Tunawezaje kuwalinda watoto wetu dhidi ya maudhui yasiyofaa kwenye TV?

Sikuhizi waafrica wamekuwa wapumbavu sana, Takataka za hovyo tulizo zoea kuzisikia kwa wazungu na waarabu, sasa waafrica wanaiga na kuonyeshana kwenye tv
"Waarabu" wamekusikilizisha "takataka" zipi?
 
nafikiri kuna settings za parental control unaweza tumia ukaseti mida yao tu waone kitu fulani tu kwa faida yao, ila pia kuwatoa out mazoezi na kucheza itaokoa kama alivyoshauri mdau hapo juu na pia kingine kuwanunulia zile tablets za watoto za 150,000
 
Ntmok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…