jamani msaada wenu, kama unataka kuni-tusi au hutoi msaada naomba upite tu. nahitaji msaada jamani wiki moja iliyopita nilirudi home nikiwa matingasi house-girl alipofungua mlango alikuwa na nguo laini iliyosababisha nione kila kitu nilipomshika mkono hakubisha nika-mchapa nao fasta, haikunisumbua kwani sijaoa bado, sasa tundu la dushelele linawasha najua inaweza ikawa nimekwaa gonjwa la zinaa, kabla sijaenda kwa tabibu nilipenda nijuie ni ugonjwa gani kwa mwenye uelewa
nashukuru jamani na mguu wangu huu kesho ni kwa-tabibu
nashukuru jamani na mguu wangu huu kesho ni kwa-tabibu