Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana

Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameonesha heshima na kumkumbuka Profesa Philemon Sarungi kama mtu mwadilifu na mtumishi wa umma aliyeitumikia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Soma Pia: Profesa Philemon Sarungi afariki Dunia

Screenshot_2025-03-09-17-14-35-1.png
Screenshot_2025-03-09-17-14-26-1.png


Lissu katika msiba huo amekutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kusalimiana naye

Haijafamika kama Lissu alimweleza chochote Mzee Kikwete kuhusu No Reform No Election au La

Screenshot_2025-03-09-19-57-33-1.png
 
Back
Top Bottom