Tundu Antipas Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA kulikoni?

Tundu Antipas Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA kulikoni?

Mwaka 2022 umeisha, tulitegemea utoa Salam za Mwaka Mpya kwa wapenzi na mashabiki wako. Ila umekuwa kimya kama haupo kwenye sayari yetu. Nakuombea kwa Mungu upate nauli urudi Tanzania ushikamane na Mama Yetu kujenga Nchi. Mwenyekiti wako ameshaona siasa za harakati ni kupoteza muda kawaachia ma teenager Heche na JJ na yule Dogo wa Mwanza Pambalu.
Labda katoa kwa walioko huko aliko
 
Kwani kocha huwa anaingia uwanjani kucheza? Kama vipi Magufuli angekaa mbele kumzuia Lisu. mbona hata yeye hakuthubutu kukaa mbele tuone ushujaa wake wa kuwazuia CDM?
Tafuteni wapumbavu ndio mkawaweke mbele Ila watoto wa Lisu wote Ni raia wa Marekani..

Hii itakuwa propaganda nzuri Sana ya kuwamaliza.
 
Mwaka 2022 umeisha, tulitegemea utoa Salam za Mwaka Mpya kwa wapenzi na mashabiki wako. Ila umekuwa kimya kama haupo kwenye sayari yetu. Nakuombea kwa Mungu upate nauli urudi Tanzania ushikamane na Mama Yetu kujenga Nchi. Mwenyekiti wako ameshaona siasa za harakati ni kupoteza muda kawaachia ma teenager Heche na JJ na yule Dogo wa Mwanza Pambalu.
Huyu mwehu hana jipya. Yuko anasota Ulaya.
 
Kwamba watu wataandamana ili watoto wa Lisu wasiwe wamarekani au? Kama ni propaganda unatengeneza jaribu kuiweka vizuri boss.
Hakuna wa kuandamana kwa ajili ya Lisu,that is the point akitaka waandamane awalete watoto wake wawe front.
 
Nani anaandamana kwaajili ya Lissu?. Ndio nyie akina diamond mnajifanya shida za wananchi haziwahusu ila mkipata matatizo mnaanza kulia na kuilaumu CHADEMA.
Hizo shida hazijawa worse kwa kiwango hicho Hadi kuamsha hasira ya Jamii nzima.

Ikifikia huko watu wataandamana wenyewe bila msukumo wa wanasiasa wanaotaka kutumia hiyo fursa kupata vyeo.
 
Back
Top Bottom