Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana umeongea kama mnazi wa chadema. Ukweli kuongea ongea kuhusu risasi haimsaidii sana katika kutafuta kura za kuelekea Ikulu sana sana inazidi kumuathiri kisaijolojia. Akipewa ridhaa ya kuwa rais na wapiga kura Well and good, lakini akiukosa uraisi katika mazingira ambayo alitegemea huruma za kujeruhiwa kwa risasi TL atakuwa katika hali mbaya zaidi kwa feelings za kuwa rejected by his own community. Lazima abadili strategy hili suala la risasi aachane nalo atalizungumza akiwa ikulu, akibahatika kushinda uchaguziJiweke kwenye nafasi yake uone kama ni rahisi hivyo...kuongea ni tiba bora ya afya ya akili..kuongea huleta nafuu ya fukuto la maumivu makali
Na kwa kufanya hivyo kila mara anapeleka ujumbe muhimu na wa kutisha kwa watesi wake kuwa yuko imara kuliko hata kabla ya shambulio na HAJASAHAU....hajafanya nini!? HAJASAHAU.....!!!!
Anataka apewe apewe Urais kwakuwa alipigwa risasi ili iwe kama kifuta machozi chakeHuyo jamaaaa, asipotumia hiyokiki ya alioigiza ili ije impe promo kwenye uchaguzi huuu na kuwalagai chama chake wamuhurimie agombeee yeye eti kisa anamuujiza, inje yahapo kichani kwa masuala ya kujenga hoja ya kisiasa yuko empty kichwaniii.
Sasa yeye kuchakutwa ni kutushuhudia miujiza, lakini pamoja na umahili wa sheria alionao hatujawahi onatukio lake lile analipereka mahakamani atasikumojaa.
Huu ushuhuda lazima autumie kila kona ilikuutengenezea kiki ya kuhurumiwa kupewa uraisiii.
Atasubiri meri ubungo terminalAnataka apewe apewe Urais kwakuwa alipigwa risasi ili iwe kama kifuta machozi chake
Hawezi kujishusha amekulia kwenye mfumo dumeAliyehusika na jaribio la mauaji ya Lisu anajijua na anajua la kufanya ili kupunguza ama kuondoa tatizo la kuumizwa kwa dhamiri yake.
Anapaswa kuomba msamaha,kutafuta maridhiano kama alivyoambiwawa na Mbowe,aache kushupaza shingo.
Ninyi wafuatao wake mnapaswa kumwambia mhusika aombe msamaha na amlipe Lisu haki zake zote,mambo yatakuwa shwari
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app