Tunazunguka mbuyu hatutaki kusema ukweli

Tunazunguka mbuyu hatutaki kusema ukweli

taasisi hizi 3,yaani bunge , serikali , na mahakama , zote ziko chini ya rais na zote kiuhalisia haziko huru . Sasa plus na unafiki , unadhani Nini kitatokea mkuu. anyway muamuzi ataamua ugomvi na kuweka Mambo sawa.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Sauti moja Zanzibar itatoka wapi na mumewaweka vibaraka wenu kwa mtutu wa bunduki na mumejaza wanajeshi kila mtaa kuna Kambi pamoja na usalama wenu wengine wanavaa mpaka rubega Za kimasai
Angalau umekubalu kwamba Zanzibar hawajawahi kutamka kwa sauti moja including viongozi wenu kwamba Muungano uvunjwe., au urekebishwe. Tanganyika tumewahi, bungeni, chini ya Njelu Kasaka. Nyerere akazima madai yetu.

Zanzibar tangazeni kupitia Baraza la Wawakilishi au Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwamba hamtaki Muungano.
 
Wema wa Mwalimu Nyerere ndio unaomsababisha Wapemba/Wazanzibari wenye chuki leo wamtukane.
Waingereza walipompa visiwa vya Zanzibar badala ya kumuacha kinyago Sultani walichokichonga wenyewe Waingereza baada ya kumpora Mreno kisiwa mwaka 1836.

Mwalimu Nyerere angeunda tu Tanzania ya serikali moja.
Kwa huruma yake kwa hawa Wapemba /Wazanzibari wanaomtukana leo kawaruhusu kuwa na kijiserikali chao.
Mwaka jana eti hata katiba ya Tanzania imebadilishwa itamke Zanzibar ni nchi?
Ikifuatia mabadilika ya katiba ya Zanzibar ya 2010 aliotengeneza Aman Karume aliekuwa na nia ya kuvunja Muungano hadi alianzisha vikundi vya kigaidi vilivyofadhiliwa na Mamlaka ya Mapato Zanzibar.

Leo Wapemba/ Wazanzibari wamejaa huko bara kila idara na teuzi za kimkakati kabisa za kuihujumu na kuicontrol Tanganyika.
Ardhi na visiwa vya Tanganyika vimeporwa juzi tu wamesainiana eti hadi visiwa vilivyoko kusini mashariki mwa Daressalaam eti bado ni ramani ya Zanzibar, maana yake Dar imeporwa bahari, mfano kisiwa cha Latham, wavuvi wa Dar wanaitwa Fungu Mbaraka, sikuizi kimebadilishwa jina kinaitwa Fungu Kizimkazi.

Watumishi Wapemba /Wazanzibari waliokula neema huko Dodoma kwa kula kuku kwa mrija na kubebwa kwa misafara, mfano DC Sadiiiifa Jumwa kurudi huku Unguja nasikia huko Wilayani kwake Kaskazini A anawaambukiza wanawake wa asili ya Tanganyika kwa makusudi kabisa huku akijua yeye sio mzima tena kwa kuwabaka wengine na kesi zipo lakini analindwa.

Huku town huja na kuranda kwenye Mabar kuwatafuta wabongo awaangamize bila huruma.

Nimetoa mifano midogo tu ya Wapemba na hujuma ambayo hapa tunaona ncha tu, watafika mbali sana katika kuihujumu Tanganyika, wao wote lao ni moja, asikudanganye mtu, na ndio maana asilimia 100 yao wapo chama cha upinzani cha Hizbu kwa sasa wameikodi ACT ila Zitto akizingua wao wanahama kwa sekunde moja tu na kwenda chama che agenda ya Zanzibar kuwa nchi kamili na muungano ubaki kama wa EAC au SADC.
Ukimuona Mzanzibari CCM chama cha Mwalimu Nyerere wanae mchukia ujue yupo kimaslahi, na ndio maana wanajisikia vibaya sana kuvaa kijani. Mimi mwenyewe sio CCM ila naandika ukweli the ground situation hapa serikalini znz nilipo hali ni mbaya, Mwinyi wanasema ni mwizi wa kuletwa tu na wabongo, hawamkubali.

Wazanzibari wangebaki tu Makamu wa Rais tu madhali kwao nchi yao ina hii serikali kamili, huko Tanganyika wangekuwepo kulinda maslaha ya Zanzibar tu ndani ya Muungano.
Serikali ya Zanzibar ilikuwepo kabla ya Muungano so siyo huruma ya mwalimu. Huu mfumo ulikuwa ni makubaliano ya pande mbili na siyo Nyerere kuamua
 
Zanzibar ikiamua kujitoa kwenye muungano inaweza hata kesho ikiitisha baraza la wawakilishi wakijadili na kuamua ndio mwisho wa Muungano. Fanyeni hivyo
Mkuu usiwalishe wazenji matango pori. Huwatakii mema jombaa! Ishu ya Muungano sio sawa na chogo kumaliza mapembe (wali) ya wazenji ati!

Huu Muungano hauvunjiki kamwe hadi Nyerere na Karume waliounga nchi wafufuke watamke muungano basi na ule mchanga uliochanganywa utenganishwe.

Wawakilishi wa bunge la stone town zenji wakitamka kuvunja muungano wanakuwa na kosa la uhaini na watatakiwa kunyongwa hadi kufa wote!

Zenji ni koloni letu milele na jeshi la wananchi liko imara kule kufagia chokochoko.

Sababu za muungano ni Siri kubwa! UDSM tumefundishwa ila sijawahi kusikia msomi yoyote wa pale akiropoka popote!
 
Nimesuliza wataalamu wa sheria na Mimi kuusoma mwanzo mwisho na kuelewa hatua Kwa hatua. Kama una swali uliza ujibiwe sasa hivi..

By the way, vipi wewe umeusoma au umeambiwa na Prof. Mbarawa na Chongolo au Tulia Ackson tu?

Well. Kama umeusoma kweli, twende kazi tuingie kwenye mdahalo. Mimi nakuuliza maswali haya kadhaa moja kwa moja ili ujibu:

1. Tuanze na hili muhimu: Bunge la JMT lina nguvu na mamlaka ya kikatiba ku- ratify mikataba au makubaliano?

2. Hiyo tarehe 10/6/2023 bunge la Dr Tulia Ackson asiyeweza kutulia, lili - ratify mkataba au makubaliano? Au lilofanya yote mawili ndugu Jagina ?

3. Hiyo kampuni ya DP World inayopewa bandari zetu zote za Tanganyika za bahari na maziwa na bandari kavu na transport corridors zote bure inakuja kwekeza mtaji wa kiasi gani? Ni ibara ipi ya mkataba huo inaeleza hili?

4. Hivi huu ni uwekezaji au ni kuuzwa au kugawa rasrimali maji/bandari zetu bure? Na kama ni uwekezaji, huyu mwekezaji anakuja na nini? Kwa mfumo wa PPP au vipi? Anashirikiana na nani? Na Mgawanyo wa mapato ukoje? Ni ibara ipi ya mkataba inaeleza hili kinagaubaga?

5. Ni ibara ipi ya mkataba au makubaliano haya inayochambua kitaalamu kuwa bandari zetu hizi zikichukuliwa na DP World zitaanza kuingiza mapato ya TZS 26Trn Kwa mwaka na kutengeneza Akira 70,000? Na kwani ndugu Jagina, Kwa sasa bandari zetu zote kwa ujumla zmeajiri watu wangapi? Zinaingiza mapato kiasi gani Kwa mwaka?

6. Hivi unajua kuwa mkataba huu unaeleza kuwa kukiwa na kutoelewana kati ya Tanzania na Dubai au DP World, basi mgogoro huo utaenda kuamuliwa SA Kwa sheria za Uingreza? Na Je, unajua kuwa tuna sheria ya rasrimali asili ya mwaka 2017 inayoelekeza namna ya kutatua migogoro ya namna na mkataba huu umeisigina hiyo sheria?

7. Je, unajua kuwa bandari ni suala la Muungano? Na unajua kuwa mkataba huu unahusisha bandari za Tanganyika tu ukiziacha bandari za Zanzibar? Je, haya mapato ya 26tr Kwa mwaka Zanzibar watapewa kiasi gani? Na Yale yatokanayo na bandari zao za huko Zanzibar, Tanganyika itapata mgawo?

NB: Haya ni baadhi ya maswali. Kama una ufahamu na akili za kweli, jaribu kuyajibu na ukipenda naweza kuongeze mengine..
Ongezea: Wanasema ni IGA lakini kwa nini upande mmoja kasaini waziri na upande mwengine Mkurugenzi wa DPW?
Halafu tuna msemo unasema Serikali haifanyi biashara lakini tumeingia makubaliano kukabidhi bandari kwa serikali ya dubai
 
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzunguka mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu, akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Hizo taasisi za kiserikali wakuu wote wa hizo taasisi ni wateule wa rais. Sasa hapo unategemea nini??

KATIBA MPYA NI MUHIMU SANA NA KATIBA MPYA NI SASA
 
Mimi nadhani Vunjeni Muungano, ili Zanzibar iende zake na Tanganyika waunde serikali yao.

Kwa vile Bunge ndio limepitisha haitawezekana kufanya Impnchment.

Kuhusu kuuzwa kwa Sovereghnity ya tanganyika nadhani Zanzibar Tunastahiki zaidi Kupewa Sovereghnity yetu NOW.

Nyinyi Bandari mumekuwa wakali kiivyo ,sisi Nchi yetu inakaliwa na Tanganyika kwa miaka 60 sasa hatufurukuti , hali zetu taabani tukoje?
Ninyi wazenj mnachekea tumboni!! Kila siku mnaomba huyo sleeping giant(Tanganyika) asiamke!! Mmeigeuza T/nyika kuwa shamba la bibi!! Mnasema hivi: "Cha Tanganyika ni cha wote lakini cha Zenj ni chenu!!" Mzenj anaruhusiwa kuomba na kufanya kazi huku Tanganyika!! Lakini matangazo ya kazi huko Zenj hatujawahi hata kuyaona!!
 
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzunguka mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu, akaponea chupu chupu.
0
Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!

Halafu CCM wanakataa kwamba siyo mkataba wa zaiai ya miaka 100 ambapo muda wa uangalizi ni miaka 33 baada miaka 33 kuisha wapewe hati ya kukodisha ardhi ya miaka 99, (land lease for 99)
 
Angalau umekubalu kwamba Zanzibar hawajawahi kutamka kwa sauti moja including viongozi wenu kwamba Muungano uvunjwe., au urekebishwe. Tanganyika tumewahi, bungeni, chini ya Njelu Kasaka. Nyerere akazima madai yetu.

Zanzibar tangazeni kupitia Baraza la Wawakilishi au Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwamba hamtaki Muungano.
Baraza la wawakilishi hili lilowekwa na wanajeshi wa Tanganyika na usalama wa Taifa ??
 
Jussa juzi Pemba kasema mkutanoni kuwa sikuizi hakuna kupiga hesabu kwamba Zanzibar inastahiki kiasi gani cha pesa katika mgao, kasema sikuizi Rais anaamua tu hili fungu liende Zanzibar. Wote watoto wa Amani.
Wacha kumpakazia Jussa , weka hiyo clip kama kweli
 
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzunguka mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu, akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Two different nations at different stages of growth
 
Ongezea: Wanasema ni IGA lakini kwa nini upande mmoja kasaini waziri na upande mwengine Mkurugenzi wa DPW?
Halafu tuna msemo unasema Serikali haifanyi biashara lakini tumeingia makubaliano kukabidhi bandari kwa serikali ya dubai
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Hawa ndio walioko ikulu ya Tanganyika.
Huyo uliyeweka clip yake ni msomi wa haja. Humpati na wasomi unaowaategemea hawampati hata chembe.


Wakati nyie mnaikumbuka Tanganyika leo, yeye kishaenda jela kwa kuikumbusha Tanganyika miaka mingi sana nyuma.

Mtafute umsikilize ndiyo utaelewa umuhimu wa Sheikh Farid kwenye jamii.
 
Huogopi hata nikileta list ya wasaga na kukoboa wa nchi? Kwanza njoo nkupe soda afis kuu tuongee 🤣
Mzee mimi siogopi, wewe lete tu. Umesema uko serikalini SMZ lkn huwa munasema Watanganyika hamuajiriwi Zanzibar. Nyinyi ni waongo na wachonganishi tu. Endelea kufaidi matunda ya mapinduzi. Sisi Waswahili huwa tunasema "fadhila ya punda ni mateke".
 
Na Tunauzunguka kweli kweli
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzunguka mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu, akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu............

Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzunguka mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu, akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Tunauzunguka kwerikweri. Wapinzani Pekee ndiyo wanomsema kaboronga.

Eti Mbarawa. Who is Mbarawa. Tatizo nI SAMIA. Ndiyo chanzo cha Takataka zote hizi
 
Back
Top Bottom