Tunda na Ndaro hawaendani hata kidogo, Tunda hajui thamani yake

Hivi Tunda atapata bwana gani wa maana? Au hapo zaman ukimtoa Kinje mwingne yupi wa maana? Kwa mapito ya Tunda sijui km atapata bwana wa maana akaolewaa.

Hii bahati kaipata mama ubayaa imetosha, hata nae karoga sanaaa.
Shida ya Tunda hajatulia, baada ya kuachana na Meja hapa katikati alikitembeza kimtindo sema alikuwa na date na watu wasiokuwa na majina.

Ila kwa huyu wa sasa aisee big No.

Kabugi.
 
Tunda ni wa kawaida sana mkuu alafu uzuri sio ndo kupata wanaume wenye umaarufu na pesa.
Ili uwe na wanaume kama hao lazima uwe na pesa pia
 
Kumbe jinsia KE ndio iliyoanzisha uzi.
Haya wale walio left group na jinsia KE wengine endeleeni kuchangia uzi wenu.
 
HUYU NDIYO NDARO? MBONA ANATAKA KUFA SIKU SIYO ZAKE JAMANI
 
Hivi Tunda atapata bwana gani wa maana? Au hapo zaman ukimtoa Kinje mwingne yupi wa maana? Kwa mapito ya Tunda sijui km atapata bwana wa maana akaolewaa.

Hii bahati kaipata mama ubayaa imetosha, hata nae karoga sanaaa.
Kuna nyakati ukiwa mzuri sana ukabahatika kuishi na wenye nazo,sio dhambi kujishusha na kuishi maisha ya kawaida.
Kuishi maisha marefu kunatokana na namna tunavyojibrand na kusikiliza hisia zetu za ndani na si kusikiliza watu.
Maisha yalivyo ni kama mawimbi ya bahari.
 
Kama unaona Tunda anafaidi basi nenda nawewe ukapewe mkuyenge
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayari kumpa % kadhaa katika mshahara kama shukurani
 
Kama ndaro machine anayo yy ampelekee moto tu huyo tunda hayo ya kuendana hayana maana yoyote.

Bwana wa maana kitu gani bhana unakuta hao mnaowaita bwana wa maana hawamtoshelezi huyo tunda na vibamia vyao.

Ndaro peleka moto tu kwa huyo slut mpaka akimbie mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…