Tundu Antipas Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA kulikoni?

Tundu Antipas Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA kulikoni?

Hizo shida hazijawa worse kwa kiwango hicho Hadi kuamsha hasira ya Jamii nzima.

Ikifikia huko watu wataandamana wenyewe bila msukumo wa wanasiasa wanaotaka kutumia hiyo fursa kupata vyeo.

Umenena ukweli. Nadhani bado uchungu haujafika muda wake wa kwenda labour. Siku uchungu ukifika muda wa labour hakuna mwanachi atajificha. Mimi nasubiria ule muda wa kuvamia ikulu nikaogelee kwenye swimming pool ya ikulu. I hope it will be this year.
 
Arudi kuhangaikia wapumbavu kutwa kulalama humu JF
 
Back
Top Bottom