Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hapo ulitaja kusemaje labdaila chadema iwekeze kwenye designer aisee ni chama kikubwa ila mambo yake hapana
Mchawi mpe mwanao akuleleeTundu lissu Uganda kafata nini?
HayaAchunguzwe huyo....hiyo safari ina lengo gani..
Tunakushukuru kwa Ushauriila chadema iwekeze kwenye designer aisee ni chama kikubwa ila mambo yake hapana
Fafanua mkuu mimi sio mjuvi kwenye masiala ya nahau.Mchawi mpe mwanao akulelee
Jamaa anawaacha hoi akina WasiraMwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu yuko Nchini Uganda kwa ziara ya Kikazi.
Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
View attachment 3257593
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Kufanya nini?Asaidiwe na Museveni
😀😀😀Mchawi mpe mwanao akulelee
Mbona mnatetemeka😀😀😀Achunguzwe huyo....hiyo safari ina lengo gani..
Wanaodhani tutasua wanachanganyikiwa😀😀Hatutasusia uchaguzi Bali tutazuia uchaguzi naomba mnielewe kwa hilo
Ahaaaa naona anaenda kuuona mseveni ampe mbinu za kibabe.Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu yuko Nchini Uganda kwa ziara ya Kikazi.
Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
View attachment 3257593
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu yuko Nchini Uganda kwa ziara ya Kikazi.
Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
View attachment 3257593
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Nadhani ni Militant connection approach kutafuta vita vya msituni.Naona anatafuta balaa.Tundu lissu Uganda kafata nini?