MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
Tabu kweli kweli.Hizi nchi za kiafrica bado zina safari ndefu mno kufikia hatua ya kuheshimu katiba zao pamoja na utawala wa sheria.
Mtu akishakuwa Rais Africa basi ni Mungu mtu...eti hata ukimtaja jina tu bila sababu unafungwa..
Yaani kama ile amri ya Nabii Mussa kwetu kwamba usilitaje jina .... inatumika hapa Africa...
Inawezekana ni mchaguzi sana wa kazi; kama ulisoma kusudi uwe Mkurugenzi fulani jijini Dar, itakuwia vigumu sana kupata kazi ya kuajiriwa, ila kama uliandaliwa kuwa mtumishi aliye tayari kufanya kazi yoyote atakayopewa basi tafuta kazi utazipta; kazi hazikufuati wewe bali wewe ndiwe unayetakiwa kuzitafuta huko ziliko. Juzi nilikuwa naangalia wanaojenga meli ya MV Ukara, wote ni watanzania na hata kampuni yenyewe ni ya kitanzania. Nilipokuwa nasikiliza ripoti kuhusu maendeleo ya SGR, 80% ya watumisihi wote ni watanzania, kwenye ujenzi wa hilo bwawa la Nyerere mpaka sasa 70% ya wafanyakazi wote ni watanzania. Sina ripoti ya kutosha kuhusu daraja na Tanzanite, lakini unaweza kukuta pia asilimia kubwa ya wafayakazi ni watanzania.Sikisoma ili nikabebe zege, niliandaliwa kuwa mtumishi.
Nadhani wewe umelelewa na facebook. Kwana Nyerere hakukaa madarakani miaka 29 halafu hata umesikia Magufuli anavyomtukuza sana Nyerere. Hujui kuwa wakati wa Nyerere elimu yote mpaka chuko kikuu, huduma za afya, na maji vilikuwa bure. Halafu kila mkoa ulikuwa na angalau kiwanda fulani, ingawa mkoa wa Morogoro, na Dar ndiyo ilikuwa na viwanda vingi ila karibu kila mkoa ulikuwa na kiwanda. SGR ya kwanza inayoitwa TAZARA ilijengwa na Nyerere. Barabara za kwanza za lami kutoka Dar mpaka Tunduma, na kutoka Moro had Dodoma, Kutoka Chalinze hadi Arusha, na kutoka Mwanza hadi Silali, ni miradi iliyojengwa na Nyerere. Sijui wewe unasema nini hapa.Mwalimu alikaa ikulu miaka 29 Magufuli amekaa miaka 5 linganisha kama Mwalimu ndani ya miaka 5 alifanya yaliyofanywa sasa..fikiri kabla ya kuandika kijana.
Mkuu mimi ninamkubali na kumtetea Magufuli like no other, lakini inapofikia ukweli lazima usemwe.
Magufuli hajafikia hata nusu ya mambo aliyofanya Nyerere, tuache ushabiki wa ajabu ajabu.
Nyerere alijenga vyuo mbali mbali, shule nyingi, barabara kiasi chake, alijenga viwanda vingi sana vilivyo kuwa vinamilikiwa na serikali, alinunua ndege, aliwekeza kwenye mambo mengine mengi.
Magufuli ni kiongozi ninaye mkubali sana lakini bado hajafikia viwango vya Nyerere kila nyanja iwe kiuchumi au kijamii.
Sijui wewe unatoa wapi hizo paundi millioni 75 kwani inaelekea hujui kuwa kabla ya Nyerere hakukuwa na Taifa linalotwa Tanganyika, bali ilikuwa ni koloni la Uingereza. Hakukuwa na hazina ya Tanganyika bali ilikuwa ni hazina ya mfalme.Nyerere alikabidhiwa Ikulu 1962 alikuta hazina ya taifa ina pound 75m hadi kufikia 1967 alikuwa kafanya nini? Maafisa wa Ikulu aliowakuta Nyerere kina Kasela Bantu na Edwin Mtei waliamua kutimka zao baada ya kuona mambo hayaendi sawa. Ni Amil Jamal raia wa Canada mwenye asili ya India ndio aliyekuja kuokoa jahazi, viwanda mnavyo visifia ni juhudi binafsi za Amil Jamal. Halafu leo mpuuzi mmoja anakuja kumbeza JPM.
Magu anafanya Mambo gani zaidi ya wewe kusumbuliwa na umbumbumbuMagu anafanya mambo yeye ni kupinga tu wakati hata ofisi ya chama chake huko mtaa wa ufipa kama mbavu za mbwa tu. Kuongoza ni kuonyesha njia lakini kwa CHADEMA kuongoza ni kupinga pinga hovyo bila mantiki! Anyawy Tundu Lissu ana frustration/depression (Sonona) hivyo ngoja aendelee kubweka ili aondoe machungu ya moyoni hatimaye akili imkae sawa atakapoona kura hazitoshi!
Huyo Tundu Lissu amefanya nini cha maana katika nchi hii? Nadhani unahitajika milembe ukafanye check up!Magu anafanya Mambo gani zaidi ya wewe kusumbuliwa na umbumbumbu
Nyerere alitusomesha lakini idadi ndogo sana ilikuwa ile tu ya kupata ajira.Hapo sawa.
Nilitaka kukushangaa sana, Nyerere ni habari nyingine.
Hii elimu bure hadi kidato cha nne kwa Nyerere ilikuwa kuanzia darasa la awali, shule ya msingi, sekondari hadi chuo kikuu.
Tena yeye alienda mbali sana kwa kutoa huduma ya chakula bure cha mchana na kifungua kinywa(uji saa nne asubuhi) shule za msingi, sekondari huko usiseme, vyuo vikuu kulikuwa na mabomba ya maziwa, mikate, matunda, vyakula vya kutosha na likizo watu walilipiwa nauli hadi za ndege na serikali.
Yule mzee hakuwa mtu wa kawaida kama waliomfuatia.
Hii inayo itwa mikopo ya elimu ya juu ilikuwa bure kabisa tena 100%.
Kitu cha kushangaza watu waliofaidika kupitia huduma hii ndiyo walikuja kupiga kura bungeni kupitisha sheria ya bodi ya mikopo na wengine kuandaa kanuni wizarani watu walipe hii fedha kama mikopo.
Wakapanga walipe waliofaidika kuanzia miaka ya 1990 na kitu wakajitoa wao wa miaka ya 80's kurudi nyuma wasilipe huduma hizo walizopewa bure na Nyerere.
Hapo kati nchi ilioza sana kwa ubinafsi na ufujaji mali ya umma, hao wazee kama haitoshi wakabadili muda wa kustaafu wakajiongezea muda ili waendelee kula wao na kuajiri ndugu zao.
Wenzetu wanashusha umri wa kustaafu ili kutoa fursa kwa vijana nao waajiriwe wapate mitaji sisi tunafanya kinyume chake!!!
Tundu Lissu ni nani na Magu ni nani?Huyo Tundu Lissu amefanya nini cha maana katika nchi hii? Nadhani unahitajika milembe ukafanye check up!
Bahati mbaya tuliyemkabidhi usukani atuongoze katika kujipanga upya,is total empty na hana msaada kwa taifa hili zaidi ya kutaka kusifiwa na wajingaNyerere alitusomesha lakini idadi ndogo sana ilikuwa ile tu ya kupata ajira.
Pili alianzisha birth control yaani UMATI sio kuzaa bila brake.
Lakini sasa ni shaghala baghala,uwezo wa kusomesha watoto wetu upo kisiasa zaidi na hilo ndio tatizo.
Baya zaidi waliouwa viwanda vya Nyerere wakitegemea misaada ya World Bank na IMF ndio walimaliza kabisa nchi hii.
Tunajipanga upya lakini tuongeze nguvu mara elfu mmoja kukabili hili janga la ajira na ukwasi.
Mkuu kuuwa nchi kumeanzia mbali,wewe ulishajiuliza how come a person can built and complete mansion worth 2 million usd in one year with maximum income of 5000 usd annually without loans.Bahati mbaya tuliyemjabidhi usukani atuongoze katika kujipanga upya,is total empty na hana msaada kwa taifa hili zaidi ya kutaka kusifiwa na wajinga
HaiwezekaniMkuu kuuwa nchi kumeanzia mbali,wewe ulishajiuliza how come a person can built and complete mansion worth 2 million usd in one year with maximum income of 5000 usd annually without loans.
Tufanye reality check.
Sikisoma ili nikabebe zege, niliandaliwa kuwa mtumishi.
Nchi hii ina watu wa ajabu sanaShida atakayoipata TL ni kuwa kila akisimama lazima amtaje JPM ili wananchi wamuelewe.
JPM yeye atakuwa anaongea na wananchi moja kwa moja kwa kuwauliza wapi walipoishia ili 2021 waanzie hapo.
JPM endelea kumwaga moto TL ni kama kibito tu kelele nyingi lakini yuko pale pale.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Nadhani sera ya Siri ya ccm ni kutafuna Tanzania,no wonder Magu anapigana kuturudisha gizaniMkuu kuuwa nchi kumeanzia mbali,wewe ulishajiuliza how come a person can built and complete mansion worth 2 million usd in one year with maximum income of 5000 usd annually without loans.
Tufanye reality check.
Kwa miaka 23 hila magu hata robo badoMkuu mimi ninamkubali na kumtetea Magufuli like no other, lakini inapofikia ukweli lazima usemwe.
Magufuli hajafikia hata nusu ya mambo aliyofanya Nyerere, tuache ushabiki wa ajabu ajabu.
Nyerere alijenga vyuo mbali mbali, shule nyingi, barabara kiasi chake, alijenga viwanda vingi sana vilivyo kuwa vinamilikiwa na serikali, alinunua ndege, aliwekeza kwenye mambo mengine mengi.
Magufuli ni kiongozi ninaye mkubali sana lakini bado hajafikia viwango vya Nyerere kila nyanja iwe kiuchumi au kijamii.
Lissu akamjengee kwanza nyumba babake ndio aje kutuletea porojo zake,Shida atakayoipata TL ni kuwa kila akisimama lazima amtaje JPM ili wananchi wamuelewe.
JPM yeye atakuwa anaongea na wananchi moja kwa moja kwa kuwauliza wapi walipoishia ili 2021 waanzie hapo.
JPM endelea kumwaga moto TL ni kama kibito tu kelele nyingi lakini yuko pale pale.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]