mkuu unamjua tunda vizuri au unamuonaga instagram tu? kaa karibu na watoto wa mujini.Kutembea na huyo msichana haimaanishi anajihusisha na vitendo vya usagaji na huyo msichana
Muda mwingine inatokea mtu mnakutana tu katika events mbalimbali haimaanishi kwamba huyo mtu ni best yako sema tatizo la wabongo wanapenda kuunganisha matukio na kuchafua wengine ili wajitengenezee jina wenyewe,
Yani wakikuona mara mbili au mara tatuu basii wana conclude na wanakutengenezea skendo
Acheni hayo mambo hayajengi
aiseeh kweli humu nina mashabiki wa kweli,dah kumbe unakumbuka?ile ilivunja rekodi aiseeh watu walikufa mbavuubuyu wa enzi.zile unaenda dirishani.kwa wema kuwachungulia wema na diamond...
unaenda kulala msiba.wa.msanii.ili upate umbea ha ha ha ha ila we mtu kwakweli hapana
Kalale ukiamka utamjuaaTunda gani huyo?!
Tunda si dume yule na kaoa juzi juzi tu?!
Imekuaje tena awe anasagana?!
anamuonaga IG tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu unamjua tunda vizuri au unamuonaga instagram tu? kaa karibu na watoto wa mujini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio mchezoooaiseeh kweli humu nina mashabiki wa kweli,dah kumbe unakumbuka?ile ilivunja rekodi aiseeh watu walikufa mbavu
ubuyu wa enzi.zile unaenda dirishani.kwa wema kuwachungulia wema na diamond...
unaenda kulala msiba.wa.msanii.ili upate umbea ha ha ha ha ila we mtu kwakweli hapana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tunaisubiri hiyo Press Conference ya Hance Mtanashati.Hance Mtanashati naona amesha litolea ufafanuzi hapo juu nadhani baadae ataitisha Press na vyombo vya habari kuliweka sawa hili jambo
[emoji108] [emoji108] [emoji108] Ubuyu wako naona unataka kuufanyia branding.aah aah nataka nirudi na umbea wangu exclusive kama zamani no kukopi from IG yani ni ubuyu fresh from warumi
Mbona naona maniga tupu nyuma ya dem
mlitozi ni huyo demu nyuma ya tunda
Una uhakika kama ni msagaji??mkuu unamjua tunda vizuri au unamuonaga instagram tu? kaa karibu na watoto wa mujini.
tena baba yake ni mkaliii balaaa alipokuwa moro mateja na vibaka walikuwa wakimuhara kumbe teja anae mwenyeweAsante kwa kunirekebisha pia Ila baba askari mtoto teja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
sijui inakuaje yaanii na shule pia kashindwa looohhh
mlitozi ni huyo demu nyuma ya tunda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kufukuza wa wenzaako wa kwako wanakushindaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]....Mungu fundiiitena baba yake ni mkaliii balaaa alipokuwa moro mateja na vibaka walikuwa wakimuhara kumbe teja anae mwenyewe
Ohooo!!!tunda tatizo umri unamsumbua na peer groups na ujinga wa hawa watoto wetu
mtoto teja dingi askari.
ha ha ha nlicheka sana siku unalamika eti unatumia hadi garama za nauli kututafutia umbea afu watu wanasema eti ni uongo, inakuumaaiseeh kweli humu nina mashabiki wa kweli,dah kumbe unakumbuka?ile ilivunja rekodi aiseeh watu walikufa mbavu
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Kutembea na huyo msichana haimaanishi anajihusisha na vitendo vya usagaji na huyo msichana
Muda mwingine inatokea mtu mnakutana tu katika events mbalimbali haimaanishi kwamba huyo mtu ni best yako sema tatizo la wabongo wanapenda kuunganisha matukio na kuchafua wengine ili wajitengenezee jina wenyewe,
Yani wakikuona mara mbili au mara tatuu basii wana conclude na wanakutengenezea skendo
Acheni hayo mambo hayajengi
Hahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe je
bora huyo shule imemshinda Ila anatumia urithi wa bibi vzr...
wengine mnapigwa mimba mnazalishwa kwisha habari
unalea mwana na wajukuu
Kwa kweli haiondoi maana pia kuwa tunda ana ingiza kipato kuliko babaasante kwa masahihisho Ila haiondoi maana ya mwanae kua mdangaji!!!!
Halafu huyu mbona mtoto mrito kabsa mtoto mlaini.