Tunda Achana na mlitoz

Tunda Achana na mlitoz

Kutembea na huyo msichana haimaanishi anajihusisha na vitendo vya usagaji na huyo msichana

Muda mwingine inatokea mtu mnakutana tu katika events mbalimbali haimaanishi kwamba huyo mtu ni best yako sema tatizo la wabongo wanapenda kuunganisha matukio na kuchafua wengine ili wajitengenezee jina wenyewe,

Yani wakikuona mara mbili au mara tatuu basii wana conclude na wanakutengenezea skendo


Acheni hayo mambo hayajengi
mkuu unamjua tunda vizuri au unamuonaga instagram tu? kaa karibu na watoto wa mujini.
 
aiseeh kweli humu nina mashabiki wa kweli,dah kumbe unakumbuka?ile ilivunja rekodi aiseeh watu walikufa mbavu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio mchezooo
ubuyu wa enzi.zile unaenda dirishani.kwa wema kuwachungulia wema na diamond...
unaenda kulala msiba.wa.msanii.ili upate umbea ha ha ha ha ila we mtu kwakweli hapana
 
ac9117f106159aaeadec7446012cfed0.jpg



mlitozi ni huyo demu nyuma ya tunda
Mbona naona maniga tupu nyuma ya dem
 
Asante kwa kunirekebisha pia Ila baba askari mtoto teja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
sijui inakuaje yaanii na shule pia kashindwa looohhh
tena baba yake ni mkaliii balaaa alipokuwa moro mateja na vibaka walikuwa wakimuhara kumbe teja anae mwenyewe
ac9117f106159aaeadec7446012cfed0.jpg



mlitozi ni huyo demu nyuma ya tunda
 
tena baba yake ni mkaliii balaaa alipokuwa moro mateja na vibaka walikuwa wakimuhara kumbe teja anae mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kufukuza wa wenzaako wa kwako wanakushindaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]....Mungu fundiii
 
Kutembea na huyo msichana haimaanishi anajihusisha na vitendo vya usagaji na huyo msichana

Muda mwingine inatokea mtu mnakutana tu katika events mbalimbali haimaanishi kwamba huyo mtu ni best yako sema tatizo la wabongo wanapenda kuunganisha matukio na kuchafua wengine ili wajitengenezee jina wenyewe,

Yani wakikuona mara mbili au mara tatuu basii wana conclude na wanakutengenezea skendo


Acheni hayo mambo hayajengi
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Bob mbona povu!!?

Tunda asha kobolewa hakuna namna kibaba!
 
Back
Top Bottom