Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Kumbe nawewe ni mpumbavu.Huyo jamaaaa, asipotumia hiyokiki ya alioigiza ili ije impe promo kwenye uchaguzi huuu na kuwalagai chama chake wamuhurimie agombeee yeye eti kisa anamuujiza, inje yahapo kichani kwa masuala ya kujenga hoja ya kisiasa yuko empty kichwaniii.
Sasa yeye kuchakutwa ni kutushuhudia miujiza, lakini pamoja na umahili wa sheria alionao hatujawahi onatukio lake lile analipereka mahakamani atasikumojaa.
Huu ushuhuda lazima autumie kila kona ilikuutengenezea kiki ya kuhurumiwa kupewa uraisiii.
Kwani Rais anashtakiwa?haujui hata katiba mbovu iliyowekwa na CCM.!Kama anawafahamu, kwa nini hajaenda kuwaripotishaa nahakamani?
Mbona anjibatiza ni mubobezi wa siasa na sheria?
Anakwama wapikuwapeleka mahakamani kama anawafahamu?
Hiii kiki imeshabumaaaaa
HAPANA waliompiga RISASI Lissu ni CHADEMA, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa KUGOMBEA UENYEKITI ndani ya CHADEMA; si unakumbuka za Chacha Wangwe au ulikuwa hujajiingiza kwenye siasa za CHADEMA?Kuna watu bado Wana takiwa wajuwe CCM ndio ili mpiga risasi wa jinga Sana ninyi
Chadema wakiingia madarakani watamuondolea kinga zote kama serikali ya Malawi walivyofanya sasa kwa Rais aliyepita licha ya katiba kuitaka kinga iwepoKwani Rais anashtakiwa?haujui hata katiba mbovu iliyowekwa na CCM.!
Muuaji alietaka kumuua ni Magufuli,
Magufuli ashtakiwi kwa mujibu wa katiba yenu mbovu.
CCM ndiyo ilipanga na kutekeleza shambulio lote anayebisha ndiyo mjingaKuna watu bado Wana takiwa wajuwe CCM ndio ili mpiga risasi wa jinga Sana ninyi
Aendelee kusema kila kona hata akiwa hotelini kote aseme ili watanzania wote wawajue kuwa ccm ya sasa imejaa watu wenye roho mbayanapendekeza TL asiache kuwaeleza wananchi masahibu yaliyompata kila apatapo kajinafasi...nimegundua hili linawauma sana mataga.
huko vijijini ndio iwe lazima, watz hatupendi ukatili tutampa kura za huruma!.
Kapime ubongo wako kama bado unafanya kazi!HAPANA waliompiga RISASI Lissu ni CHADEMA, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa KUGOMBEA UENYEKITI ndani ya CHADEMA; si unakumbuka za Chacha Wangwe au ulikuwa hujajiingiza kwenye siasa za CHADEMA?
Hakika CCM ni maharamiaccm ndiyo ilipanga na kutekeleza shambulio lote anayebisha ndiyo mjinga
Sawa ila roho mbaya ya CHADEMA ya "kuhujumu" viongozi wao wa ngazi za juu kama akina Chacha ataisema nani?Aendelee kusema kila kona hata akiwa hotelini kote aseme ili watanzania wote wawajue kuwa ccm ya sasa imejaa watu wenye roho mbaya
Mimi huwa nashangaa sana haya maCCM yanaposema kuwa Tundu Lissu aache kuzungumzia mambo ya kupigwa risasi. Hivi nyie mnaona jmabo la kawaida eeh? Yaani mtu kupigwa risasi 16 halafu ukapona! Naona yule mwovu aliyetuma watu kumpiga risasi kinamwuuma akisikia Lissu anazungumzia tukio hilo.Hebu fikiria ungekuwa wewe - upigwe risasi, unyimwe matibabu, unyan'ganywe ubunge!. Siyo jambo dogo. Lissu nakuambia hivi - usiache kusema. Sema ili roho izidi kuwauma.Hebu jaribu kuvaa viatu vya Tindu Lissu. Wewe ungeweza?
LETE HOJA siyo mambo ya mkatomkato bradha, ili twende sawa!Kapime ubongo wako kama bado unafanya kazi!
🤣🤣Ndio "ndugu zetu" walobaki siku hizi tunatembeleana na kupeana pole. Hata kwenye football ni haohao.🤣🤣🤣Kama msingempiga risasi asingeongelea hilo. Wahutu mlaaniwe kabisa mumetuharibia nchi yetu sana.