Ni juzi tu umetoka polisi kwa kesi ya madawa ya kulevya, na video clip yako imeonekana kwenye mitandao ki ukweli kutokana na ulivyoongea ni dhahiri kuwa umejifunza kitu,umeongea kwa hisia na kwa adabu,kuwa hautarudia kilichotokea, hapo nakupa Big Up nakupa hongera kwa kukiri ni kweli ulikua unatumia madawa na sasa hivi mpo na akina T.ID na rommy jones kwenye campaign za kuzuia madawa,hiyo imekaa poa, kilichonishtua ni ukaribu wako na msagaji maarufu bongo,mlitoz, huyo msichana ana sifa mbaya sana, kashamkoboa sana lulu Michael na mastaa wengine kibao, mashilawadu wanakuona siku hizi uko zero distance na hyo msagaji ,wameniambia nikuonye mdogo wao usiingie huko tena ukaanza kuharibika, tunda we bado mdogo na mzuri sana tu,kama shule umeona hauwezi (maana si mchezo kusoma kipaji kama huna usilazimishe) ni bora ukaweka nguvu zako kwenye u video vixen,modelling hata bongo movie pia unalipa, achana na ma group ya hao mashoga na wavuta unga watakuaribia maisha,wewe mwenyewe uliona ulivyokua ndani wale ma best zako mnaokunywaga wote ma Moet hawakuwepo,ulikua mwenyewe tu, muulize lulu kuhusu marafiki atakuadithia,badilika