Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
washenzi tu haoMACCM NI KINYAAAAA,KAMA CHA HAJA YA BATA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
washenzi tu haoMACCM NI KINYAAAAA,KAMA CHA HAJA YA BATA
Kweli kabisaManeno yenye hekima sana
"Wafanyakazi wa Tanzania amkeni, hamna chochote cha kupoteza isipokuwa minyororo yenu"
Umesema ukweli mkuu. Yaani ukikaa ni hopeless kabisa. Halafu wana lile lichama linaitwa CWT. Upuuzi mtupu yaani. Wanapata hela lakini washenzi sana. Linapokuja suala la maslahi ya waalimu ni failures tu. Yaani wafanyakazi wa bongo bwana . . . Wajinga ni wengi sana kati yaoTatizo la wafanykazi wa Tanzania ni midabwada, watu hopeless and stupid ! Kuna wale ambao wana ka upenyo ka kupata bakishishi/marupurupu kazini, haya ya mifuko hayawahusu, "wanafidia" huku wanakochota. Kundi la walimu (siyo wote tafadhali, ila wengi wao wako hivyo) ni kundi la academic failures ambao walipata Div 4 na hivyo kujiona "afadhali" wanapata hata hicho kidogo!
Pole sana mkuu. Mi ndugu yangu mwezi wa sita anaruka ruka tu hajapata kituMwezi wa tatu huu nahangaika na haya mamifuko kazi yenyewe mkataba uliisha 2018.
Tukajiongeza na kujiajiri ila mambo yamebadilika na mifuko pesa ndio hizo kila siku sheria inasema sheria ..halafu hawafatilii michango kwa waajiri sijui wanakula mlungula.
Kasome ripoti ya CAG. Halafu hukumbuki kwamba wabunge waliwahi kutoa hoja kupitia kamati zao kwamba mifuko ya hifadhi ya jamii inabidi ifanyiwe tathmini kama itaweza kulipa mafao miaka ijayo maana hali yake kifedha sio nzuriLeteni uthibitisho kwanza wa madai yenu. Yaan chadema kila anachosema Lissu mnaamini tu bila hata kumuuliza yeye kajuaje.
Mkuu tukiachana na hizi stori za lissu kwa hela zimetuwaje!Leteni uthibitisho kwanza wa madai yenu. Yaan chadema kila anachosema Lissu mnaamini tu bila hata kumuuliza yeye kajuaje.
Mkuu,.Molemo hili swala la kikokotoo na fao la kujitoa ni mambo muhimu na yanayogusa wengi,hivyo mwambieni Lissu alipe mkazo kwenye kampeni zake katiba Siku zilizobaki.
Kingine,mwambieni Lissu atoe ahadi ya kurudisha Bunge live kwani hili jambo litagusa na pia litapokelewa vizuri na watu wengi.
Mkuu,.
Mchakato wa fao la kujitoa uwe endelevu. Pazeni sauti kila siku tunaumiza uchumi wa mtu mmoja mmoja ni hatari sana.