Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameonesha heshima na kumkumbuka Profesa Philemon Sarungi kama mtu mwadilifu na mtumishi wa umma aliyeitumikia nchi kwa uadilifu mkubwa.
Soma Pia: Profesa Philemon Sarungi afariki Dunia
Lissu katika msiba huo amekutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kusalimiana naye
Haijafamika kama Lissu alimweleza chochote Mzee Kikwete kuhusu No Reform No Election au La
Soma Pia: Profesa Philemon Sarungi afariki Dunia
Lissu katika msiba huo amekutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kusalimiana naye
Haijafamika kama Lissu alimweleza chochote Mzee Kikwete kuhusu No Reform No Election au La