Sisi ni majinga ila tunawashinda kwenye kila kitu inayohusu uchumi.Mkijilinganisha na sisi (Tz).Mnapata afueni?
Nimeshawahi tembelea kenya.Ni majinga hayana mfano japo hakuna nchi inayokosa jingas.Najivunia kua mtanzania 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
Daa itakuwa chang'aa na milungj inawachanganya akiliWanataka wawe na idadi kubwa ya waathirika wa corona virus kama USA ili nao wajiite superpower country! Chezea nyang'ao wewe!!!
Ona unavyouliza swali kama hili halafu eti wewe ndiye unakesha kwenye mitandao ukitetea mnachofanya huko, ina maana hata mambo ya msingi ya Corona huyajui, na ndivyo mlivyo wengi wenu mnaochekelea juhudi za Kenya lakini mkiulizwa hata maswali matatu yanayohusu huu ugonjwa mnatoka kapa.
Mbona hamtaki kutoa idadi ya watu waliopimwa hadi sasa?Muhimu ni kutokua na maambukizi, kwani mkipima lazima mkutwe na maambukizi?, haiwezikani mkapima watu 1000 na msikuta na maambukizi hata mmoja?.
Hamjui nini mnalolitaka, lengo liwe ni kutokuwepo kwa maambukizi, lengo sio mumepima wangapi, sasa USA na Spain kupima kwao kunawasaidia nini ukilinganisha na Sweden na Japan wasiopima katika idadi ya watu wanaokufa na wenye maambukizi?. Hamjui mlitakalo mumeshakwama mnabaki kupiga domo tupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hamtaki kutoa idadi ya watu waliopimwa hadi sasa?
Ahsante Kwa kuanzisha huu Uzi na kutuita wazembe tumeujua ukweli jinsi Kenya mlivyo hovyo katika kuhudumia wagonjwa na walio katika karantini, hivi Kwa video hii mtalinganisha na Tanzania kweli? huyu binti siku alipanda ndege kurudi alikotoka haji tena Kenya. Kwa Hali hii Kenya kuifikia Tanzania msahauTumekuwa tukiwasema Wtanzania humu kwa uzembe wao kwenye hili suala la Corona na jinsi wanajisisifu na kubweteka, lakini kuna Wakenya pia ambao wanakera kishenzi.
Leo nikiwa kwenye mazoezi nimeibua ugomvi na kondaka wa daladala ambaye alikua anapokea abiria bila kutumia kopo la sanitizer kuhakikisha kila abiria ananawa mikono.
Nimetamani kaladinga la polisi liwasombe wote hao abiria, jameni vijana msipokua makini mtazika wazazi wenu wote nchi hii, bora hata kuundwe makundi ya 'vigilantes' wazunguke mida ya asubuhi asubuhi kwenye stendi, wakikuta watu wanafanya vya hovyoo wawe wanawapa kichapo tu maana kuna binadamu bila kipodo huwa hatumii akili.
Huu sio muda kuchekeana, Afrika tumekoswa koswa na hiki kirusi, ila tusikae kama mazombi wasiokua na mipango yoyote, tuendelee kujichimbia maana hatujui yaliyomo nyuma ya pazia, hatujui kama kiliandaliwa kwenye maabara na aliyekitengeneza hakua na vinasaba vya Kiafrika, kwa haraka kakiachia tu.
Maana imewashangaza hata Wazungu kwanini Afrika hatufi kwa mamilioni, leo hii hata Wakenya ambao wapo karantini, waliogunduliwa kuwa nacho wengi wanawasiliana na familia zao wakiwaambia hamna kikubwa wanachohisi, ila kwa wenzetu uzunguni asilimia kubwa ya wanaoumwa kirusi wanaishia kwenye ventilators. Kinawapiga balaa, wengi wanakufa kwa maelfu.
Kwa uzembe huu wasitarajie kuwanan.ahueni hapoAnataka kuonyesha kwamba tunalingana katika hili. Ni kawaida ya wakenya kwenye matatizo yao, wanayafanya yaonekane kuwa ni tatizo la Africa nzima, ila kwenye mafanikio, yanakuwa ni mafanikio ya Kenya.
Hili tatizo la Corona ni uzembe wa wakenya kama kawaida, hawatumii akili katika kupanga mipango yao, ni watu wa kukurupuka bila kujua nini wanataka kukipata katika hayo maamuzi yao.
Haya mapambano na Corona, ni kipimo halisi cha kuonyesha jinsi Kenya ilivyo nchi ya hovyo katika ukanda huu, haiwezikani nchi zingine zote zinaonyesha dalili za kutokuwepo kwa maambukizi mapya, ni Kenya pekee ndio kila siku kuna maambukizi mapya. Kwa huu uzembe unategemea nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani nyamaza kwa video hio ni sawa na hujavaa nguoWakenya wakifanya ubumbumbu ndio tunawalinganisha na Watanzania maana wanakua wamejishusha kwenye level yenu huko mlivyo, mpaka leo mnakusanyika kwenye vilabu vya pombe na maeneo ya ibada hamzingatii tahadhari yoyote, mibanano kwenye madaladala kama kawaida yenu.
Hizo namba umetupia zipo hivyo kwa sababu nyie hamna uwezo wa kupima kwa kasi kama ilivyo Kenya. Mna maabara moja tu wakati sisi zipo kibao, ndio utofauti wa kiuchumi baina yetu, sisi kwa siku tunapima zaidi ya 300, nyie kwa wiki tatu ndio mumefikia kupima hiyo 300, sasa hapo labda kilaza wa kutupwa kule ndio hutaelew hayo mahesabu.
Ndio hatuwezi kuwafikia maana mpo chini yetu na hatutawahi rudi chini.Ahsante Kwa kuanzisha huu Uzi na kutuita wazembe tumeujua ukweli jinsi Kenya mlivyo hovyo katika kuhudumia wagonjwa na walio katika karantini, hivi Kwa video hii mtalinganisha na Tanzania kweli? huyu binti siku alipanda ndege kurudi alikotoka haji tena Kenya. Kwa Hali hii Kenya kuifikia Tanzania msahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maendeleo hayo endeleeni tuNdio hatuwezi kuwafikia maana mpo chini yetu na hatutawahi rudi chini.
Angalia mchangiaji #4
kwa hiyo unataka kusema kwamba Tz ndo kuna uzembe wa kujiknga na Corona?,umepimaje huo uzembe?,na Tz gani hii unayoionglea,..maana nilio mm kuna sehemu huwezi ingia kama hujanawa,kuna maduka yameandikwa kabosa huwzi ingia dukani bila kunawa,vitakasa mikono madukani vimekwisha ama kupandishwa bei,sasa kama kuna uzembe hiyo inaashiroa nini..........WAKENYA PUNGUZENI KUFIKIRIA KWA MATAKOTumekuwa tukiwasema Wtanzania humu kwa uzembe wao kwenye hili suala la Corona na jinsi wanajisisifu na kubweteka, lakini kuna Wakenya pia ambao wanakera kishenzi.
Leo nikiwa kwenye mazoezi nimeibua ugomvi na kondaka wa daladala ambaye alikua anapokea abiria bila kutumia kopo la sanitizer kuhakikisha kila abiria ananawa mikono.
Nimetamani kaladinga la polisi liwasombe wote hao abiria, jameni vijana msipokua makini mtazika wazazi wenu wote nchi hii, bora hata kuundwe makundi ya 'vigilantes' wazunguke mida ya asubuhi asubuhi kwenye stendi, wakikuta watu wanafanya vya hovyoo wawe wanawapa kichapo tu maana kuna binadamu bila kipodo huwa hatumii akili.
Huu sio muda kuchekeana, Afrika tumekoswa koswa na hiki kirusi, ila tusikae kama mazombi wasiokua na mipango yoyote, tuendelee kujichimbia maana hatujui yaliyomo nyuma ya pazia, hatujui kama kiliandaliwa kwenye maabara na aliyekitengeneza hakua na vinasaba vya Kiafrika, kwa haraka kakiachia tu.
Maana imewashangaza hata Wazungu kwanini Afrika hatufi kwa mamilioni, leo hii hata Wakenya ambao wapo karantini, waliogunduliwa kuwa nacho wengi wanawasiliana na familia zao wakiwaambia hamna kikubwa wanachohisi, ila kwa wenzetu uzunguni asilimia kubwa ya wanaoumwa kirusi wanaishia kwenye ventilators. Kinawapiga balaa, wengi wanakufa kwa maelfu.
umeandika kwa uchungu sana...Ahsante Kwa kuanzisha huu Uzi na kutuita wazembe tumeujua ukweli jinsi Kenya mlivyo hovyo katika kuhudumia wagonjwa na walio katika karantini, hivi Kwa video hii mtalinganisha na Tanzania kweli? huyu binti siku alipanda ndege kurudi alikotoka haji tena Kenya. Kwa Hali hii Kenya kuifikia Tanzania msahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Buda si hio Kigoma kidogo ifanane na Turkana hivi? Tofauti ni mvua tu otherwise the ignorance is much the same.Kwani sisi wamekufa wangapi, hiki kirusi kwa Afrika hakiui kama Ulaya, mpaka sasa tumepima zaidi ya 1,700 na vifo viine, ikumbukwe tunataja ni vifo vya Corona maana tuliwapima, kwingine kwa wasiopima, akifa mtu hawezi akasemwa amekufa kwa Corona au la maana hakupimwa.
Waafrika wengi wameathirika lakini wanatamba freshi tu, hivyo acheni uwoga wa kupima, japo sio uwoga najua ni uwezo huo haupo kwenu kisa uchumi, hamna uwezo wa kupima wengi kwa mkupuo.
Sem ni muhimu kuendelea kujilinda, acheni kubweteka na kukaa hovyoo, nimependa hii video ya mkuu wa mkoa wa Kigoma, ameingia mtaani na kuwasema sana wanabiashara ambao wapo wapo tu kama mnavyoaminishana huko.
Ona hii video alivyovuruga, japo naye naona hayupo makini bado anakusanya watu
Usiwe serious hivyo utapata mshtuko was moyo bro.kwa hiyo unataka kusema kwamba Tz ndo kuna uzembe wa kujiknga na Corona?,umepimaje huo uzembe?,na Tz gani hii unayoionglea,..maana nilio mm kuna sehemu huwezi ingia kama hujanawa,kuna maduka yameandikwa kabosa huwzi ingia dukani bila kunawa,vitakasa mikono madukani vimekwisha ama kupandishwa bei,sasa kama kuna uzembe hiyo inaashiroa nini..........WAKENYA PUNGUZENI KUFIKIRIA KWA MATAKO
kwa hiyo unataka kusema kwamba Tz ndo kuna uzembe wa kujiknga na Corona?,umepimaje huo uzembe?,na Tz gani hii unayoionglea,..maana nilio mm kuna sehemu huwezi ingia kama hujanawa,kuna maduka yameandikwa kabosa huwzi ingia dukani bila kunawa,vitakasa mikono madukani vimekwisha ama kupandishwa bei,sasa kama kuna uzembe hiyo inaashiroa nini..........WAKENYA PUNGUZENI KUFIKIRIA KWA MATAKO
Watazania ni mbumbumbu!mzee matatizo yenu wakenya na corona
Msilinganishe na sisi.
KILA MTU APAMBANE KIVYAKE..
Anza kuwa na huruma na nchi yako.
Mambo ya Tanzania tuachie wenyewe watanzania..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani sisi wamekufa wangapi, hiki kirusi kwa Afrika hakiui kama Ulaya, mpaka sasa tumepima zaidi ya 1,700 na vifo viine, ikumbukwe tunataja ni vifo vya Corona maana tuliwapima, kwingine kwa wasiopima, akifa mtu hawezi akasemwa amekufa kwa Corona au la maana hakupimwa.
Waafrika wengi wameathirika lakini wanatamba freshi tu, hivyo acheni uwoga wa kupima, japo sio uwoga najua ni uwezo huo haupo kwenu kisa uchumi, hamna uwezo wa kupima wengi kwa mkupuo.
Sem ni muhimu kuendelea kujilinda, acheni kubweteka na kukaa hovyoo, nimependa hii video ya mkuu wa mkoa wa Kigoma, ameingia mtaani na kuwasema sana wanabiashara ambao wapo wapo tu kama mnavyoaminishana huko.
Ona hii video alivyovuruga, japo naye naona hayupo makini bado anakusanya watu