Tundu Lissu aendelea kushambuliwa mitaani kwa kauli zake za kibaguzi na chuki

Tundu Lissu aendelea kushambuliwa mitaani kwa kauli zake za kibaguzi na chuki

Kauli za kibaguzi ambazo zimetolewa na zimekuwa zikitolewa kupitia mdomo wa Lissu zimeendelea kulaaniwa na kukemewa sana na watanzania..
Duh,
Kwa hiyo wewe ndiyo watanzania?
Hii ni kwa kuwa watoto wa Lissu wana Uraia wa Marekani ,
Acha porojo na propaganda za kijinga. Weka hapa ushahidi.
Sasa hamjiulizi kwanini alikwenda kujificha ubalozini?
Hata hili hujui sababu?!!!
Ilikuwa muhimu ili asiuliwe na lile kundi haramu la jpm la wasiojulikana.
Watanzania tumuogope na kuwaogopa kama ukoma watu aina ya Lissu
Acha uhuni dogo..
Wewe na machawa wenzio ndiyo wa kuogopwa kama ukoma maana mnapotosha Watanzania kwa uongo mwingi.

Halafu nikushauri, tafuta kazi ya kufanya, uchawa haulipi. Kuna siku utadaiwa mabilioni ya pesa kufidia watu kutokana na kuwachafua mitandaoni kwa uzushi wako unaotokana na chuki na usio na ushahidi wowote
 
Duh,
Kwa hiyo wewe ndiyo watanzania?

Acha porojo na propaganda za kijinga. Weka hapa ushahidi.

Hata hili hujui sababu?!!!
Ilikuwa muhimu ili asiuliwe na lile kundi haramu la jpm la wasiojulikana.

Acha uhuni dogo..
Wewe na machawa wenzio ndiyo wa kuogopwa kama ukoma maana mnapotosha Watanzania kwa uongo mwingi.

Halafu nikushauri, tafuta kazi ya kufanya, uchawa haulipi. Kuna siku utadaiwa mabilioni ya pesa kufidia watu kutokana na kuwachafua mitandaoni kwa uzushi wako unaotokana na chuki na usio na ushahidi wowote
Lissu ni lazima akemewe kwa nguvu zote na watanzania wote wenye akili Timamu na wanaojitambua kwa kuchochea ubaguzi na chuki hapa nchini.
 
Lissu ni lazima akemewe kwa nguvu zote na watanzania wote wenye akili Timamu na wanaojitambua kwa kuchochea ubaguzi na chuki hapa nchini.
Machawa kama wewe ndiyo wa kukemewa vikali na kila Mtanzania mwenye akili. Usipotoshe watu
 
Tuungane kupinga kauli za kibaguzi na chuki zinazopandikizwa na kutolewa na Lissu kwa uchu na uroho wake wa madaraka.
Kwani aliyosema hayana ukweli? Jamhuri ya Muungano ya Tanzania si ya Tanganyika na Zanzibar? Je si kweli kwamba Zanzibar wana Katiba, Rais, Wimbo wa Taifa, Bendera yao nk? Kosa la Lisu ni lipi? Tueleze na ujibu hoja zake kwa hoja, tutakuelewa.
 
Mtoa Mada umetuangusha maneno mengi hakuna hata moja umeandika linaendana na maandishi yako Lisu mpaguzi ainisha na sisi tujue
 
Back
Top Bottom