Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #21
Wabunge wa CCMNdio akina nani huko Dar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge wa CCMNdio akina nani huko Dar?
Apate funzo kwa Sepetunga.Mud ni wako ila muda wako ukishindwa kutumia vizuri, huna maamuzi tena isipokuwa unachokiona mbele yako.
Tunda hajielewi na hawezi kukaa mwezi bila kuwa na mtu.true
SawaWewe ndio ungeendana na Ndaro??
Wivu tu huna lolote
Viti maalumu?Wabunge wa CCM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio ungeendana na Ndaro??
Wivu tu huna lolote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wa maana hawamuaproch Tunda labda
AiseeWewe ndio ungeendana na Ndaro??
Wivu tu huna lolote
AiseeNdyo maana wazungu wanawabagua NYANI nyie kama wenyewe kwa wenyewe mnabaguana
Hivi Tunda atapata bwana gani wa maana? Au hapo zaman ukimtoa Kinje mwingne yupi wa maana? Kwa mapito ya Tunda sijui km atapata bwana wa maana akaolewaa.Huyo bado binti mbichi atulie apate bwana wa maana kama kipindi kile yupo na Kinje
Mapenzi ya Tunda huwa yanaanza hivi hivi ,hata kipindi yupo na meja ,Casto nk watu tulichukulia kama kiki tu.Content creators hao. Wanataka attention , Wanakuza brand zao.
Mama ubaya ndio naniHivi Tunda atapata bwana gani wa maana? Au hapo zaman ukimtoa Kinje mwingne yupi wa maana? Kwa mapito ya Tunda sijui km atapata bwana wa maana akaolewaa.
Hii bahati kaipata mama ubayaa imetosha, hata nae karoga sanaaa.
Tunda wa kawaida kumlinganisha na nani?Tunda wa kawaida kila mwanamke wa kawaida Sasa ndaro si tayari ana gari ni mjanja pengine anajenga kibongo mafanikio hayo
vijihela uchwaraMtoto wa kichaga,pua ishanusa viakraaa,baadhi ya comedian sikuinzi wanapiga ela.ndaro,Steve na Mzee wa d mbili
vijihela uchwaraMtoto wa kichaga,pua ishanusa viakraaa,baadhi ya comedian sikuinzi wanapiga ela.ndaro,Steve na Mzee wa d mbili
chaiKipenda roho wewe kinachokuzingua jina ndaro limekaa kichoma mkaa huko msanga,rangi ya ngozi ya tunda kwa kua tu ni mweupe ila anaweza kutafunwa na mwanaume yeyote mradi wakubaliane!