Lissu hana hoja za kujibiwa zaidi ya maneno yake ya ubaguzi na chuki tu za kijinga jinga. Ndio maana hata yeye anafanya kazi ya kusema anatoa ufafanuziAngalau jaribu ujitumue kujibu hoja badala ya shutuma. Ukimjibu Tundu tu ndipo utapata uteuzi wako mapema la sivyo utasumbuka sana mwana CCM mwenzangu.
watanzani awote wenye akili timamuMuungane na nani?
Kama Lisu huoni kwamba ana hoja basi kukuelewesha wewe ni kazi kubwa ndio maana hata unaowatetea hawawezi kukuteua kwa ufahamu huu.Lissu hana hoja za kujibiwa zaidi ya maneno yake ya ubaguzi na chuki tu za kijinga jinga. Ndio maana hata yeye anafanya kazi ya kusema anatoa ufafanuzi
TATIZO unafikiria kwa KUTUMIA MAKALIO na sio kichwaNdugu zangu Watanzania,
Kauli za kibaguzi ambazo zimetolewa na zimekuwa zikitolewa kupitia mdomo wa Lissu zimeendelea kulaaniwa na kukemewa sana na watanzania maeneo mbalimbali nchini. Ambapo watanzania wengi wameonyesha kuchukizwa na kauli za Lissu ambazo zinatokana na uchu na uroho wake wa madaraka.
Watanzania wanapinga na kukemea sana ubaguzi na chuki inayopandikizwa na Lissu ,ambapo hata hivyo watanzania wamekataa na kugoma kabisa kuingia katika mtego huo wa kutaka kuwagawa. ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu wa aina yoyote ile na Taifa letu pale litakapogawanyika na kupasuka vipande vipande au kutokea machafuko hapa nchini.
Hii ni kwa kuwa watoto wa Lissu wana Uraia wa Marekani ,kauli ambayo amewahi kuitoa na kukili kwa mdomo wake mwenyewe lissu .kwa mantiki hiyo mnaweza kutambua kwa nini Lissu hana habari wala uoga wala hofu wala aibu ya kupandikiza chuki na ubaguzi hapa nchini. Yeye hata yakitokea machafuko leo ,basi yeye kesho yake anapanda zake ndege na kwenda ulaya au Marekani kutulia na familia yake akiwa ameshika kinywaji mkononi mwake kupeleka mdomoni mwake, huku akiangalia kupitia Tvs namna watanzania wanavyohangaika na kuteseka,huku akina mama wakiwa na watoto migongoni na wengine wajawazito wakilia kwa uchungu pasipo msaada.
Mtakumbuka hata 2020 alipotaka watanzania waandamane halafu yeye akaenda kujificha ubalozini huku akiwa na tiketi ya ndege mkononi mwake kwa ajili ya kwenda ulaya kula upepo. Sasa hamjiulizi kwanini alikwenda kujificha ubalozini? Kama alikuwa anakiogopa kifo ,je alitaka mtoto wa nani ndio afe kwa ajili ya maslahi yake binafsi? Kwanini asingetoka hadharani aongoze maandamano kama walivyokuwa wakifanya akina Dkt Martin Luther King junior kule Marekani?
Kwanini alitaka awarubuni watanzania wakati yeye tayari anayo tiketi ya ndege mfukoni na mipango ya kusindikizwa hadi uwanja wa ndege kupanda ndege kwenda ulaya? Uzalendo wake ulikuwa wapi? Alitaka nani aongoze hayo maandamano ikiwa muanzisha maandamano alikuwa msitari wa mbele kutimua mbio? Je siyo kwamba alikuwa anataka awalaghai watanzania na kusababisha machafuko hapa nchini kwa maslahi yake binafsi?
Sasa Lissu baada ya kuona watanzania wamekuwa wakimgomea kuandamana,ameamua kuanza kutumia njia nyingine ya kutaka kupandikiza mbegu ya ubaguzi,chuki,uhasama pamoja na kuleta nyufa na mpasuko kwa Taifa letu. Hii ni baada ya kuishiwa hoja ,sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watu na kupata uungwaji mkono. lakini bado watanzania wamesimama kidete kupinga kauli zake za kibaguzi na zenye lengo la kujenga chuki na uhasama miongoni mwa watanzania.
Hayati Baba wa Taifa amewahi kutuasa na kutumbia kuwa kuna watu wakikosa hoja na sera za kuwashawishi watanzania kuwapigia kura ,huanza kutumia hoja za ubaguzi kwa misingi ya Udini au ukabila. Sasa ndio haya tunayo yaona kwa Lissu leo hii akitumia katika kutaka kupata uungwaji mkono kwa njia ya kuwagawa watu na kulisambaratisha Taifa letu ,baada ya kuwa amefirisika kisera.
Watanzania tumuogope na kuwaogopa kama ukoma watu aina ya Lissu wanaotaka kutugawa na kulisambaratisha na kulipasua Taifa letu kwa kauli za kibaguzi. Tumkemee na tuungane kumkataa Lissu na CHADEMA yake dhidi ya kauli zao chafu za kibaguzi. Tuwakatae kuanzia mitaani hadi katika sanduku la kura lolote lile watakaloweka wagombea wao.
Tuwaambie kuwa tunahitaji siasa safi,siasa za hoja,ajenda,sera na ushindani wa mbinu bora za kutatua kero zilizopo pamoja na kulipeleka mbele Taifa letu likiwa moja,lenye amani,upendo, utulivu na mshikamano. Kama siyo amani na utulivu huu uliotamalaki hapa Nchini, hao akina Lissu wasingepata nafasi ya kutoa maneno yao hayo machafu ya kibaguzi.tuulinde Muungano wetu na Taifa letu na umoja wake. Lissu kama amechoka kuishi hapa nchini basi ni bora aondoke haraka sana Nchini na siyo kupandikiza chuki ambazo haziwezi kamwe mpatia hata kura moja tu kwenye sanduku la kura.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nimecheka .. hutaki kujumuishwa mkuu?1 🤣Muungane na nani?
Etii ehhh,FISIEMU ndiyo inayokupa kiburi eeeh?Labda huko kwa magenge ya CHADEMA yaliyojikatia tamaa na kupoteza matumaini.
Lissu ni kiongozi ! Lissu ni mwalimu wetu! Likukae akilini hiloNa wale wote wenye mioyo ya uzalendo na mapenzi mema na Taifa letu na wanaojitambua kiakili.
Sitaki muungano na mbumbumbu mimiNimecheka .. hutaki kujumuishwa mkuu?1 🤣
Sitaki muungano na mbumbumbu mimiNimecheka .. hutaki kujumuishwa mkuu?1 🤣
Acha kutisha watu anachosema yuko sahihi kwani anapotosha nini!mbona hata wana ccm wanapotosha watu tena hao ndio wabaya zaidi ya LissuNdugu zangu Watanzania,
Kauli za kibaguzi ambazo zimetolewa na zimekuwa zikitolewa kupitia mdomo wa Lissu zimeendelea kulaaniwa na kukemewa sana na watanzania maeneo mbalimbali nchini. Ambapo watanzania wengi wameonyesha kuchukizwa na kauli za Lissu ambazo zinatokana na uchu na uroho wake wa madaraka.
Watanzania wanapinga na kukemea sana ubaguzi na chuki inayopandikizwa na Lissu ,ambapo hata hivyo watanzania wamekataa na kugoma kabisa kuingia katika mtego huo wa kutaka kuwagawa. ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu wa aina yoyote ile na Taifa letu pale litakapogawanyika na kupasuka vipande vipande au kutokea machafuko hapa nchini.
Hii ni kwa kuwa watoto wa Lissu wana Uraia wa Marekani ,kauli ambayo amewahi kuitoa na kukili kwa mdomo wake mwenyewe lissu .kwa mantiki hiyo mnaweza kutambua kwa nini Lissu hana habari wala uoga wala hofu wala aibu ya kupandikiza chuki na ubaguzi hapa nchini. Yeye hata yakitokea machafuko leo ,basi yeye kesho yake anapanda zake ndege na kwenda ulaya au Marekani kutulia na familia yake akiwa ameshika kinywaji mkononi mwake kupeleka mdomoni mwake, huku akiangalia kupitia Tvs namna watanzania wanavyohangaika na kuteseka,huku akina mama wakiwa na watoto migongoni na wengine wajawazito wakilia kwa uchungu pasipo msaada.
Mtakumbuka hata 2020 alipotaka watanzania waandamane halafu yeye akaenda kujificha ubalozini huku akiwa na tiketi ya ndege mkononi mwake kwa ajili ya kwenda ulaya kula upepo. Sasa hamjiulizi kwanini alikwenda kujificha ubalozini? Kama alikuwa anakiogopa kifo ,je alitaka mtoto wa nani ndio afe kwa ajili ya maslahi yake binafsi? Kwanini asingetoka hadharani aongoze maandamano kama walivyokuwa wakifanya akina Dkt Martin Luther King junior kule Marekani?
Kwanini alitaka awarubuni watanzania wakati yeye tayari anayo tiketi ya ndege mfukoni na mipango ya kusindikizwa hadi uwanja wa ndege kupanda ndege kwenda ulaya? Uzalendo wake ulikuwa wapi? Alitaka nani aongoze hayo maandamano ikiwa muanzisha maandamano alikuwa msitari wa mbele kutimua mbio? Je siyo kwamba alikuwa anataka awalaghai watanzania na kusababisha machafuko hapa nchini kwa maslahi yake binafsi?
Sasa Lissu baada ya kuona watanzania wamekuwa wakimgomea kuandamana,ameamua kuanza kutumia njia nyingine ya kutaka kupandikiza mbegu ya ubaguzi,chuki,uhasama pamoja na kuleta nyufa na mpasuko kwa Taifa letu. Hii ni baada ya kuishiwa hoja ,sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watu na kupata uungwaji mkono. lakini bado watanzania wamesimama kidete kupinga kauli zake za kibaguzi na zenye lengo la kujenga chuki na uhasama miongoni mwa watanzania.
Hayati Baba wa Taifa amewahi kutuasa na kutumbia kuwa kuna watu wakikosa hoja na sera za kuwashawishi watanzania kuwapigia kura ,huanza kutumia hoja za ubaguzi kwa misingi ya Udini au ukabila. Sasa ndio haya tunayo yaona kwa Lissu leo hii akitumia katika kutaka kupata uungwaji mkono kwa njia ya kuwagawa watu na kulisambaratisha Taifa letu ,baada ya kuwa amefirisika kisera.
Watanzania tumuogope na kuwaogopa kama ukoma watu aina ya Lissu wanaotaka kutugawa na kulisambaratisha na kulipasua Taifa letu kwa kauli za kibaguzi. Tumkemee na tuungane kumkataa Lissu na CHADEMA yake dhidi ya kauli zao chafu za kibaguzi. Tuwakatae kuanzia mitaani hadi katika sanduku la kura lolote lile watakaloweka wagombea wao.
Tuwaambie kuwa tunahitaji siasa safi,siasa za hoja,ajenda,sera na ushindani wa mbinu bora za kutatua kero zilizopo pamoja na kulipeleka mbele Taifa letu likiwa moja,lenye amani,upendo, utulivu na mshikamano. Kama siyo amani na utulivu huu uliotamalaki hapa Nchini, hao akina Lissu wasingepata nafasi ya kutoa maneno yao hayo machafu ya kibaguzi.tuulinde Muungano wetu na Taifa letu na umoja wake. Lissu kama amechoka kuishi hapa nchini basi ni bora aondoke haraka sana Nchini na siyo kupandikiza chuki ambazo haziwezi kamwe mpatia hata kura moja tu kwenye sanduku la kura.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lissu ni lazima akemewe sana maana ni adui wa Taifa letu.Acha kutisha watu anachosema yuko sahihi kwani anapotosha nini!mbona hata wana ccm wanapotosha watu tena hao ndio wabaya zaidi ya Lissu
Mkuu taratibu tutaelewana tuNdugu zangu Watanzania,
Kauli za kibaguzi ambazo zimetolewa na zimekuwa zikitolewa kupitia mdomo wa Lissu zimeendelea kulaaniwa na kukemewa sana na watanzania maeneo mbalimbali nchini. Ambapo watanzania wengi wameonyesha kuchukizwa na kauli za Lissu ambazo zinatokana na uchu na uroho wake wa madaraka.
Watanzania wanapinga na kukemea sana ubaguzi na chuki inayopandikizwa na Lissu ,ambapo hata hivyo watanzania wamekataa na kugoma kabisa kuingia katika mtego huo wa kutaka kuwagawa. ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu wa aina yoyote ile na Taifa letu pale litakapogawanyika na kupasuka vipande vipande au kutokea machafuko hapa nchini.
Hii ni kwa kuwa watoto wa Lissu wana Uraia wa Marekani ,kauli ambayo amewahi kuitoa na kukili kwa mdomo wake mwenyewe lissu .kwa mantiki hiyo mnaweza kutambua kwa nini Lissu hana habari wala uoga wala hofu wala aibu ya kupandikiza chuki na ubaguzi hapa nchini. Yeye hata yakitokea machafuko leo ,basi yeye kesho yake anapanda zake ndege na kwenda ulaya au Marekani kutulia na familia yake akiwa ameshika kinywaji mkononi mwake kupeleka mdomoni mwake, huku akiangalia kupitia Tvs namna watanzania wanavyohangaika na kuteseka,huku akina mama wakiwa na watoto migongoni na wengine wajawazito wakilia kwa uchungu pasipo msaada.
Mtakumbuka hata 2020 alipotaka watanzania waandamane halafu yeye akaenda kujificha ubalozini huku akiwa na tiketi ya ndege mkononi mwake kwa ajili ya kwenda ulaya kula upepo. Sasa hamjiulizi kwanini alikwenda kujificha ubalozini? Kama alikuwa anakiogopa kifo ,je alitaka mtoto wa nani ndio afe kwa ajili ya maslahi yake binafsi? Kwanini asingetoka hadharani aongoze maandamano kama walivyokuwa wakifanya akina Dkt Martin Luther King junior kule Marekani?
Kwanini alitaka awarubuni watanzania wakati yeye tayari anayo tiketi ya ndege mfukoni na mipango ya kusindikizwa hadi uwanja wa ndege kupanda ndege kwenda ulaya? Uzalendo wake ulikuwa wapi? Alitaka nani aongoze hayo maandamano ikiwa muanzisha maandamano alikuwa msitari wa mbele kutimua mbio? Je siyo kwamba alikuwa anataka awalaghai watanzania na kusababisha machafuko hapa nchini kwa maslahi yake binafsi?
Sasa Lissu baada ya kuona watanzania wamekuwa wakimgomea kuandamana,ameamua kuanza kutumia njia nyingine ya kutaka kupandikiza mbegu ya ubaguzi,chuki,uhasama pamoja na kuleta nyufa na mpasuko kwa Taifa letu. Hii ni baada ya kuishiwa hoja ,sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watu na kupata uungwaji mkono. lakini bado watanzania wamesimama kidete kupinga kauli zake za kibaguzi na zenye lengo la kujenga chuki na uhasama miongoni mwa watanzania.
Hayati Baba wa Taifa amewahi kutuasa na kutumbia kuwa kuna watu wakikosa hoja na sera za kuwashawishi watanzania kuwapigia kura ,huanza kutumia hoja za ubaguzi kwa misingi ya Udini au ukabila. Sasa ndio haya tunayo yaona kwa Lissu leo hii akitumia katika kutaka kupata uungwaji mkono kwa njia ya kuwagawa watu na kulisambaratisha Taifa letu ,baada ya kuwa amefirisika kisera.
Watanzania tumuogope na kuwaogopa kama ukoma watu aina ya Lissu wanaotaka kutugawa na kulisambaratisha na kulipasua Taifa letu kwa kauli za kibaguzi. Tumkemee na tuungane kumkataa Lissu na CHADEMA yake dhidi ya kauli zao chafu za kibaguzi. Tuwakatae kuanzia mitaani hadi katika sanduku la kura lolote lile watakaloweka wagombea wao.
Tuwaambie kuwa tunahitaji siasa safi,siasa za hoja,ajenda,sera na ushindani wa mbinu bora za kutatua kero zilizopo pamoja na kulipeleka mbele Taifa letu likiwa moja,lenye amani,upendo, utulivu na mshikamano. Kama siyo amani na utulivu huu uliotamalaki hapa Nchini, hao akina Lissu wasingepata nafasi ya kutoa maneno yao hayo machafu ya kibaguzi.tuulinde Muungano wetu na Taifa letu na umoja wake. Lissu kama amechoka kuishi hapa nchini basi ni bora aondoke haraka sana Nchini na siyo kupandikiza chuki ambazo haziwezi kamwe mpatia hata kura moja tu kwenye sanduku la kura.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nimekusamehe bure kabisa.TATIZO unafikiria kwa KUTUMIA MAKALIO na sio kichwa
...Ati!! Halafu, mada nzima ni kuh. TAL kama wambea wa mitaani! Kw mtu mwenye kupenda kusambaza mada zake mitandaoni, ingependeza angetuletea zenye mantiq. Hizi ngonjera za umbea na kumsengenya mtu aachane nazo. Kama TAL mwnywe kaxema ana watt nje, na si wa kwanza, hatuhitaji kusikia upya. Kavunja sheria? Ingependeza kama Luka angepinga alichosema TAL, kw ktoa 'quotes' toka kwny katiba husika. Ati waTz wanaxema hiki, wanataka kile kama vile yy ni Mtakwimu Mkuu!!... uchawa kumbe ni ugonjwa, kumbe C uzalendo! ...dah!We makota kweli...kwani ile kauli ya kutokupereka maendeleo kwenye kata au jimbo la chadema ni nini
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Rubbish..Ndugu zangu Watanzania,
Kauli za kibaguzi ambazo zimetolewa na zimekuwa zikitolewa kupitia mdomo wa Lissu zimeendelea kulaaniwa na kukemewa sana na watanzania maeneo mbalimbali nchini. Ambapo watanzania wengi wameonyesha kuchukizwa na kauli za Lissu ambazo zinatokana na uchu na uroho wake wa madaraka.
Watanzania wanapinga na kukemea sana ubaguzi na chuki inayopandikizwa na Lissu ,ambapo hata hivyo watanzania wamekataa na kugoma kabisa kuingia katika mtego huo wa kutaka kuwagawa. ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu wa aina yoyote ile na Taifa letu pale litakapogawanyika na kupasuka vipande vipande au kutokea machafuko hapa nchini.
Hii ni kwa kuwa watoto wa Lissu wana Uraia wa Marekani ,kauli ambayo amewahi kuitoa na kukili kwa mdomo wake mwenyewe lissu .kwa mantiki hiyo mnaweza kutambua kwa nini Lissu hana habari wala uoga wala hofu wala aibu ya kupandikiza chuki na ubaguzi hapa nchini. Yeye hata yakitokea machafuko leo ,basi yeye kesho yake anapanda zake ndege na kwenda ulaya au Marekani kutulia na familia yake akiwa ameshika kinywaji mkononi mwake kupeleka mdomoni mwake, huku akiangalia kupitia Tvs namna watanzania wanavyohangaika na kuteseka,huku akina mama wakiwa na watoto migongoni na wengine wajawazito wakilia kwa uchungu pasipo msaada.
Mtakumbuka hata 2020 alipotaka watanzania waandamane halafu yeye akaenda kujificha ubalozini huku akiwa na tiketi ya ndege mkononi mwake kwa ajili ya kwenda ulaya kula upepo. Sasa hamjiulizi kwanini alikwenda kujificha ubalozini? Kama alikuwa anakiogopa kifo ,je alitaka mtoto wa nani ndio afe kwa ajili ya maslahi yake binafsi? Kwanini asingetoka hadharani aongoze maandamano kama walivyokuwa wakifanya akina Dkt Martin Luther King junior kule Marekani?
Kwanini alitaka awarubuni watanzania wakati yeye tayari anayo tiketi ya ndege mfukoni na mipango ya kusindikizwa hadi uwanja wa ndege kupanda ndege kwenda ulaya? Uzalendo wake ulikuwa wapi? Alitaka nani aongoze hayo maandamano ikiwa muanzisha maandamano alikuwa msitari wa mbele kutimua mbio? Je siyo kwamba alikuwa anataka awalaghai watanzania na kusababisha machafuko hapa nchini kwa maslahi yake binafsi?
Sasa Lissu baada ya kuona watanzania wamekuwa wakimgomea kuandamana,ameamua kuanza kutumia njia nyingine ya kutaka kupandikiza mbegu ya ubaguzi,chuki,uhasama pamoja na kuleta nyufa na mpasuko kwa Taifa letu. Hii ni baada ya kuishiwa hoja ,sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watu na kupata uungwaji mkono. lakini bado watanzania wamesimama kidete kupinga kauli zake za kibaguzi na zenye lengo la kujenga chuki na uhasama miongoni mwa watanzania.
Hayati Baba wa Taifa amewahi kutuasa na kutumbia kuwa kuna watu wakikosa hoja na sera za kuwashawishi watanzania kuwapigia kura ,huanza kutumia hoja za ubaguzi kwa misingi ya Udini au ukabila. Sasa ndio haya tunayo yaona kwa Lissu leo hii akitumia katika kutaka kupata uungwaji mkono kwa njia ya kuwagawa watu na kulisambaratisha Taifa letu ,baada ya kuwa amefirisika kisera.
Watanzania tumuogope na kuwaogopa kama ukoma watu aina ya Lissu wanaotaka kutugawa na kulisambaratisha na kulipasua Taifa letu kwa kauli za kibaguzi. Tumkemee na tuungane kumkataa Lissu na CHADEMA yake dhidi ya kauli zao chafu za kibaguzi. Tuwakatae kuanzia mitaani hadi katika sanduku la kura lolote lile watakaloweka wagombea wao.
Tuwaambie kuwa tunahitaji siasa safi,siasa za hoja,ajenda,sera na ushindani wa mbinu bora za kutatua kero zilizopo pamoja na kulipeleka mbele Taifa letu likiwa moja,lenye amani,upendo, utulivu na mshikamano. Kama siyo amani na utulivu huu uliotamalaki hapa Nchini, hao akina Lissu wasingepata nafasi ya kutoa maneno yao hayo machafu ya kibaguzi.tuulinde Muungano wetu na Taifa letu na umoja wake. Lissu kama amechoka kuishi hapa nchini basi ni bora aondoke haraka sana Nchini na siyo kupandikiza chuki ambazo haziwezi kamwe mpatia hata kura moja tu kwenye sanduku la kura.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hawana uwezoZijibuni basi!
Naona mawazo ya kikoloni na ukoloni yamekujaa kichwani mwako.Rubbish..
Mzanzibari yupo ikulu ya watanganyika au hayupo?. Mbona huwa hamjibu hoja?.
Tundu Lissu siyo mbaguzi hata kidogo. Kama angekuwa mbaguzi miaka yote hiyo tungekwisha jua kwamba hi mbaguzi. Isipokuwa jambo analoliongelea ili kumwelewa vizuri unahitaji kuwa na akili timamu tu. Otherwise, uta'miss out'.Ndugu zangu Watanzania,
Kauli za kibaguzi ambazo zimetolewa na zimekuwa zikitolewa kupitia mdomo wa Lissu zimeendelea kulaaniwa na kukemewa sana na watanzania maeneo mbalimbali nchini. Ambapo watanzania wengi wameonyesha kuchukizwa na kauli za Lissu ambazo zinatokana na uchu na uroho wake wa madaraka.
Watanzania wanapinga na kukemea sana ubaguzi na chuki inayopandikizwa na Lissu ,ambapo hata hivyo watanzania wamekataa na kugoma kabisa kuingia katika mtego huo wa kutaka kuwagawa. ikumbukwe ya kuwa Lissu hana uchungu wa aina yoyote ile na Taifa letu pale litakapogawanyika na kupasuka vipande vipande au kutokea machafuko hapa nchini.
Hii ni kwa kuwa watoto wa Lissu wana Uraia wa Marekani ,kauli ambayo amewahi kuitoa na kukili kwa mdomo wake mwenyewe lissu .kwa mantiki hiyo mnaweza kutambua kwa nini Lissu hana habari wala uoga wala hofu wala aibu ya kupandikiza chuki na ubaguzi hapa nchini. Yeye hata yakitokea machafuko leo ,basi yeye kesho yake anapanda zake ndege na kwenda ulaya au Marekani kutulia na familia yake akiwa ameshika kinywaji mkononi mwake kupeleka mdomoni mwake, huku akiangalia kupitia Tvs namna watanzania wanavyohangaika na kuteseka,huku akina mama wakiwa na watoto migongoni na wengine wajawazito wakilia kwa uchungu pasipo msaada.
Mtakumbuka hata 2020 alipotaka watanzania waandamane halafu yeye akaenda kujificha ubalozini huku akiwa na tiketi ya ndege mkononi mwake kwa ajili ya kwenda ulaya kula upepo. Sasa hamjiulizi kwanini alikwenda kujificha ubalozini? Kama alikuwa anakiogopa kifo ,je alitaka mtoto wa nani ndio afe kwa ajili ya maslahi yake binafsi? Kwanini asingetoka hadharani aongoze maandamano kama walivyokuwa wakifanya akina Dkt Martin Luther King junior kule Marekani?
Kwanini alitaka awarubuni watanzania wakati yeye tayari anayo tiketi ya ndege mfukoni na mipango ya kusindikizwa hadi uwanja wa ndege kupanda ndege kwenda ulaya? Uzalendo wake ulikuwa wapi? Alitaka nani aongoze hayo maandamano ikiwa muanzisha maandamano alikuwa msitari wa mbele kutimua mbio? Je siyo kwamba alikuwa anataka awalaghai watanzania na kusababisha machafuko hapa nchini kwa maslahi yake binafsi?
Sasa Lissu baada ya kuona watanzania wamekuwa wakimgomea kuandamana,ameamua kuanza kutumia njia nyingine ya kutaka kupandikiza mbegu ya ubaguzi,chuki,uhasama pamoja na kuleta nyufa na mpasuko kwa Taifa letu. Hii ni baada ya kuishiwa hoja ,sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watu na kupata uungwaji mkono. lakini bado watanzania wamesimama kidete kupinga kauli zake za kibaguzi na zenye lengo la kujenga chuki na uhasama miongoni mwa watanzania.
Hayati Baba wa Taifa amewahi kutuasa na kutumbia kuwa kuna watu wakikosa hoja na sera za kuwashawishi watanzania kuwapigia kura ,huanza kutumia hoja za ubaguzi kwa misingi ya Udini au ukabila. Sasa ndio haya tunayo yaona kwa Lissu leo hii akitumia katika kutaka kupata uungwaji mkono kwa njia ya kuwagawa watu na kulisambaratisha Taifa letu ,baada ya kuwa amefirisika kisera.
Watanzania tumuogope na kuwaogopa kama ukoma watu aina ya Lissu wanaotaka kutugawa na kulisambaratisha na kulipasua Taifa letu kwa kauli za kibaguzi. Tumkemee na tuungane kumkataa Lissu na CHADEMA yake dhidi ya kauli zao chafu za kibaguzi. Tuwakatae kuanzia mitaani hadi katika sanduku la kura lolote lile watakaloweka wagombea wao.
Tuwaambie kuwa tunahitaji siasa safi,siasa za hoja,ajenda,sera na ushindani wa mbinu bora za kutatua kero zilizopo pamoja na kulipeleka mbele Taifa letu likiwa moja,lenye amani,upendo, utulivu na mshikamano. Kama siyo amani na utulivu huu uliotamalaki hapa Nchini, hao akina Lissu wasingepata nafasi ya kutoa maneno yao hayo machafu ya kibaguzi.tuulinde Muungano wetu na Taifa letu na umoja wake. Lissu kama amechoka kuishi hapa nchini basi ni bora aondoke haraka sana Nchini na siyo kupandikiza chuki ambazo haziwezi kamwe mpatia hata kura moja tu kwenye sanduku la kura.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.