Uchaguzi 2020 Tundu Antipas Lissu hizi spana za Uchumi zigongelee now ili akili ziwakae sawa hao kijani

Uchaguzi 2020 Tundu Antipas Lissu hizi spana za Uchumi zigongelee now ili akili ziwakae sawa hao kijani

JK aliacha nchi ikiwa nzuri sana, JPM kaiharibu sana. Hivi ni kitu gani ambacho tunaweza mpongeza nacho JPM?

Hakuna mwaka hamjasema ccm iliopita ndo nzuri , kuna kipindi ccm ilishambuliwa kama kipindi cha jk? Mpaka watu wakajiuzulu, Mara hatuna ndege sjui kikwete mpole, mtasema lipi hatulijui kwenu?

Unadhan hatujui mlivowafukuza wabunge kipindi cha corona
 
Hakuna mwaka hamjasema ccm iliopita ndo nzuri , kuna kipindi ccm ilishambuliwa kama kipindi cha jk? Mpaka watu wakajiuzulu, Mara hatuna ndege sjui kikwete mpole, mtasema lipi hatulijui kwenu?

Unadhan hatujui mlivowafukuza wabunge kipindi cha corona
Wengine hatuna vyama, siyo kila mmoja akikosea utawala uliopo ni chadema au chama kingine cha upinzani. Huwa tunakosea ili tupate viongozi bora iwe ndani ya CCM au upinzani.
 
Wengine hatuna vyama, siyo kila mmoja akikosea utawala uliopo ni chadema au chama kingine cha upinzani. Huwa tunakosea ili tupate viongozi bora iwe ndani ya CCM au upinzani.

ni vizuri kukosolewa! hata sisi tuna mapungufu yetu
 
Ndio mkubali kukosolewa na ikibidi mtolewe madarakani ili muweze kuwa na fikra mpya.

hakuna mtu ana mda wa kuskiliza watu wakikosana, jengeni hoja tengenezeni chama lolote likitokea wananchi tunajua cha kufanya, mabosi ni wananchi. hata kama ccm ikiiba kura wananchi wakisema hatuwataki hakuna wanchoweza kufanya! sasa shida upinzani ndo huo huo unatumia kampeni nzima kujibizana na mtu, kampeni imeisha sjui hata nanufaika vp hata lissu akipewa kura, ni bora tuendelee tu na magufuli sasa tutafanya nn! huezi amini mm mpaka saaahv nnachojua kuhusu lissu ni kuita mapolisi majinga, na sjui sera ya elimu anataka kubadilisha mtaala, sjui haki, unadhan wananchi hawana haki basi nyie wapinzani ndo inakula kwenu

wananchi wala hawakutani na hizi shida, sasa nyie mnatakiwa kujenga hoja kwa wananchi sio tena mnaanza kujibizana na mtu, yaani sina clear direction lissu anagombea ili iwaje, lakini kampeni za magu zote nmeziskiliza hadi ya moshi naskiliza, najua kabisa mwenda wke ni ule ule miundo mbinu + stiglers, tena kwenye stiglers amesema kuna uwezekano umeme ukashushwa bei, sasa na mm nanufaika umeme ukishuka bana, kama nlikua nalipia 10,000 , akashusha labda 7000, si ina maaana 3000 nabaki nayo naweza tumia sehem zingine! sasa huyu mwenzenu matusi, kujikuta mjuaji, anamletea sasa nan ujuaji wananchi ndo mabosi hajui
 
Back
Top Bottom