Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana wewe humjui anayetuongoza? asee unaishi wapi?Kama ni kweli naye anasikia kama sisi basi huenda pia hajui kama ndiye Rais,na huenda kuna mtu anayetuongoza
He he ,asante nimekuelewa...Ina maana wewe humjui anayetuongoza? asee unaishi wapi?
AsanteHe he ,asante nimekuelewa...
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Najua kuwa Kikwete kampeleka jela gaidi la Uamsho Shekhe Myemen Farid. Lakini ndio mwenye Tanganyika leo, nchi anayoichukia.Huyo uliyeweka clip yake ni msomi wa haja. Humpati na wasomi unaowaategemea hawampati hata chembe.
Wakati nyie mnaikumbuka Tanganyika leo, yeye kishaenda jela kwa kuikumbusha Tanganyika miaka mingi sana nyuma.
Mtafute umsikilize ndiyo utaelewa umuhimu wa Sheikh Farid kwenye jamii.
Na Mama Samia kamtowa jela, unalijuwa hilo?Najua kuwa Kikwete kampeleka jela gaidi la Uamsho Shekhe Myemen Farid. Lakini ndio mwenye Tanganyika leo, nchi anayoichukia.
Nsilijuwe, hao mashehe naishi nao vooo🤣🤣Na Mama Samia kamtowa jela, unalijuwa hilo?
Silioni tatizo hapo.Nsilijuwe, hao mashehe naishi nao vooo🤣🤣
Wamepewa mabilioni ya pole kwa kufungwa na Kikwete. Wote wamevunja nyumba zao na kujenga upya. Saivi mabosi voo.
Lakini wanyamaza kidogo wasimponze Dada wasije amka makafir Watanganyika
Haya Maswali mazito mno....Hilo lisisiem halitarudi hapa tenaNimesuliza wataalamu wa sheria na Mimi kuusoma mwanzo mwisho na kuelewa hatua Kwa hatua. Kama una swali uliza ujibiwe sasa hivi..
By the way, vipi wewe umeusoma au umeambiwa na Prof. Mbarawa na Chongolo au Tulia Ackson tu?
Well. Kama umeusoma kweli, twende kazi tuingie kwenye mdahalo. Mimi nakuuliza maswali haya kadhaa moja kwa moja ili ujibu:
1. Tuanze na hili muhimu: Bunge la JMT lina nguvu na mamlaka ya kikatiba ku- ratify mikataba au makubaliano?
2. Hiyo tarehe 10/6/2023 bunge la Dr Tulia Ackson asiyeweza kutulia, lili - ratify mkataba au makubaliano? Au lilofanya yote mawili ndugu Jagina ?
3. Hiyo kampuni ya DP World inayopewa bandari zetu zote za Tanganyika za bahari na maziwa na bandari kavu na transport corridors zote bure inakuja kwekeza mtaji wa kiasi gani? Ni ibara ipi ya mkataba huo inaeleza hili?
4. Hivi huu ni uwekezaji au ni kuuzwa au kugawa rasrimali maji/bandari zetu bure? Na kama ni uwekezaji, huyu mwekezaji anakuja na nini? Kwa mfumo wa PPP au vipi? Anashirikiana na nani? Na Mgawanyo wa mapato ukoje? Ni ibara ipi ya mkataba inaeleza hili kinagaubaga?
5. Ni ibara ipi ya mkataba au makubaliano haya inayochambua kitaalamu kuwa bandari zetu hizi zikichukuliwa na DP World zitaanza kuingiza mapato ya TZS 26Trn Kwa mwaka na kutengeneza Akira 70,000? Na kwani ndugu Jagina, Kwa sasa bandari zetu zote kwa ujumla zmeajiri watu wangapi? Zinaingiza mapato kiasi gani Kwa mwaka?
6. Hivi unajua kuwa mkataba huu unaeleza kuwa kukiwa na kutoelewana kati ya Tanzania na Dubai au DP World, basi mgogoro huo utaenda kuamuliwa SA Kwa sheria za Uingreza? Na Je, unajua kuwa tuna sheria ya rasrimali asili ya mwaka 2017 inayoelekeza namna ya kutatua migogoro ya namna na mkataba huu umeisigina hiyo sheria?
7. Je, unajua kuwa bandari ni suala la Muungano? Na unajua kuwa mkataba huu unahusisha bandari za Tanganyika tu ukiziacha bandari za Zanzibar? Je, haya mapato ya 26tr Kwa mwaka Zanzibar watapewa kiasi gani? Na Yale yatokanayo na bandari zao za huko Zanzibar, Tanganyika itapata mgawo?
NB: Haya ni baadhi ya maswali. Kama una ufahamu na akili za kweli, jaribu kuyajibu na ukipenda naweza kuongeze mengine..
Mindset yako ndiyo inayofanya afrika tunakuwa nyuma. America Ni kubwa mno na pia China na India Ila huwezi sikia hizi story. So huko mbeya wakivamiwa wanajeshi wa Arusha,mtwara wasiende kuipambania mbeya mana haiwahusu, haya bana keep it upBandari watachukua na hakuna kitu utafanya wewe nenda Mbeya ukauze maparachichi ,bandari zinawahusu watu wa pwani.
Huko kwenu maparachichi hata muwauzie wachina hatuna noma ila mpunguze shobo na maamuzi yetu.
Nshangaa wanyakyusa mpo mbele mbele kama sio umbea.!!
Jumbe, Jussa, Samiha, Maalim Seif, Amani Karume. Wote lao moja.Silioni tatizo hapo.
Point yangu ni hicho kilichowafunga ni kuitaka Tanganyika iwepo. Nyinyi mnastuka leo. Ma sheikh wameliona zamani hilo na limewafunga wengi na wengine wamepoteza maisha yao jela. Wengine wameng'olewa kwenye madaraka.
Unakijuwa kisa cha Sheikh Aboud Jumbe, au ulikuwa hujazaliwa bado?
Tatizo nini?Jumbe, Jussa, Samiha, Maalim Seif, Amani Karume. Wote lao moja.
Kosa la Jumbe ni mikakati ya kuvunja Muungano, katika kuelekea huko;
Moja kaanzisha Bunge la Zanzibar, akaliita Baraza la Wawakilishi.
Pili Kaanzisha Majeshi ya Zanzibar, yakaitwa KMKM, FIRE na JKU na Amani akaja kuanzisha VALANTIA waliokuwa kama UVCCM tu zamani sikuizi majeshi kamili yenye silaha na yasiyo tiifu kwa Muungano.
Tatu jumbe kakodi mawakili kisiri wa kimataifa kutengeneza hii katiba ya Zanzibar ya nchi huru ya 1984 iliorekebishwa na Amani serikali ya kina Samiha itamke kuwa Zanzibar ni nchi.
Jumbe kafanya yote akiwa anasaidiana na Waziri Mkuu wa Zanzibar (Waziri Kiongozi au kwa sasa cheo hicho huitwa Makamo wa pili) ambae ni Maalim Seif Sharrif Hamad, ambae pia alikuwa Mhasini Mkuu wa CCM na alikuwa Mjumbe wa Kamati kuu na Halmashauri Kuu.
Ndio ujue CCM inaweza kuendeshwa na maadui wake kama sasa. 🤣🤣🤣🤣 karibu urojo leo nipo Kizimkazi napiga story na mashangaz zangu, kama watu wa hapa kila mtu ana damu ya Ununio Dar hata Samia.
safi sana, tunapata kiburudisho live. Mwendazake aliytufanyia roho mbaya kutukatia uhondo.Hatuna bunge....pale ni Bunge Comedy Central
Huwa tunasema wengine mndandia tu. Jumbe alishirikiana na Waziri Kiongozi Seif Sharif!!!Jumbe kafanya yote akiwa anasaidiana na Waziri Mkuu wa Zanzibar (Waziri Kiongozi au kwa sasa cheo hicho huitwa Makamo wa pili) ambae ni Maalim Seif Sharrif Hamad,
Hizi nazo ni akili za kipumbavu na kwa kiwango kisichopimika. Huna unachojuwa zaidi ya kupanua Domo lako na kutumia akili yako kiduchu kwa ujinga grade one.Bandari watachukua na hakuna kitu utafanya wewe nenda Mbeya ukauze maparachichi ,bandari zinawahusu watu wa pwani.
Huko kwenu maparachichi hata muwauzie wachina hatuna noma ila mpunguze shobo na maamuzi yetu.
Nshangaa wanyakyusa mpo mbele mbele kama sio umbea.!!
Sikuwa na wala siwez kufanya ubaguzi ila wenzio ndo wanaleta ubaguzi.Mindset yako ndiyo inayofanya afrika tunakuwa nyuma. America Ni kubwa mno na pia China na India Ila huwezi sikia hizi story. So huko mbeya wakivamiwa wanajeshi wa Arusha,mtwara wasiende kuipambania mbeya mana haiwahusu, haya bana keep it up
Ndo maana we kama mtoto wa kike ,jaribu kufuatilia huko juu.Hizi nazo ni akili za kipumbavu na kwa kiwango kisichopimika. Huna unachojuwa zaidi ya kupanua Domo lako na kutumia akili yako kiduchu kwa ujinga grade one.