Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umeandika uongoAmefanya maandamano bila baraka za chairman!
Jeuri gani kaleta.Tindu Lissu ni Mtikila aliyefufuka, Ni Warrier, Jasiri mwenye Jeuri
Kiboko ya Wapumbavu na Wajinga wajinga wasio na Hoja
Tunaitaka Tanganyika Yetu Huru, iwe Asubuhi, Mchana au Usiku.
Mkuu njoo Chadema, hatohama huyuHuyu jamaa siku akihama hicho chama tamuunga mkono...
Ni kiongozi.
Huko mmejaa wasanii tupu...Mkuu njoo Chadema, hatohama huyu
Kwani umemjulia wapi ?Huko mmejaa wasanii tupu...
Anapoteza muda wake.
Huko mmejaa wasanii tupu...
Anapoteza muda wake.
Iringa hawanaga jambo dogo. Wanajitambua sana hawa ndugu zanguIkiwa leo ni Tarehe 2 May 2024, Tundu Lissu, ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema ameongoza Maandamano Makubwa ya kupinga dhiki, Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
Hali ndio kama unavyoiona
View attachment 2979077View attachment 2979078View attachment 2979079View attachment 2979080
Bila shaka nimeanza kumfuatilia akiwa kwenu ila nikimwangalia ...Kwani umemjulia wapi ?
Ni sawa na kusubiri kesho jua lisichomozeHuyu jamaa siku akihama hicho chama tamuunga mkono...
Ni kiongozi.
Leta katiba mpya, leta tume huru, weka mgombea binafsi, badiri sheria kandamizi za uchaguzi halafu ndo usema usaniiHuko mmejaa wasanii tupu...
Anapoteza muda wake.
Umepewa ushauri pale juu jiungeni wengi Chadema ili muwaondoe wasaniiBila shaka nimeanza kumfuatilia akiwa kwenu ila nikimwangalia ...
Ni kama pundamilia kwenye kundi la punda.
Ni vizuri...Ni sawa na kusubiri kesho jua silichomoze
Cha muhimu anawafundisha vichwa ngumu. Hata Mkwawa hakuishi kuona uhuru wa Nchi yake. Lakini ndoto zake zilitimia na tukawa huruNi vizuri...
Ila sioni ndoto za Lissu zikitimia kwenye chama alichopo sasa.
Msanii mkubwa yupo pale juu...Umepewa ushauri pale juu jiungeni wengi Chadema ili muwaondoe wasanii
Wanachama mkimkataa atang'oka tuMsanii mkubwa yupo pale juu...