Chaneli zipi zinazoangalizika ?Nunua Tv yako weka chumban, hiyo ya seblen set channels zinavyoangalika tu, kama channels za michezo...
Wewe unaweza usinunue, jirani yako nae utamzuia!?. Maana watoto wanacheza kwingi huwezi mzuia ndani tu.Sio lazima pia kuwa na TV, habari zote unazipata kwa simu yako. Hela ya TV unaweza nunua kinanda, guitar, vitabu, computer za watoto n.k.
Yes wamezuia vyombo vya habari kuendesha programe za maana wakaruhusu matangazo ya betting na adult content kwenye mediaKwani CCM ndo wameleta maudhui yaliyopo ndani ya hzo TV!?.
Alaumiwe alotutoa analogy kutuleta digital, analogy kulikuwaga hakuna vimbwanga vingi kwenye Tv kma sasa
Hv kweli Marine hz watoto wanatoka wanaenda kwa majirani serious serious serious kufanya nn dah tunatofautiana mm naishi useaz bt akitoka shule ndan week end kama hakuna kaz maalum ndan hao wako wakubwa na wadogo hawana rafiki mnawezaje kutoa watoto out of your controlNunua Tv yako weka chumban, hiyo ya seblen set channels zinavyoangalika tu, kama channels za michezo, wanyama na katuni za kulingana na umri wao basi, wakataze watoto wake kwenda kwa majirani dunia sio nzuri hii, weekends pendelea kuwapeleka sehemu za mazoezi na michezo ili wawe active na wasipate muda wa kuangalia Tv sana.
Kwisha kazi
Unaweza kumzuia, akitoka shule ni homework, kucheza mpira anarudi nyumbani. Na mtoto kizazi hiki unamruhusu aende kwa jirani kweli!!!Wewe unaweza usinunue, jirani yako nae utamzuia!?. Maana watoto wanacheza kwingi huwezi mzuia ndani tu.
Hapo unaminya mwanao kukua kiakili, kuchanganyika na wenzie Kuna faida kiakili kwa mtoto , anakuwa mchangamfuHv kweli Marine hz watoto wanatoka wanaenda kwa majirani serious serious serious kufanya nn dah tunatofautiana mm naishi useaz bt akitoka shule ndan week end kama hakuna kaz maalum ndan hao wako wakubwa na wadogo hawana rafiki mnawezaje kutoa watoto out of your control
Naam kila mtu apambane na familia yakeKabsa kwa hali ilivyo sio poa kbsaa, tutaishia kuangalia Tanzania Safari channel basi