Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Mlio wengi akielezea mnadhani anatak aonewe huruma hapana, hata mimi nilidhani asifanye hivyo kumbe miongoni mwao wapo walomchangia lazima awashukuru nakuelezea kitendo cha unyama alichofanyiwa ukizingatia wasiojulikana bado wanadundazi