Tunawasema Watanzania, lakini kuna baadhi ya Wakenya mabumbumbu pia

Tunawasema Watanzania, lakini kuna baadhi ya Wakenya mabumbumbu pia

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Tumekuwa tukiwasema Wtanzania humu kwa uzembe wao kwenye hili suala la Corona na jinsi wanajisisifu na kubweteka, lakini kuna Wakenya pia ambao wanakera kishenzi.

Leo nikiwa kwenye mazoezi nimeibua ugomvi na kondaka wa daladala ambaye alikua anapokea abiria bila kutumia kopo la sanitizer kuhakikisha kila abiria ananawa mikono.

Nimetamani kaladinga la polisi liwasombe wote hao abiria, jameni vijana msipokua makini mtazika wazazi wenu wote nchi hii, bora hata kuundwe makundi ya 'vigilantes' wazunguke mida ya asubuhi asubuhi kwenye stendi, wakikuta watu wanafanya vya hovyoo wawe wanawapa kichapo tu maana kuna binadamu bila kipodo huwa hatumii akili.

Huu sio muda kuchekeana, Afrika tumekoswa koswa na hiki kirusi, ila tusikae kama mazombi wasiokua na mipango yoyote, tuendelee kujichimbia maana hatujui yaliyomo nyuma ya pazia, hatujui kama kiliandaliwa kwenye maabara na aliyekitengeneza hakua na vinasaba vya Kiafrika, kwa haraka kakiachia tu.

Maana imewashangaza hata Wazungu kwanini Afrika hatufi kwa mamilioni, leo hii hata Wakenya ambao wapo karantini, waliogunduliwa kuwa nacho wengi wanawasiliana na familia zao wakiwaambia hamna kikubwa wanachohisi, ila kwa wenzetu uzunguni asilimia kubwa ya wanaoumwa kirusi wanaishia kwenye ventilators. Kinawapiga balaa, wengi wanakufa kwa maelfu.
 
mzee matatizo yenu wakenya na corona
Msilinganishe na sisi.
KILA MTU APAMBANE KIVYAKE..
Anza kuwa na huruma na nchi yako.
Mambo ya Tanzania tuachie wenyewe watanzania..


Sent using Jamii Forums mobile app
Anataka kuonyesha kwamba tunalingana katika hili. Ni kawaida ya wakenya kwenye matatizo yao, wanayafanya yaonekane kuwa ni tatizo la Africa nzima, ila kwenye mafanikio, yanakuwa ni mafanikio ya Kenya.

Hili tatizo la Corona ni uzembe wa wakenya kama kawaida, hawatumii akili katika kupanga mipango yao, ni watu wa kukurupuka bila kujua nini wanataka kukipata katika hayo maamuzi yao.

Haya mapambano na Corona, ni kipimo halisi cha kuonyesha jinsi Kenya ilivyo nchi ya hovyo katika ukanda huu, haiwezikani nchi zingine zote zinaonyesha dalili za kutokuwepo kwa maambukizi mapya, ni Kenya pekee ndio kila siku kuna maambukizi mapya. Kwa huu uzembe unategemea nini?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkitaka polisi waingie tena street si ndio mtaongeza vifo majirani,tumieni akili kidogo na kufuata ushauri wa madaktari mtakua salama kama sisi.

macson
 
Unatakiwa ulinganishe hali yeni na Uganda na sio Tanzania maana TZ sio levo ya Kenya hivi 20kwa 126 wapi na wapi?
Tumekua tukiwasema Wtanzania humu kwa uzembe wao kwenye hili suala la Corona na jinsi wanajisisifu na kubweteka, lakini kuna Wakenya pia ambao wanakera kishenzi. Leo nikiwa kwenye mazoezi nimeibua ugomvi na kondaka wa daladala ambaye alikua anapokea abiria bila kutumia kopo la sanitizer kuhakikisha kila abiria ananawa mikono.

Nimetamani kaladinga la polisi liwasombe wote hao abiria, jameni vijana msipokua makini mtazika wazazi wenu wote nchi hii, bora hata kuundwe makundi ya 'vigilantes' wazunguke mida ya asubuhi asubuhi kwenye stendi, wakikuta watu wanafanya vya hovyoo wawe wanawapa kichapo tu maana kuna binadamu bila kipodo huwa hatumii akili.
Huu sio muda kuchekeana, Afrika tumekoswa koswa na hiki kirusi, ila tusikae kama mazombi wasiokua na mipango yoyote, tuendelee kujichimbia maana hatujui yaliyomo nyuma ya pazia, hatujui kama kiliandaliwa kwenye maabara na aliyekitengeneza hakua na vinasaba vya Kiafrika, kwa haraka kakiachia tu.

Maana imewashangaza hata Wazungu kwanini Afrika hatufi kwa mamilioni, leo hii hata Wakenya ambao wapo karantini, waliogunduliwa kuwa nacho wengi wanawasiliana na familia zao wakiwaambia hamna kikubwa wanachohisi, ila kwa wenzetu uzunguni asilimia kubwa ya wanaoumwa kirusi wanaishia kwenye ventilators. Kinawapiga balaa, wengi wanakufa kwa maelfu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anataka kuonyesha kwamba tunalingana katika hili. Ni kawaida ya wakenya kwenye matatizo yao, wanayafanya yaonekane kuwa ni tatizo la Africa nzima, ila kwenye mafanikio, yanakuwa ni mafanikio ya Kenya.

Hili tatizo la Corona ni uzembe wa wakenya kama kawaida, hawatumii akili katika kupanga mipango yao, ni watu wa kukurupuka bila kujua nini wanataka kukipata katika hayo maamuzi yao.

Haya mapambano na Corona, ni kipimo halisi cha kuonyesha jinsi Kenya ilivyo nchi ya hovyo katika ukanda huu, haiwezikani nchi zingine zote zinaonyesha dalili za kutokuwepo kwa maambukizi mapya, ni Kenya pekee ndio kila siku kuna maambukizi mapya. Kwa huu uzembe unategemea nini?


Sent using Jamii Forums mobile app

Ila hawa watu hawaskii waliambiwa wasisafiri wakasafiri!
 
Unatakiwa ulinganishe hali yeni na Uganda na sio Tanzania maana TZ sio levo ya Kenya hivi 20kwa 126 wapi na wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wakenya wakifanya ubumbumbu ndio tunawalinganisha na Watanzania maana wanakua wamejishusha kwenye level yenu huko mlivyo, mpaka leo mnakusanyika kwenye vilabu vya pombe na maeneo ya ibada hamzingatii tahadhari yoyote, mibanano kwenye madaladala kama kawaida yenu.

Hizo namba umetupia zipo hivyo kwa sababu nyie hamna uwezo wa kupima kwa kasi kama ilivyo Kenya. Mna maabara moja tu wakati sisi zipo kibao, ndio utofauti wa kiuchumi baina yetu, sisi kwa siku tunapima zaidi ya 300, nyie kwa wiki tatu ndio mumefikia kupima hiyo 300, sasa hapo labda kilaza wa kutupwa kule ndio hutaelew hayo mahesabu.
 
[emoji3][emoji3] [emoji40] [emoji40] kwahiyo Kenya marekani ya E.A

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimecheka sana, nimeona mnavyomjia juu January Makamba kisa kauliza mumepima wangapi, hehehe!! Yaani mumeshaogopa hamtaki kupima ili mjione nafuu kwa namba chache...Mtanzania akihoji wamepimwa wangapi mnamtusi, ila wacha huyo Makamba akutane na hayo matusi maana wana Lumumba aliokuwa akiwalea ndio hao hao wanamtusi leo


2358438_Screenshot_20200405-094404.jpeg


2358439_Screenshot_20200405-094343.jpeg
 
Haya Ila namba unasoma 1TZ - 4 Kenya Sasa cjui na kufa nako ni matokeo ya kupima Sana , maana Kama cc hatumimi watu wengi bc kifo kingetuumbua , harafu hv Ile ebola Tanzania iliishia wapi vile na Ile habar ya ugaidi walizosema bwana wenu marekani nanyi mukawa munapigia debe tuwasikilize ,
Wakenya wakifanya ubumbumbu ndio tunawalinganisha na Watanzania maana wanakua wamejishusha kwenye level yenu huko mlivyo, mpaka leo mnakusanyika kwenye vilabu vya pombe na maeneo ya ibada hamzingatii tahadhari yoyote, mibanano kwenye madaladala kama kawaida yenu.
Hizo namba umetupia zipo hivyo kwa sababu nyie hamna uwezo wa kupima kwa kasi kama ilivyo Kenya. Mna maabara moja tu wakati sisi zipo kibao, ndio utofauti wa kiuchumi baina yetu, sisi kwa siku tunapima zaidi ya 300, nyie kwa wiki tatu ndio mumefikia kupima hiyo 300, sasa hapo labda kilaza wa kutupwa kule ndio hutaelew hayo mahesabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya wakifanya ubumbumbu ndio tunawalinganisha na Watanzania maana wanakua wamejishusha kwenye level yenu huko mlivyo, mpaka leo mnakusanyika kwenye vilabu vya pombe na maeneo ya ibada hamzingatii tahadhari yoyote, mibanano kwenye madaladala kama kawaida yenu.
Hizo namba umetupia zipo hivyo kwa sababu nyie hamna uwezo wa kupima kwa kasi kama ilivyo Kenya. Mna maabara moja tu wakati sisi zipo kibao, ndio utofauti wa kiuchumi baina yetu, sisi kwa siku tunapima zaidi ya 300, nyie kwa wiki tatu ndio mumefikia kupima hiyo 300, sasa hapo labda kilaza wa kutupwa kule ndio hutaelew hayo mahesabu.
Muhimu ni kutokua na maambukizi, kwani mkipima lazima mkutwe na maambukizi?, haiwezikani mkapima watu 1000 na msikuta na maambukizi hata mmoja?.

Hamjui nini mnalolitaka, lengo liwe ni kutokuwepo kwa maambukizi, lengo sio mumepima wangapi, sasa USA na Spain kupima kwao kunawasaidia nini ukilinganisha na Sweden na Japan wasiopima katika idadi ya watu wanaokufa na wenye maambukizi?. Hamjui mlitakalo mumeshakwama mnabaki kupiga domo tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya wakifanya ubumbumbu ndio tunawalinganisha na Watanzania maana wanakua wamejishusha kwenye level yenu huko mlivyo, mpaka leo mnakusanyika kwenye vilabu vya pombe na maeneo ya ibada hamzingatii tahadhari yoyote, mibanano kwenye madaladala kama kawaida yenu.
Hizo namba umetupia zipo hivyo kwa sababu nyie hamna uwezo wa kupima kwa kasi kama ilivyo Kenya. Mna maabara moja tu wakati sisi zipo kibao, ndio utofauti wa kiuchumi baina yetu, sisi kwa siku tunapima zaidi ya 300, nyie kwa wiki tatu ndio mumefikia kupima hiyo 300, sasa hapo labda kilaza wa kutupwa kule ndio hutaelew hayo mahesabu.
Hapa umelinganisha na Africa nzima wala sio Tanzania, sasa umezidiwa ndio mnarukaruka na kutapatapa, tupo hapa tunasubiri viongozi wenu mapoyo watusomee idadi ya wakenya waliokufa na walioambukizwa toka Jana, failed state.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya Ila namba unasoma 1TZ - 4 Kenya Sasa cjui na kufa nako ni matokeo ya kupima Sana , maana Kama cc hatumimi watu wengi bc kifo kingetuumbua , harafu hv Ile ebola Tanzania iliishia wapi vile na Ile habar ya ugaidi walizosema bwana wenu marekani nanyi mukawa munapigia debe tuwasikilize ,

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani sisi wamekufa wangapi, hiki kirusi kwa Afrika hakiui kama Ulaya, mpaka sasa tumepima zaidi ya 1,700 na vifo viine, ikumbukwe tunataja ni vifo vya Corona maana tuliwapima, kwingine kwa wasiopima, akifa mtu hawezi akasemwa amekufa kwa Corona au la maana hakupimwa.

Waafrika wengi wameathirika lakini wanatamba freshi tu, hivyo acheni uwoga wa kupima, japo sio uwoga najua ni uwezo huo haupo kwenu kisa uchumi, hamna uwezo wa kupima wengi kwa mkupuo.

Sem ni muhimu kuendelea kujilinda, acheni kubweteka na kukaa hovyoo, nimependa hii video ya mkuu wa mkoa wa Kigoma, ameingia mtaani na kuwasema sana wanabiashara ambao wapo wapo tu kama mnavyoaminishana huko.

Ona hii video alivyovuruga, japo naye naona hayupo makini bado anakusanya watu

 
Hivi corona ina muhitaji mtu apime.
AU INAONEKANA YENYEWE KWA DALILI ZAKE?.
Nimecheka sana, nimeona mnavyomjia juu January Makamba kisa kauliza mumepima wangapi, hehehe!! Yaani mumeshaogopa hamtaki kupima ili mjione nafuu kwa namba chache...Mtanzania akihoji wamepimwa wangapi mnamtusi, ila wacha huyo Makamba akutane na hayo matusi maana wana Lumumba aliokuwa akiwalea ndio hao hao wanamtusi leo


2358438_Screenshot_20200405-094404.jpeg


2358439_Screenshot_20200405-094343.jpeg

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Hivi corona ina muhitaji mtu apime.
AU INAONEKANA YENYEWE KWA DALILI ZAKE?.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"

Ona unavyouliza swali kama hili halafu eti wewe ndiye unakesha kwenye mitandao ukitetea mnachofanya huko, ina maana hata mambo ya msingi ya Corona huyajui, na ndivyo mlivyo wengi wenu mnaochekelea juhudi za Kenya lakini mkiulizwa hata maswali matatu yanayohusu huu ugonjwa mnatoka kapa.
 
Ona unavyouliza swali kama hili halafu eti wewe ndiye unakesha kwenye mitandao ukitetea mnachofanya huko, ina maana hata mambo ya msingi ya Corona huyajui, na ndivyo mlivyo wengi wenu mnaochekelea juhudi za Kenya lakini mkiulizwa hata maswali matatu yanayohusu huu ugonjwa mnatoka kapa.
Nchi ya Sweden imesimamisha rasmi upimaji wa virusi vya Corona, badala yake wanatibu kwa kutumia dalili tu. Lazima wakenya mkubali kwamba uwezo wenu wa kutumia akili ni mdogo, ninyi mnakariri kana kasuku na kuiga toka Marekani kwa kila kitu. Hiyo jamaa ameuliza swali zuri na la msingi, kwasababu hujui na sio "field" yako, unabaki kupiga domo tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom