Tunazunguka mbuyu hatutaki kusema ukweli

Tunazunguka mbuyu hatutaki kusema ukweli

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
3,114
Reaction score
3,541
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzunguka mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu, akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
 
Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua
Mimi nadhani Vunjeni Muungano, ili Zanzibar iende zake na Tanganyika waunde serikali yao.

Kwa vile Bunge ndio limepitisha haitawezekana kufanya Impnchment.

Kuhusu kuuzwa kwa Sovereghnity ya tanganyika nadhani Zanzibar Tunastahiki zaidi Kupewa Sovereghnity yetu NOW.

Nyinyi Bandari mumekuwa wakali kiivyo ,sisi Nchi yetu inakaliwa na Tanganyika kwa miaka 60 sasa hatufurukuti , hali zetu taabani tukoje?

unjeni Mungano itatosha kumtowa Madarakani , na Tanganyika undeni serikali yenu
 
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzungu mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu.akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!

Kwanin Clinton aliponea chupuchupu?

Binafsi nadhani bila taasisi za kiraia na vyama vya Upinzani Imara na vyenye umoja hakuna kitu kitafanyika wala kubadilika nchini. Mpaka sasaivi Tz inaweza ongozwa na mtu yeyote kutoka CCM hata awe mbovu namna gani, uchaguzi uwe huru usiwe huru atashinda tena kwa kishindo bila wasiwasi. Suluhisho ni umoja vyama vya kiraia, upinzani, wananchi na indirectly foreign help. Otherwise CCM is enjoying divisions, hypocrisy, selfishness, kutoaminiana and lack of visions among opposition parties.
 
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzungu mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu.akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Kikwete ametuponza kupenda vyeupe kumbe vyengine utajuta
 
expand...
Wema wa Mwalimu Nyerere ndio unaomsababisha Wapemba/Wazanzibari wenye chuki leo wamtukane.
Waingereza walipompa visiwa vya Zanzibar badala ya kumuacha kinyago Sultani walichokichonga wenyewe Waingereza baada ya kumpora Mreno kisiwa mwaka 1836.

Mwalimu Nyerere angeunda tu Tanzania ya serikali moja.
Kwa huruma yake kwa hawa Wapemba /Wazanzibari wanaomtukana leo kawaruhusu kuwa na kijiserikali chao.
Mwaka jana eti hata katiba ya Tanzania imebadilishwa itamke Zanzibar ni nchi?
Ikifuatia mabadilika ya katiba ya Zanzibar ya 2010 aliotengeneza Aman Karume aliekuwa na nia ya kuvunja Muungano hadi alianzisha vikundi vya kigaidi vilivyofadhiliwa na Mamlaka ya Mapato Zanzibar.

Leo Wapemba/ Wazanzibari wamejaa huko bara kila idara na teuzi za kimkakati kabisa za kuihujumu na kuicontrol Tanganyika.
Ardhi na visiwa vya Tanganyika vimeporwa juzi tu wamesainiana eti hadi visiwa vilivyoko kusini mashariki mwa Daressalaam eti bado ni ramani ya Zanzibar, maana yake Dar imeporwa bahari, mfano kisiwa cha Latham, wavuvi wa Dar wanaitwa Fungu Mbaraka, sikuizi kimebadilishwa jina kinaitwa Fungu Kizimkazi.

Watumishi Wapemba /Wazanzibari waliokula neema huko Dodoma kwa kula kuku kwa mrija na kubebwa kwa misafara, mfano DC Sadiiiifa Jumwa kurudi huku Unguja nasikia huko Wilayani kwake Kaskazini A anawaambukiza wanawake wa asili ya Tanganyika kwa makusudi kabisa huku akijua yeye sio mzima tena kwa kuwabaka wengine na kesi zipo lakini analindwa.

Huku town huja na kuranda kwenye Mabar kuwatafuta wabongo awaangamize bila huruma.

Nimetoa mifano midogo tu ya Wapemba na hujuma ambayo hapa tunaona ncha tu, watafika mbali sana katika kuihujumu Tanganyika, wao wote lao ni moja, asikudanganye mtu, na ndio maana asilimia 100 yao wapo chama cha upinzani cha Hizbu kwa sasa wameikodi ACT ila Zitto akizingua wao wanahama kwa sekunde moja tu na kwenda chama che agenda ya Zanzibar kuwa nchi kamili na muungano ubaki kama wa EAC au SADC.
Ukimuona Mzanzibari CCM chama cha Mwalimu Nyerere wanae mchukia ujue yupo kimaslahi, na ndio maana wanajisikia vibaya sana kuvaa kijani. Mimi mwenyewe sio CCM ila naandika ukweli the ground situation hapa serikalini znz nilipo hali ni mbaya, Mwinyi wanasema ni mwizi wa kuletwa tu na wabongo, hawamkubali.

Wazanzibari wangebaki tu Makamu wa Rais tu madhali kwao nchi yao ina hii serikali kamili, huko Tanganyika wangekuwepo kulinda maslaha ya Zanzibar tu ndani ya Muungano.
 
Uvivu wa Maprofesa wetu wa sheria umesababisha haya.
Kwani katiba ilioruhusu Zanzibar kuwa na serikali yake kamili, huku Tanganyika ikiwa haina serikali nyingine yake yenyewe, kwanini katiba hio sasa ikaruhusu Mzanzibari kurithi Urais wa serikali hii badala ya siku zote kuishia umakamu wa Rais kwa ajili tu ya kulinda maslaha ya Zanzibar ndani ya Muungano?

Ikitokea kama kifo cha Rais wa Tanzania basi kipengele kingesema aliekuwa Waziri Mkuu au Jaji Mkuu, Speaker wa Bunge ashike Urais hadi Uchaguzi mkuu ujao. Mzenji akibaki nafasi yake kivulini ya umakamu ili alinde maslaha ya nchi yao Zenji.

Uvivu huu sasa ndio unaumiza forever, haya mambo yatapelekea vita na nchi za kiarabu. Na tutavwamiwa kinguvvu. Nipo paleee nanywa kahawa mie.
 

Attachments

  • 5425669-b060b0334ba4460683e8657081fff735.mp4
    1.9 MB
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzungu mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu.akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Unaweza kuwa na point lakini unaonekana unaongozwa na mihemeko. Samahani mkuu, wewe mkataba umeuona?
 
Mimi nadhani Vunjeni Muungano,ili Zanzibar iende zake na Tanganyika waunde serikali yao.
Kwa vile Bunge ndio limepitisha haitawezekana kufanya Impnchment
Kuhusu kuuzwa kwa Sovereghnity ya tanganyika nadhani Zanzibar Tunastahiki zaidi Kupewa Sovereghnity yetu NOW.

Nyinyi Bandari mumekuwa wakali kiivyo ,sisi Nchi yetu inakaliwa na Tanganyika kwa miaka 60 sasa hatufurukuti , hali zetu taabani tukoje?
Zanzibar ikiamua kujitoa kwenye muungano inaweza hata kesho ikiitisha baraza la wawakilishi wakijadili na kuamua ndio mwisho wa Muungano. Fanyeni hivyo
 
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzungu mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu.akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Nadhani unaamanisha amekabidhi "sovereignty" na siyo "sovernity" ya nchi/taifa letu kwa waarabu wa Dubai..

All in all, I agree with you. Anayepaswa kuondoka na kuiacha nchi yetu ni Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuvunja na kuinajisi katiba yetu..

Kitendo hiki 100% ni kosa la UHAINI dhidi ya nchi na wananchi wa Tanzania..

Tunawaandama kina PM Kassim Majaliwa au waziri Prof Mbarawa au AG lakini ukweli ni kuwa, mzizi wa fitina ni kwenye center/neclear yenyewe, yaani Ikulu...

Na huyu angekuwa na akili ya kujiokoa, basi ilitegemewa angekuwa anechukua hatua ya kuwatoa sadaka baadhi ya wateule wake Kwa kisingizio Cha "walinishauri vibaya" lakini hadi amekaa kimya tu kama zuzu vile huku mambo yakiendelea kuwa mabaya...

Nchi hii kwa sasa inahitaji uongozi kwelikweli before it's too late...!
 
50% ya Teuzi Tanganyika ni Wazanzibari, kuanzia chamani, jeshini, serikalini etc
Hadi wanachama wa ACT kina Jussa wameteuliwa.

Hujajibu swali langu,

Ilikuwaje akagombea kule Mkuranga baadaye akaja kugombea huku ?? Mbona sheria na katiba haziruhusu ??

hayo ya 50% huna ushahidi nayo ni maneno yenu Watanganyika

Huku Zanzibar huyo kijana wa Mkuranga amewaleta Watanganyika wenzake kawaweka kuanzia , bank ya Zanzibar, KMKM , Vikosi vya SMZ , Magereza , Makatibu wa Wizara nk wote watanganyika na hayo mambo si ya Muungano

Hao kina Jussa waliteuliwa vipi ?? kinyume cha sheria na katiba ??
 
Nadhani unaamanisha amekabidhi "sovereignty" na siyo "sovernity" ya nchi/taifa letu kwa waarabu wa Dubai..

All in all, I agree with you. Anayepaswa kuondoka na kuiacha nchi yetu ni Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuvunja na kuinajisi katiba yetu..

Kitendo hiki 100% ni kosa la UHAINI dhidi ya nchi na wananchi wa Tanzania..

Tunawaandama kina PM Kassim Majaliwa au waziri Prof Mbarawa au AG lakini ukweli ni kuwa, mzizi wa fitina ni kwenye center/neclear yenyewe, yaani Ikulu...

Na huyu angekuwa na akili ya kujiokoa, basi ilitegemewa angekuwa anechukua hatua ya kuwatoa sadaka baadhi ya wateule wake Kwa kisingizio Cha "walinishauri vibaya" lakini hadi amekaa kimya tu kama zuzu vile huku mambo yakiendelea kuwa mabaya...

Nchi hii kwa sasa inahitaji uongozi kwelikweli before it's too late...!
Uliusoma mkataba unasema nini au umeambiwa na Maaskofu wako kanisani ??
 
Uliusoma mkataba unasema nini au umeambiwa na Maaskofu wako kanisani ??
Nimesuliza wataalamu wa sheria na Mimi kuusoma mwanzo mwisho na kuelewa hatua Kwa hatua. Kama una swali uliza ujibiwe sasa hivi..

By the way, vipi wewe umeusoma au umeambiwa na Prof. Mbarawa na Chongolo au Tulia Ackson tu?

Well. Kama umeusoma kweli, twende kazi tuingie kwenye mdahalo. Mimi nakuuliza maswali haya kadhaa moja kwa moja ili ujibu:

1. Tuanze na hili muhimu: Bunge la JMT lina nguvu na mamlaka ya kikatiba ku- ratify mikataba au makubaliano?

2. Hiyo tarehe 10/6/2023 bunge la Dr Tulia Ackson asiyeweza kutulia, lili - ratify mkataba au makubaliano? Au lilofanya yote mawili ndugu Jagina ?

3. Hiyo kampuni ya DP World inayopewa bandari zetu zote za Tanganyika za bahari na maziwa na bandari kavu na transport corridors zote bure inakuja kwekeza mtaji wa kiasi gani? Ni ibara ipi ya mkataba huo inaeleza hili?

4. Hivi huu ni uwekezaji au ni kuuzwa au kugawa rasrimali maji/bandari zetu bure? Na kama ni uwekezaji, huyu mwekezaji anakuja na nini? Kwa mfumo wa PPP au vipi? Anashirikiana na nani? Na Mgawanyo wa mapato ukoje? Ni ibara ipi ya mkataba inaeleza hili kinagaubaga?

5. Ni ibara ipi ya mkataba au makubaliano haya inayochambua kitaalamu kuwa bandari zetu hizi zikichukuliwa na DP World zitaanza kuingiza mapato ya TZS 26Trn Kwa mwaka na kutengeneza Akira 70,000? Na kwani ndugu Jagina, Kwa sasa bandari zetu zote kwa ujumla zmeajiri watu wangapi? Zinaingiza mapato kiasi gani Kwa mwaka?

6. Hivi unajua kuwa mkataba huu unaeleza kuwa kukiwa na kutoelewana kati ya Tanzania na Dubai au DP World, basi mgogoro huo utaenda kuamuliwa SA Kwa sheria za Uingreza? Na Je, unajua kuwa tuna sheria ya rasrimali asili ya mwaka 2017 inayoelekeza namna ya kutatua migogoro ya namna na mkataba huu umeisigina hiyo sheria?

7. Je, unajua kuwa bandari ni suala la Muungano? Na unajua kuwa mkataba huu unahusisha bandari za Tanganyika tu ukiziacha bandari za Zanzibar? Je, haya mapato ya 26tr Kwa mwaka Zanzibar watapewa kiasi gani? Na Yale yatokanayo na bandari zao za huko Zanzibar, Tanganyika itapata mgawo?

NB: Haya ni baadhi ya maswali. Kama una ufahamu na akili za kweli, jaribu kuyajibu na ukipenda naweza kuongeze mengine..
 
Back
Top Bottom