Hata mwalimu wako sio kwa uelewa wake ndio uliomfanya awe mwalm Bali ni kwa usaidizi wa wenzie ndio uliomfanya apate huo ualimu,Soma kitabu cha mwanzo kurasa zote utaelewa tu mkuu!!
Changamoto kubwaMtu anawahi sit mbele unawazibia wenye ujuzi
Zubaaa ndugu utamskia abjFursa zinapatikana kule kwenye forum yetu pendwa![emoji124][emoji124][emoji124]
Tunda waliokula lilikuwa tunda halisi na sio kulalana kama mnavyosema.
Ukisoma Bible kwa makini utaelewa baada ya kula tunda na Mungu kugawa adhabu kwa kila mmoja, mbeleni tunasoma; basi Adam akamjua mkewe akapata mimba.
Kwa maana hiyo hakumjua kabla. Ungekuta tunda linaloongelewa ni ngono, basi mbeleni tungeambiwa Adam akamjua mkewe kwa mara ya pili
Hili la nyuma hii ww unauza sh 2000 uko wapi nije maana ni tamu hiyoNa mimi nauza miche ya mizeituni,sh 2000/=Nipo SUA.
Hajasema mzeituniKwahiyo unathibitisha ni tunda ambalo ndo mzeituni sio?
OK km ni hivo mbona bado tunalila?
Je tukila tutazidi kujua mengine ?
Tunda lililoliwa na bibi yetu na babu yetu hatulijui mpaka sasa na halipo duniani tena.Kwahiyo unathibitisha ni tunda ambalo ndo mzeituni sio?
OK km ni hivo mbona bado tunalila?
Je tukila tutazidi kujua mengine ?
Adhabu ilikuja baada ya kula tundaKama kauli ya "enendeni mkaijaze dunia" ilitoka kabla ya kula tunda basi jua tunda husika halikuwa tunda hilo unalohisi linapatikana mwilini... Maana isingewezekana wapewe kauli mbili tata Kuwa wakaijaze dunia na wakati huohuo waambiwe wasile tunda la mti wa kati! So go and check for it.. tunda halisi sijui ila hata komamanga ni tunda..π
Tulia na usome nilichoandika kwa umakiniAdhabu ilikuja baada ya kula tunda
Kwenye Biblia jina la tunda halipoMmmmmh ni lipi sasa?
Samahani mkuu, app ya Biblia unayotumia nimeipenda Sana, inaitwajeTunda lililoliwa na bibi yetu na babu yetu hatulijui mpaka sasa na halipo duniani tena.
Hata lile la uzima Mungu alisema; tazama huyu mtu ameshakuwa........ Soma mstari wa 22 hapo View attachment 1638498
Samahani mkuu, app ya Biblia unayotumia nimeipenda Sana, inaitwaje
Kwa kukusaidia tu biblia bila usaidizi wa rohomtakatifu kamwe hutaelewa!. Kabla ya kuanza kuisoma omba mwongozo wa msaada wa rohomtakatifu kwanza akusaidie kuelewa ujumbe huo wa Mungu naamini utakuja kutoa ushuhuda hapa.!!Hata mwalimu wako sio kwa uelewa wake ndio uliomfanya awe mwalm Bali ni kwa usaidizi wa wenzie ndio uliomfanya apate huo ualimu,
Kusoma kitabu mwenyewe na kukingamua mwenyewe inahitaji usaidizi.
Tunda lililoliwa na bibi yetu na babu yetu hatulijui mpaka sasa na halipo duniani tena.
Hata lile la uzima Mungu alisema; tazama huyu mtu ameshakuwa........ Soma mstari wa 22 hapo View attachment 1638498
Biblia imeeleza mti wa katikati ya bustani wenye ujuzi wa mema na mabaya, na kuna mti mwingine wa uzima wa milele, ndio hawakutakiwa kula matunda yake. Unaeleza aje hapo?Tunda hili navyosikia ndio tunda walilokula Adam na Hawa na ndio hilihili Mungu aliwakataza wasile.
Kama ni Kweli hilo ndio tunda lenyewe naomba nielezee kidogo na kama sitakuwa sahihi mnisahihishe.
Kwanijuavyo ni kuwa maana ya lile tunda walilokatazwa ni kutokufanyana, kwa bahati mbaya wakafanyana na Mungu akawaambia mtazaa kwa uchungu nawe mwanaume mtakula kwa jasho ndio ukawa mwanzo wa kuzaliana mpaka leo kisa tunda (utamu)
Sasa hili tunda la mzeituni ambalo watu ndio wanasema walikatazwa Adam na Hawa wasile na ndio linauzwa dar kwa sh4000/= , hili ni la wapi? Je, ukila hautodhurika? Hamna tafsiri au maana ya ukila hilo tunda la mzeituni?. Mnaojua mtupe matumizi ya hilo tunda na ni kwa nini linauzwa bei kubwa hivyo kuzidi tufaa?
Kama tunda alilowakataza Adam na Hawa linaitwa mzeituni kwanini walipewa adhabu ile? Kwa nini waliambiwa wakaijaze dunia? Kwa nini maandiko mengi ya Biblia inakataza usizini? Je, hamuoni hiyo ndio ilikuwa dhambi ya asili (kuzini) na wala sio kula lile tunda la mzeituni linalouzwa Dar 4000/=?
Kama ni tunda hilo (mzeituni) ndio walikatazwa na sisi tumelijua kwanini bado tunakula?.
Nakaribisha muongozo.