Eghainimalinya
JF-Expert Member
- Feb 6, 2018
- 214
- 267
Mkuu uki deal na watumishi wa umma haiwezi kua hivyo unavyofikiria lkn lazima changamoto ziwepo na changamoto kubwa ndo hiyo ya marejesho lkn lazima uweke target kua ktk wateja 10 warejeshe 7 kwa wakati na 3 wachelewe kidogo sio kwamba hawatarejesha kabisa hapana kama yuko hai atarejesha tuMicrofinance ni changamoto kwenye marejesho unaweza kujikuta umefilisika