Tundu Antipas Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA kulikoni?

Tundu Antipas Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA kulikoni?

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
650
Reaction score
1,016
Mwaka 2022 umeisha, tulitegemea utoa Salam za Mwaka Mpya kwa wapenzi na mashabiki wako. Ila umekuwa kimya kama haupo kwenye sayari yetu. Nakuombea kwa Mungu upate nauli urudi Tanzania ushikamane na Mama Yetu kujenga Nchi. Mwenyekiti wako ameshaona siasa za harakati ni kupoteza muda kawaachia ma teenager Heche na JJ na yule Dogo wa Mwanza Pambalu.
 
Mwaka 2022 umeisha, tulitegemea utoa Salam za Mwaka Mpya kwa wapenzi na mashabiki wako. Ila umekuwa kimya kama haupo kwenye sayari yetu. Nakuombea kwa Mungu upate nauli urudi Tanzania ushikamane na Mama Yetu kujenga Nchi. Mwenyekiti wako ameshaona siasa za harakati ni kupoteza muda kawaachia ma teenager Heche na JJ na yule Dogo wa Mwanza Pambalu.
Yuko kwenye Maridhiano subiri kwanza
 
Kuyahangaikia haya matanzania yahitaji moyo Sana. Asilimiaa kubwa hayajielewi wala kujitambua.

Mengi yao ni manafiki, mazandiki, machawa, madangaji na hayana akili kabisa
Yalikuomba uyahangaikie au unsjipendekeza kuhangaikia familia yako kwa mgongo wa Tanzania?
 
Back
Top Bottom