Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Polepole huyuhuyu Chakubanga aliyeondoka na mzunguko O ya PCM Azania ndio ataweza kujibu hoja hizi ?Tupo jikoni na Polepole tunaandaa nondo za kumjibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polepole huyuhuyu Chakubanga aliyeondoka na mzunguko O ya PCM Azania ndio ataweza kujibu hoja hizi ?Tupo jikoni na Polepole tunaandaa nondo za kumjibu
Nilitoa hii mada MIFUKO JA JAMII watu wakanitolea povu leo MZEE BABA kafafanua vizuli siwaoni wale wajanja wakujibu kila mada ongeeni chochote
Imengia vizuri damuHuyo sio mtanzania tena ana damu za ukorofi na ukabila na za mabeberu.Damu ya kinyaturu hana kwahyotumsamehe na kichwani bado dawa zimejaa bado hajapona jamani.
Acha kubwabwaja comrade hujui kwamba katiba imetoa uhuru kwa kila mwananchi kuchagua chama chochote kadri wapendavyo.Tatizo la wafanykazi wa Tanzania ni midabwada, watu hopeless and stupid ! Kuna wale ambao wana ka upenyo ka kupata bakishishi/marupurupu kazini, haya ya mifuko hayawahusu, "wanafidia" huku wanakochota. Kundi la walimu (siyo wote tafadhali, ila wengi wao wako hivyo) ni kundi la academic failures ambao walipata Div 4 na hivyo kujiona "afadhali" wanapata hata hicho kidogo! WAMEGAWANYIKA katika makundi ya imani/itifaki mbali mbali. Mapolisi/wanajeshi ni academic failures, wao wanaona kama wamekuwa favoured na hiyo wanashukuru hata kidogo hicho wanachokipata, wanapata virushwa rushwa, wanaona ahueni. Kuwaunganisha siyo kazi rahisi! Wanahitaji mental liberation!
Wamepotea kabisa utafikiri Uzi hawauoni majinga sana haya yanayomtetea magufuli ni mwizi haijawahi tokea.
Leteni uthibitisho kwanza wa madai yenu. Yaan chadema kila anachosema Lissu mnaamini tu bila hata kumuuliza yeye kajuaje.
Kazi unayo jombaa. Kama unasubiria uletewa kila kitu uthibitisho..Leteni uthibitisho kwanza wa madai yenu. Yaan chadema kila anachosema Lissu mnaamini tu bila hata kumuuliza yeye kajuaje.
Nikasome wapi? Wewe uliyesoma leta uthibitisho comradeKasome report za CAG,
Ni kweli kabisa kazi ninayo maana mimi sio zumbukuku kama baadhi ya members wanaoamini kila kitu bila kutafuta uthibitisho.Kazi unayo jombaa. Kama unasubiria uletewa kila kitu uthibitisho..