Labda katoa kwa walioko huko alikoMwaka 2022 umeisha, tulitegemea utoa Salam za Mwaka Mpya kwa wapenzi na mashabiki wako. Ila umekuwa kimya kama haupo kwenye sayari yetu. Nakuombea kwa Mungu upate nauli urudi Tanzania ushikamane na Mama Yetu kujenga Nchi. Mwenyekiti wako ameshaona siasa za harakati ni kupoteza muda kawaachia ma teenager Heche na JJ na yule Dogo wa Mwanza Pambalu.
Achaguliwe mwingineHe will be back uchaguzi wa CDM ni mwaka huu kama hakutakuwa na mauzauza. Mzee wa asali nadhani atapumzika.
Tafuteni wapumbavu ndio mkawaweke mbele Ila watoto wa Lisu wote Ni raia wa Marekani..Kwani kocha huwa anaingia uwanjani kucheza? Kama vipi Magufuli angekaa mbele kumzuia Lisu. mbona hata yeye hakuthubutu kukaa mbele tuone ushujaa wake wa kuwazuia CDM?
Huyu mwehu hana jipya. Yuko anasota Ulaya.Mwaka 2022 umeisha, tulitegemea utoa Salam za Mwaka Mpya kwa wapenzi na mashabiki wako. Ila umekuwa kimya kama haupo kwenye sayari yetu. Nakuombea kwa Mungu upate nauli urudi Tanzania ushikamane na Mama Yetu kujenga Nchi. Mwenyekiti wako ameshaona siasa za harakati ni kupoteza muda kawaachia ma teenager Heche na JJ na yule Dogo wa Mwanza Pambalu.
Watoto wake Ni Wamarekakani,kwa Nini wasiwea Watzn ili wawe front kwenye maandamano?Hahaha! Sawa mkuu umeshinda!
Tafuteni wapumbavu ndio mkawaweke mbele Ila watoto wa Lisu wote Ni raia wa Marekani..
Hii itakuwa propaganda nzuri Sana ya kuwamaliza.
Kwamba utawaambia Watz wandamane kuipigania watoto wa Lisu ambao Ni Wamarekani?Na bado unaamini propaganda zenu zinaweza kuwamaliza wanaojielewa?
Kwamba watu wataandamana ili watoto wa Lisu wasiwe wamarekani au? Kama ni propaganda unatengeneza jaribu kuiweka vizuri boss.Kwamba utawaambia Watz wandamane kuipigania watoto wa Lisu ambao Ni Wamarekani?
Hakuna wa kuandamana kwa ajili ya Lisu,that is the point akitaka waandamane awalete watoto wake wawe front.Kwamba watu wataandamana ili watoto wa Lisu wasiwe wamarekani au? Kama ni propaganda unatengeneza jaribu kuiweka vizuri boss.
Kwa Nini yeye asiwe wa kwanza kuandamana na awe front?
Hakuna wa kuandamana kwa ajili ya Lisu,that is the point akitaka waandamane awalete watoto wake wawe front.
Huyu mwehu hana jipya. Yuko anasota Ulaya.
Namcheka Lisu anavyoshindwa kutambua kwamba anauzwa ππUsicheke madhira ya wengine. Yani unamcheka Lissu kisa kapigwa risasi na CCM ?. Una roho mbaya Sana.
Hakuna wa kuandamana kwa ajili ya Lisu,that is the point akitaka waandamane awalete watoto wake wawe front.
Namcheka Lisu anavyoshindwa kutambua kwamba anauzwa ππ
Hizo shida hazijawa worse kwa kiwango hicho Hadi kuamsha hasira ya Jamii nzima.Nani anaandamana kwaajili ya Lissu?. Ndio nyie akina diamond mnajifanya shida za wananchi haziwahusu ila mkipata matatizo mnaanza kulia na kuilaumu CHADEMA.
Bei anaijua Mbowe,kwani Slaa aliuzwaga Bei gani?Ameuzwa shilingi ngapi, na kauzwa na Nani? Na Nani kamuuza. Subirini matokeo ya maridhiano ndio tujue Nani atalia na kucheka.
Kwa hiyo mkimbizi hatakiwi kuleta vurugu TanzaniaWatoto wake waje wakae front kwani ni watanzania? Umelewa bado vijibia vya mwaka mpya nini bro.
Anatakiwa adai haki yake maana yeye ni mtanzania.Kwa hiyo mkimbizi hatakiwi kuleta vurugu Tanzania
Ndo akaandamane yeyeAnatakiwa adai haki yake maana yeye ni mtanzania.