Umeonyesha wazi kwamba uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, haya yeye ameanza kwa kusimulia adha na maumivu makali aliyopitia,ambayo hata MANDELA HAKUWAHI KUYAPITIA, hivi unataka kufananisha viboko na mvua ya risasi zaidi ya 30 na bado unataka asisemee Jambo hilo kwa kisingizio cha kujenga chuki?
Kama hilo linajenga chuki kwanini watu walitekeleza UNYAMA ULE, mimi binafsi sikuwahi kufikiria kumpigia kura Tundu kwa ngazi ya urais,Ila NITAMPIGIA KWANI NAAMINI SASA MUNGU ALIKUWA NA KUSUDI JUU YAKE, ni muujiza usio wa kawaida!
Halafu ulivyo Mjinga unasema kwanini hazungumzii korosho sijui na nini nini huko,kwani ni lazima awe Lissu tu wa kuyasema hayo? Wewe umeyasemea kwa kiwango gani? Wenye korosho zao wamejisemea kwa kiwango gani? Watumishi wenyewe wanajisemea kwa kiwango gani?(si ndiyo hao hao wa kwanza kumshangilia mzee)
Umezungumzia Upendo,Upendo upi unaouzungumzia hapa,ratiba yake pamoja na mambo mengine atakwenda kuaga mwili wa aliyewahi kumtesa sana pia,lakini kwa Upendo anakwenda kumuaga akiwa kwa "coffin" kuna Upendo zaidi ya huu?
Kwa uzi wako na maneno yako umeonyesha namna ulivyo MPUMBAVU SANA!SOMA TENA KISHA JISAHIHISHE URUDISHE HESHMA YAKO ANGALAU KIDOGO!