Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ikiwa leo ni Tarehe 2 May 2024, Tundu Lissu, ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema ameongoza Maandamano Makubwa ya kupinga dhiki, Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
Hali ndio kama unavyoiona
Hali ndio kama unavyoiona