Saa kumi usiku upo JF? Noma jo.Uzembe wenu wa kuiponza Zanzibar, je mlijua na Tanga kirusi kimefika hadi watu wa huko kupeleka Zanzibar, au kwa mlivyo wazembe hamjui chochote.
Zanzibar yatangaza maambukizi mawili huku wote wakitokea Tanga na kuingia Zanzibar - JamiiForums
Ila boss, nimeona ile clip #4 ya your karantines. Nyie wazembe balaa.Uzembe wenu wa kuiponza Zanzibar, je mlijua na Tanga kirusi kimefika hadi watu wa huko kupeleka Zanzibar, au kwa mlivyo wazembe hamjui chochote.
Zanzibar yatangaza maambukizi mawili huku wote wakitokea Tanga na kuingia Zanzibar - JamiiForums
Ila boss, nimeona ile clip #4 ya your karantines. Nyie wazembe balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa kumi usiku upo JF? Noma jo.
Na Tanga hakuna mgonjwa hadi sasa, believe it or not.
Usijilinganishe na bongo jamaa, utapotea, nzige uliwasikia? Ebola? Hii corona itakwisha Tz.
Endelea ku tune in.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishawahi muambia anazeeka vibaya na ni kweli nilikuwa sahihi,Saa kumi usiku upo JF? Noma jo.
Na Tanga hakuna mgonjwa hadi sasa, believe it or not.
Usijilinganishe na bongo jamaa, utapotea, nzige uliwasikia? Ebola? Hii corona itakwisha Tz.
Endelea ku tune in.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliondoka Tanga march 13th. Una uhakika gani walitoka nacho tanga.Huwa naanza kazi zangu aidha saa tisa au saa nane maana muda huo sina usumbufu, dunia imetulia napata fursa ya kutumia ubongo vizuri.
Wala sijilinganishi na Tanzania, nasoma taarifa kama zilivyo, mumeshindwa kupima watu ila hamtulii mnazurura na kuwaponza Wazenji, ndugu zenu wametokea na kirusi wameambukizwa Tanga na kukipeleka Zenji.
Sasa hapo kigoma unalinganisha na nairobi. Hapo hakuna mtu kwanza.Karantini hii ya maturubai ndio bora?
Hapa suala siyo utanzania au ukenya bali hili gonjwa kwanza linatisha, limeibuka ghafla na haliendani na mila na tamaduni zetu. Lakini kadiri siku zinavyokwenda ukubwa wa suala hili linazidi kujikita kwenye fahamu zetu na ndiyo maana watu wengi hivi sasa wanajitahidi kuchukua tahadhari kwa kuangalia mandhari ya mazingira yao.Tumekuwa tukiwasema Wtanzania humu kwa uzembe wao kwenye hili suala la Corona na jinsi wanajisisifu na kubweteka, lakini kuna Wakenya pia ambao wanakera kishenzi.
Leo nikiwa kwenye mazoezi nimeibua ugomvi na kondaka wa daladala ambaye alikua anapokea abiria bila kutumia kopo la sanitizer kuhakikisha kila abiria ananawa mikono.
Nimetamani kaladinga la polisi liwasombe wote hao abiria, jameni vijana msipokua makini mtazika wazazi wenu wote nchi hii, bora hata kuundwe makundi ya 'vigilantes' wazunguke mida ya asubuhi asubuhi kwenye stendi, wakikuta watu wanafanya vya hovyoo wawe wanawapa kichapo tu maana kuna binadamu bila kipodo huwa hatumii akili.
Huu sio muda kuchekeana, Afrika tumekoswa koswa na hiki kirusi, ila tusikae kama mazombi wasiokua na mipango yoyote, tuendelee kujichimbia maana hatujui yaliyomo nyuma ya pazia, hatujui kama kiliandaliwa kwenye maabara na aliyekitengeneza hakua na vinasaba vya Kiafrika, kwa haraka kakiachia tu.
Maana imewashangaza hata Wazungu kwanini Afrika hatufi kwa mamilioni, leo hii hata Wakenya ambao wapo karantini, waliogunduliwa kuwa nacho wengi wanawasiliana na familia zao wakiwaambia hamna kikubwa wanachohisi, ila kwa wenzetu uzunguni asilimia kubwa ya wanaoumwa kirusi wanaishia kwenye ventilators. Kinawapiga balaa, wengi wanakufa kwa maelfu.
Waliondoka Tanga march 13th. Una uhakika gani walitoka nacho tanga.
I insist, usijilinganishe na bongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo kigoma unalinganisha na nairobi. Hapo hakuna mtu kwanza.
Afu huyo ni kiongozi wa serikali anakosoa, kule kwenu ni mtu aliyewekwa karantini is reporting.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajaambukizwa Tanga, confirmed.Hakuna mwenye uhakika wa kujua nani aliwaambukiza huko Tanga.
Sijilinganishi na Tanzania maana hamjafikia level ya kulinganishwa na Kenya, hili la Corona pekee yake limedhihirisha ukweli wa mlivy nyuma tena mbali sana.