johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jitahidi umpangie .Lissu ana haha tu hana mpangilio wa kampeni
Party ya nini maka?Leo kutakua na party Lumumba
Yani umechukua habari kwenye akaunti fake unatuletea humu? Mkutano ukiahirishwa anayetoa taarifa ni meneja wa kampeni Marcus Albanie au Tundu Lissu mwenyewe ndipo chama kinatangaza. Sasa hizi umetoa uchochoroni usije nazo humu. Sawa?JJ Mnyika yumo humu atatufafanulia!
Wenzio wanatafakari kilichojiri....wewe malizia kunywa mtori!Yani umechukua habari kwenye akaunti fake unatuletea humu? Mkutano ukiahirishwa anayetoa taarifa ni meneja wa kampeni Marcus Albanie au Tundu Lissu mwenyewe ndipo chama kinatangaza. Sasa hizi umetoa uchochoroni usije nazo humu. Sawa?
Labda!Au ameenda NEC leo
Mwenye mpangilio wa kampeni hana mpangilio wa hoja!!Lissu ana haha tu hana mpangilio wa kampeni
Nimeshathibitisha. Atafanya mkutano kwingineWenzio wanatafakari kilichojiri....wewe malizia kunywa mtori!
Ni kweli anaumwa ana hali mbaya sana[emoji2][emoji1][emoji2]Kama ni kweli atakua anaumwa hali mbaya kama walivyomzushia magu
Nasubiria povu