Shanily
JF-Expert Member
- Nov 4, 2024
- 856
- 1,662
Kama mjuavyo teknolojia ilivyotaradadi Kila Kona ya Duniani. Utazamaji wa Television (TV) umekuwa haukwepeki.
Shida katika maudhui yanayorushwa kuna maudhui yasiyofaa kuangalia na vijana wetu ambao Bado hawajajua kuchanganua mambo.
Kuna muda unataka uangalie zako tamthilia nawao hao wapo hapo hapo wanakodoa.
Hata hizi katuni ambazo tunawawekea napo Kuna maudhui yasiyofaa, ukisema ufungie Yako, kwa jirani zipo zinafungiuliwa na huwezi wafungia ndani.
Hivi tunawalindaje vijana wetu hawa?
Shida katika maudhui yanayorushwa kuna maudhui yasiyofaa kuangalia na vijana wetu ambao Bado hawajajua kuchanganua mambo.
Kuna muda unataka uangalie zako tamthilia nawao hao wapo hapo hapo wanakodoa.
Hata hizi katuni ambazo tunawawekea napo Kuna maudhui yasiyofaa, ukisema ufungie Yako, kwa jirani zipo zinafungiuliwa na huwezi wafungia ndani.
Hivi tunawalindaje vijana wetu hawa?