Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Inabidi iwe hivyo mkuuInapendeza kusikia hivo,, Naona Malaika wa heri umeamua utembelee motoni kidogo ukawasalimie, na kuwapa matumaini ndugu zetu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi iwe hivyo mkuuInapendeza kusikia hivo,, Naona Malaika wa heri umeamua utembelee motoni kidogo ukawasalimie, na kuwapa matumaini ndugu zetu...
tuhurumie jamani na kwaresma hiiTunawapenda sana kwa sababu mnatupa faraja mbalimbali; pale tunapokuwa tumechoshwa na mihangaiko ya hapa na pale huwa mnatufariji. Ila kuna wengine ni vichomi au mabomu, wanaosababisha tuwachukie na kuwachukulia wote mko hivyo.
Tunaomba mbadilike, ila amini tunawapenda sana hasa kwa yule anayejitambua na kujua wajibu wake.
View attachment 2139894
ha ha ha ki vipi mkuu?tuhurumie jamani na kwaresma hii
Unaenda kwako mkuuUjumbe sasa unaenda kwa nani,au kama sijaelewa ndo hainihusu ivoo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa iv wanatuita wote ni mbwa tu...hiyo faraja itatoka wapi kama tunawabwekea?