Tunda Achana na mlitoz

Natanguliza samahani,ivi wewe ni wa kike au wakiume?
 
Mpwa warumi umesahau kwenye ngoma moja na Tunda Mkubwa (kama sikosei), huyu Tunda Mdogo alishawahi kucheza nafasi anasagwa?! Unaikumbuka hiyo ngoma tena wakati ule kalikuwa kadogo dogo tu!! Isije ikawa anataka ku-practice!!
Hiyo ni ngoma ya Matonya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…