Tundu A. M. Lissu & "Protocol Security" yake....

Tundu A. M. Lissu & "Protocol Security" yake....

Hebu acha kujitekenya na kucheka mwenyewe...mtawala gani Kama angetaka TL kuuawa angebakia hai! TL alishapuuzwa hata kabla ya kushambuliwa na kambi yake mwenyewe🤔! Serikali ninahakika haikuhusika na Wala haitahusika na mapichapicha yao! Kwa hiyo yy ajilinde na kambi yake mwenyewe🤔! Serikali Haina haha ya kuanza ya wagonjwa wa akili...vinginevyo isingewekeza C1 bugando, milembe nk🤣😂🤣!

You cowards! Msijifanye hamuumii. Ni zamu yenu kuvumilia torture. Mungu hachezewi ngoma za kihuni.

Tulieni mjionee malipo ya uovu wenu hapa hapa Tanzania.
 
You cowards! Msijifanye hamuumii. Ni zamu yenu kuvumilia torture. Mungu hachezewi ngoma za kihuni.

Tulieni mjionee malipo ya uovu wenu hapa hapa Tanzania.
😂🤣😂🤣😂🤣Povu la Nini lote hili! Sasa nani anayeumia Kati yangu na weye🤣😂🤣😂😂! Poor fella!
 
Hebu acha kujitekenya na kucheka mwenyewe...mtawala gani Kama angetaka TL kuuawa angebakia hai! TL alishapuuzwa hata kabla ya kushambuliwa na kambi yake mwenyewe🤔! Serikali ninahakika haikuhusika na Wala haitahusika na mapichapicha yao! Kwa hiyo yy ajilinde na kambi yake mwenyewe🤔! Serikali Haina haha ya kuanza ya wagonjwa wa akili...vinginevyo isingewekeza C1 bugando, milembe nk🤣😂🤣!

Huna ulijualo wewe, ndugu yangu...

Watawala wako ni watu tu. Hawawezi kulizuia kusudi la Mungu kamwe...

Umewahi kumsikia mtu mmoja wa haki sana anayeitwa kwa jina la Yesu Kristo aliyeishi miaka 2000 iliyopita hapa duniani?

Unaijua historia yake? Unajua alikuwa anapambana na binadamu wa namna gani wakati huo?

Hujui wewe. Ungekuwa unajua usingeleta mzaha huu....

Kwa taarifa yako serikali yote Kirumi/Kiyahudi ilikuwa inapambana na mtu mmoja kwa miaka takribani 3.5 kwa hoja na kwa silaha (kuutafuta uhai wake)...

Ndivyo ilivyo leo. Lissu mmoja vs Serikali na CCM yote....!
 
Nimefurahi kusoma taarifa nyingi humu kuhusu "convoy" ya Tundu Lissu inavyoendelea katika mikoa 10 kuzifuata saini za wadhamini ili wampe uhalali wa kuteuliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA....

Safari ilianzia Dodoma mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa JMT katika ofisi za NEC. Sikuwa huko, lakini niliona kuwa every thing was perfect....

Vivyo hivyo Singida hadi kule kijijini kwake, akapita Igunga na Nzega kando ya makao makuu ya mkoa wa Tabora, kisha Kahama - Shinyanga na leo tarehe 12/8/2020 kaingia Mwanza na inaonekana atafika mkoa wa Mara leo Leo....

Wote tunajua anatumia usafiri wa barabara (Magari) na kwa hakika hii ni safari ndefu sana kwa njia hii na ni "very risk" pia kiusalama....

Concern yangu ni hakikisho la usalama wake....

Wapinzani wake wa kisiasa (CCM na serikali wanayoingoza) wasingependa kumuona huyu mtu anashiriki uchaguzi huu dhidi ya mgombea wao Pombe Magufuli...

Kwa hakika, wako jikoni hawa usiku na mchana wakijaribu kila "option" isiyoacha "trace" zao ili kumtoa jamaa "out of the picture" haraka kwa kadiri inavyowezekana....

Tunafahamu pia Mungu muumba ndiye anayemlinda kila mtu mwema. Tundu Lissu kwa hakika hana kosa lolote hata astahili kufa. Huyu ni mtu mwema. Kosa lake ni moja tu. Kuchokonoa na kutaka huharibu maslahi ya watawala. Hill ndilo kosa lililotaka kudhulumu uhai wake 07/09/2017.....

Lakini kwa ujinga huu, ubinafsi na hofu ya watawala ndiyo inasukuma tendo hili lililobebwa na "roho ya uuaji" ndani ya nafsi za watawaka kutaka kufanyika tens....

Wanamuona huyu jamaa anatishia maslahi yao. Wanadhani jibu pekee ni kumuua tu ili wawe Salama. Huu ni ujinga wa kishetani...!!

Mungu ndiye mlinzi wetu sisi sote. Huyu Mungu Yehova aliyemuumba Tundu Lissu, kiuhalisia ndiye anayemlinda na atamlinda siku zote hadi anaingia ofisi kuu ya nchi hii - Ikulu. Lakini Mungu hutoa maarifa ya usalama kupitia watu wake...

Aidha najua kuwa protokali za kiusalama huwa za mtu mwenyewe na walio karibu naye. Si rahisi wakaweka mipango yao ya kiusalama. Nami sisemi waweke hayo wazi hapa au popote...

Hata hivyo, sisi wengine ni wa kusema tu katika namna ya kutahadharisha na kukumbushana...

Na kwamba, kutumia njia ya barabara kwa safari ndefu kama hii anayoifanya Tundu Lissu kuzungukia mikoa 10 Tanzania nzima ni very risk kiusalama na kwa vyovyote lazima timu inayoshughulikia usalama wa mtu huyu iwe very well equipped na mbinu, mikakati na vifaa vya kisasa vya kuhakikisha usalama wa mtu huyu muhimu sana kwa wakati huu ambapo Tanzania na Watanzania wanamhitaji mno kwa sababu amebeba AMANI, FURAHA na MATUMAINI yao....

Hatutavumilia kabisa kumpoteza mtu huyu kwa wakati huu...

NAMTAKIA KILA LA KHERI TUNDU A. M. LISSU NA MUNGU YEHOVA AMBARIKI SANA....!!
Maccm yana roho mbaya kama michawi, nikikumbuka walichomfanyia Mwakyembe nabaki mdomo wazi.
 
Tukuelimishe kidogo. Kwenye platformvya siasa, allegations hazihitaji proof mahakamani....
Wewe ndie unayehitaji kuelimishwa. Unaelewa maana ya allegations?

Allegation ni “claim or assertion that someone has done something illegal or wrong, typically one made without proof”

Ukiropoka jukwaani au sehemu nyingine yoyote (isipokuwa bungeni), unaweza kushtakiwa mahakamani. Au unadhani zile kesi za “uchochezi” washtakiwa hawakutamka maneno kwenye platform za siasa?
 
Kuna taarifa majasusi toka ng'ambo wanafuatilia usalama wake kufichua njama na kuparalyse maadui zake
 
Walinzi wa Lissu utimamu wao niwakutiliwa mashaka. Wakikimbia miguu yao inavyogusa ardhi utadhania makinda ya bata. Leo wamejifunika skafu nyekundu utafikiria wale magaidi wa tamil tigers.
 
Tundu Lissu hatafanywa kitu. Ikitokea akapata accident na kufariki itakuwa too much of a coincidence. Huyu sijui kama watajaribu kumchapa tena. Efforts zote zitapelekwa kwenye wizi wa kura ili ionekane ameshindwa kihalali. Baada ya hapo watajaribu kumfix kwenye kesi alizonazo.

Kwa sasa Chama kingejaribu kumuweka sawa na kumwambia aepuke kurusha allegations nzito na ambazo anajua akiambiwa atoe evidence atakuwa hana na wanaweza kumbana kwa sheria zilizopo.
"Kwa sasa Chama kingejaribu kumuweka sawa na kumwambia aepuke kurusha allegations nzito na ambazo anajua akiambiwa atoe evidence atakuwa hana na wanaweza kumbana kwa sheria zilizopo".
Nimefurahi kusoma taarifa nyingi humu kuhusu "convoy" ya Tundu Lissu inavyoendelea katika mikoa 10 kuzifuata saini za wadhamini ili wampe uhalali wa kuteuliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA....

Safari ilianzia Dodoma mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa JMT katika ofisi za NEC. Sikuwa huko, lakini niliona kuwa every thing was perfect....

Vivyo hivyo Singida hadi kule kijijini kwake, akapita Igunga na Nzega kando ya makao makuu ya mkoa wa Tabora, kisha Kahama - Shinyanga na leo tarehe 12/8/2020 kaingia Mwanza na inaonekana atafika mkoa wa Mara leo Leo....

Wote tunajua anatumia usafiri wa barabara (Magari) na kwa hakika hii ni safari ndefu sana kwa njia hii na ni "very risk" pia kiusalama....

Concern yangu ni hakikisho la usalama wake....

Wapinzani wake wa kisiasa (CCM na serikali wanayoingoza) wasingependa kumuona huyu mtu anashiriki uchaguzi huu dhidi ya mgombea wao Pombe Magufuli...

Kwa hakika, wako jikoni hawa usiku na mchana wakijaribu kila "option" isiyoacha "trace" zao ili kumtoa jamaa "out of the picture" haraka kwa kadiri inavyowezekana....

Tunafahamu pia Mungu muumba ndiye anayemlinda kila mtu mwema. Tundu Lissu kwa hakika hana kosa lolote hata astahili kufa. Huyu ni mtu mwema. Kosa lake ni moja tu. Kuchokonoa na kutaka huharibu maslahi ya watawala. Hill ndilo kosa lililotaka kudhulumu uhai wake 07/09/2017.....

Lakini kwa ujinga huu, ubinafsi na hofu ya watawala ndiyo inasukuma tendo hili lililobebwa na "roho ya uuaji" ndani ya nafsi za watawaka kutaka kufanyika tens....

Wanamuona huyu jamaa anatishia maslahi yao. Wanadhani jibu pekee ni kumuua tu ili wawe Salama. Huu ni ujinga wa kishetani...!!

Mungu ndiye mlinzi wetu sisi sote. Huyu Mungu Yehova aliyemuumba Tundu Lissu, kiuhalisia ndiye anayemlinda na atamlinda siku zote hadi anaingia ofisi kuu ya nchi hii - Ikulu. Lakini Mungu hutoa maarifa ya usalama kupitia watu wake...

Aidha najua kuwa protokali za kiusalama huwa za mtu mwenyewe na walio karibu naye. Si rahisi wakaweka mipango yao ya kiusalama. Nami sisemi waweke hayo wazi hapa au popote...

Hata hivyo, sisi wengine ni wa kusema tu katika namna ya kutahadharisha na kukumbushana...

Na kwamba, kutumia njia ya barabara kwa safari ndefu kama hii anayoifanya Tundu Lissu kuzungukia mikoa 10 Tanzania nzima ni very risk kiusalama na kwa vyovyote lazima timu inayoshughulikia usalama wa mtu huyu iwe very well equipped na mbinu, mikakati na vifaa vya kisasa vya kuhakikisha usalama wa mtu huyu muhimu sana kwa wakati huu ambapo Tanzania na Watanzania wanamhitaji mno kwa sababu amebeba AMANI, FURAHA na MATUMAINI yao....

Hatutavumilia kabisa kumpoteza mtu huyu kwa wakati huu...

NAMTAKIA KILA LA KHERI TUNDU A. M. LISSU NA MUNGU YEHOVA AMBARIKI SANA....!!
Nina wasi wasi wanaweza kumtafutia sababu za kumuengua atakapo rudisha fomu, pamoja na kwamba haitokuwa rahisi. Lakini kwa utawala huu usivyokuwa na aibu wanaweza wakamkata kweli.
Ila kumuua siamini kama watakuwa punguani kiasi hicho. Kwa kipindi hiki adi kumalizika kwa uchaguzi Lissu ana ulinzi wa macho yanayo muangalia na masikio yanayo sikiliza kutoka ndani na nje ya nchi kwamba nini kitamtokea. Kwa tafsiri nyingine kumdhuru Lissu kwa kipindi hiki ni sawa na kujitoa muhanga, na siamini kwamba hakuna asiyejua kwamba usalama wa Lissu ni mtego hatari sana.
 
Back
Top Bottom