TL ni habari nyingine,Slaa alishikishwa Mshumbusi,hakufurukuta tena!Kikwete mwenyewe sio muoga but alikua anamwogopa TAL sembuse huyu Coward man?!??
Kikwete: Ni bora Slaa awe rais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge
Hili ni muhimu sana mimi nitaunganisha na account yangu wawe wanakata humo humo kwa ajili ya Ulinzi wa Lissu kila mweziAweke namba ya kuchangia tutajichanga aweze kupata ulinzi wa kweli kweli. Huyu sisi ndiye mnyonge mwenzetu.. sio wale wakinafki.
Well Noted .....kitengo NYETI CHADEMA pokeeni hii kitu
Huwa najiuliza kwa nn hata jk alwogopa sana tl?Kikwete mwenyewe sio muoga but alikua anamwogopa TAL sembuse huyu Coward man?!??
Kikwete: Ni bora Slaa awe rais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge
Kwahiyo Una maana Kikwete ndio ameleteleza mpaka Lissu akatolewa Bungeni Kwa style Ile!?Kikwete mwenyewe sio muoga but alikua anamwogopa TAL sembuse huyu Coward man?!??
Kikwete: Ni bora Slaa awe rais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge
Hii kauli ndivyo unavyo amini au tumbo limeteka kichwaNi waombe tu CDM msije mkafanya kama mlivyomfanya CHACHA WANGWE.
Muwe makini.
Nami namweka katika maombi yangu. Atakayetaka kumwondoa Tundu Lisu, ataondoka yeye na kumwacha Tundu Lusu katika utukufu.Mkuu Kitatu, Mungu akubariki sana kwa bandiko hili! Mimi ni mwombaji, lakini pamoja na kushangilia sana ujio wa Lisu na kumtetea hapa ‘kijiweni’, sijamwombea! Naanza rasmi kumwombea, leo!
LUKA 13
31 Saa ile ile Mafarisayo kadha wa kadha walimwendea, wakamwambia, Toka hapa, uende mahali pengine, kwa sababu Herode anataka kukuua.
32 Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha;Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilika.
33 Pamoja na hayo imenipasa kushika njia yangu leo na kesho na kesho kutwa; kwa kuwa haimyakini nabii aangamie nje ya Yerusalemu.
Mkuu katika uzi wako kuna mapungufu so unataka mbinu zao za kumlinda mtu wao ziwe wazi ili iweje , mi nafikili ushauri hapa pamoja na mbinu zao walizo nazo ambazo hatuna haja ya kuzijua but ni jukum la vyombo vya usalama kuhakikisha yupo salama basi
Hebu acha kujitekenya na kucheka mwenyewe...mtawala gani Kama angetaka TL kuuawa angebakia hai! TL alishapuuzwa hata kabla ya kushambuliwa na kambi yake mwenyewe🤔! Serikali ninahakika haikuhusika na Wala haitahusika na mapichapicha yao! Kwa hiyo yy ajilinde na kambi yake mwenyewe🤔! Serikali Haina haha ya kuanza ya wagonjwa wa akili...vinginevyo isingewekeza C1 bugando, milembe nk🤣😂🤣!Nimefurahi kusoma taarifa nyingi humu kuhusu "convoy" ya Tundu Lissu inavyoendelea katika mikoa 10 kuzifuata saini za wadhamini ili wampe uhalali wa kuteuliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA....
Safari ilianzia Dodoma mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa JMT katika ofisi za NEC. Sikuwa huko, lakini niliona kuwa every thing was perfect....
Vivyo hivyo Singida hadi kule kijijini kwake, akapita Igunga na Nzega kando ya makao makuu ya mkoa wa Tabora, kisha Kahama - Shinyanga na leo tarehe 12/8/2020 kaingia Mwanza na inaonekana atafika mkoa wa Mara leo Leo....
Wote tunajua anatumia usafiri wa barabara (Magari) na kwa hakika hii ni safari ndefu sana kwa njia hii na ni "very risk" pia kiusalama....
Concern yangu ni hakikisho la usalama wake....
Wapinzani wake wa kisiasa (CCM na serikali wanayoingoza) wasingependa kumuona huyu mtu anashiriki uchaguzi huu dhidi ya mgombea wao Pombe Magufuli...
Kwa hakika, wako jikoni hawa usiku na mchana wakijaribu kila "option" isiyoacha "trace" zao ili kumtoa jamaa "out of the picture" haraka kwa kadiri inavyowezekana....
Tunafahamu pia Mungu muumba ndiye anayemlinda kila mtu mwema. Tundu Lissu kwa hakika hana kosa lolote hata astahili kufa. Huyu ni mtu mwema. Kosa lake ni moja tu. Kuchokonoa na kutaka huharibu maslahi ya watawala. Hill ndilo kosa lililotaka kudhulumu uhai wake 07/09/2017.....
Lakini kwa ujinga huu, ubinafsi na hofu ya watawala ndiyo inasukuma tendo hili lililobebwa na "roho ya uuaji" ndani ya nafsi za watawaka kutaka kufanyika tens....
Wanamuona huyu jamaa anatishia maslahi yao. Wanadhani jibu pekee ni kumuua tu ili wawe Salama. Huu ni ujinga wa kishetani...!!
Mungu ndiye mlinzi wetu sisi sote. Huyu Mungu Yehova aliyemuumba Tundu Lissu, kiuhalisia ndiye anayemlinda na atamlinda siku zote hadi anaingia ofisi kuu ya nchi hii - Ikulu. Lakini Mungu hutoa maarifa ya usalama kupitia watu wake...
Aidha najua kuwa protokali za kiusalama huwa za mtu mwenyewe na walio karibu naye. Si rahisi wakaweka mipango yao ya kiusalama. Nami sisemi waweke hayo wazi hapa au popote...
Hata hivyo, sisi wengine ni wa kusema tu katika namna ya kutahadharisha na kukumbushana...
Na kwamba, kutumia njia ya barabara kwa safari ndefu kama hii anayoifanya Tundu Lissu kuzungukia mikoa 10 Tanzania nzima ni very risk kiusalama na kwa vyovyote lazima timu inayoshughulikia usalama wa mtu huyu iwe very well equipped na mbinu, mikakati na vifaa vya kisasa vya kuhakikisha usalama wa mtu huyu muhimu sana kwa wakati huu ambapo Tanzania na Watanzania wanamhitaji mno kwa sababu amebeba AMANI, FURAHA na MATUMAINI yao....
Hatutavumilia kabisa kumpoteza mtu huyu kwa wakati huu...
NAMTAKIA KILA LA KHERI TUNDU A. M. LISSU NA MUNGU YEHOVA AMBARIKI SANA....!!
Mkuu Kitatu, Mungu akubariki sana kwa bandiko hili! Mimi ni mwombaji, lakini pamoja na kushangilia sana ujio wa Lisu na kumtetea hapa ‘kijiweni’, sijamwombea! Naanza rasmi kumwombea, leo!
Tundu Lissu hatafanywa kitu. Ikitokea akapata accident na kufariki itakuwa too much of a coincidence. Huyu sijui kama watajaribu kumchapa tena. Efforts zote zitapelekwa kwenye wizi wa kura ili ionekane ameshindwa kihalali. Baada ya hapo watajaribu kumfix kwenye kesi alizonazo.
Kwa sasa Chama kingejaribu kumuweka sawa na kumwambia aepuke kurusha allegations nzito na ambazo anajua akiambiwa atoe evidence atakuwa hana na wanaweza kumbana kwa sheria zilizopo.