Tunawataka DP World, Wabongo wa bandarini tumewachoka wamejaa rushwa na urasimu. Kuwe na kipengere cha Mkataba kuisha kila baada ya Miaka mitano!

Tunawataka DP World, Wabongo wa bandarini tumewachoka wamejaa rushwa na urasimu. Kuwe na kipengere cha Mkataba kuisha kila baada ya Miaka mitano!

Tatizo la rushwa haliko bandarini tu. Kwanza huko bandarini ni sehemu ndogo sana. Rushwa iko kwenye serikali nzima. Hata hizo zitakazopatika huko bandarini zitapigwa juu kwa juu na kina Samia na Rostam.
Mwekezaji hawezi kuingiliwa na serikali so mapato yote atakayoyapata DPW baada ya uwekezaji huu ni vigumu hizo pesa kupigwa na serikali otherwise labda kuwa na makubaliano binafsi na jambo hilo ni ngumu

Na DPW hawezi kuiendesha bandari hii kwa rushwa coz anahitajika alipe kodi na hilo haliwezj kuepukika kwasababu mkataba utamlazimu mwekezaji alipekodi kulingana na mapato anayoyaingiza na mifumo yote ya mapato yanaunganishwa na serikali hivo rushwa ni ngumu sana kuwepo
 
TPA kushindwa ndiyo watanzania wote wameshindwa? Hii bandari imefeli kwa sababu ya uongozi mbaya kutoka chama kinachotawala. Wanaingiza siasa na kuchagua mafisadi kuongoza TPA. Kama ni kuondoa chanzo cha matatizo basi inatakiwa tuanze na uongozi wa nchi. Ni bora hata tuajiri rais, mawaziri na watendaji wakuu wa wizara kutoka nchi za nje.
TPA lazima ifeli tu, maana Chama kikiwa na shida ya noti kinachota pia huko TPA bila taratibu ya utowaji!!
 
Wewe unaweza kuwekeza sehemu mabilion kwa mkataba wa miaka mitano?
Haitafaa. Kama ni usimamizi tuu bila kuwekeza ni sawa. Lakini kusimamia Bandari bila vitendea kazi na miundombinu ya kisasa hakutakuwa na tija. Cha msingi kuwe Na win win situation Na mambo ya bila ukomo yatoke.
 
20230629_172226.jpg
 
Shida yote ilianzia hapa 👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼 , najuta kabisa kuwasanua hawa jamaa

 
Ubinafsishwajj ni jambo la muhimu katika maendeleo ya nchi, hawa wazawa TPA wamejaarushwa hujumu, na ufisadi hii bandari inawanufaisha wachache. Tunamtaka DP WORLD kwa maslahi ya taifa
Kimsingi DPW na waarabu wao hatuwataki kabisa, anaonekana ni mlaghai. Tufanye wenyewe au la mbia mwingine kabisa.
 
Back
Top Bottom