Ila kuna wengine ni vichomi au mabomu, wanaosababisha tuwachukie na kuwachukulia wote mko hivyo.

Tunaomba mbadilike, ila amini tunawapenda sana hasa kwa yule anayejitambua na kujua wajibu wake.
View attachment 2139894
tuhurumie jamani na kwaresma hii
 
Back
Top Bottom